Huyu kwa wanaokumbuka enzi hizo alisaidia wengi sana magonjwa mbalimbali
Sijui kilichotokea aweki tena mada zake humu popote ulipo dk njoo usaidie jamii inakukumbuka sana
CC Dkt. Mzizimkavuu
Hivi kweli ninyi wote mmekubaliana na huo mkataba wa kuuza bandari?
Bandari ndio mali kubwa tuliyobakiwa nayo sasa, nchi zote zilizotuzunguka zinatupa heshima sababu zinategemea bandari zetu kupitisha mali na mizigo yao. Ikumbukwe kwamba serikali imekua inatumia pesa nyingi kuirekebisha bandari...
Habari, Naitwa MGOLE MWITA CHACHA
Nimepotelewa na vyeti vyangu vya shule pamoja na kuzaliwa vyenye jina tajwa hapo juu.
CHETI CHA FORM FOUR-MAJANI YA CHAI SEC SCHOOL
CHETI CHA FORM SIX-UWEMBA SEC SCHOOL
CHETI CHA CHUO-NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT(NIT)
CHETI CHA KUZALIWA
Iwapo ukibahatika...
GENERATOR AND AIR COMPRESSOR SOLUTION
We dealing with:-
■Generator
☆Selling generator Used and New
☆Preventive and Breakdown maintenances
☆Generator installation
■Air Compressor
☆Selling Air compressor Used and New
☆Preventive and Breakdown maintenances
☆Air compressor installation
■Machine and...
Wajumbe wa kikao aka mkutano, habari zenu na poleni na majukumu.
Leo nimekuja na agenda hiyo juu kuhusu utapeli wa kimtandao na wa rejareja wakati maisha yakiwa magumu huku kuna watanzania wenzetu wanapiga hela kwa wenzao kwa kutumia uongo uliokaribu na ukweli. Kuna utapeli wa wa aina nyingi...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nasoma Chuo Degree Mwaka wa Pili, kuna binti mmoja mama yangu alinambia ni mzuri ana tabia nzuri, sema mimi nikawa napotezea sikuwa na haja hiyo. Siku moja nilienda kumsalimia mama nikamuona huyo binti, jamani ni mzuri balaa. Yeye baba ni Mzanzibar na mama...
Habari zenu,
Mambo yako hivi, kuna mwanamke nipo nae kwenye mahusiano kama zaidi ya mwaka hivi. Ndio main chick kwa sasa, kitandani nipo nae vizuri saana, yaani sina tatizo kitandani. Hapo juzi kati kuna mwanamke mwingine nikaanzisha mahusiano nae. Yule mwanamke wangu wa kwanza akajua, akalia...
Habari wakuu, naomba kuelemishwa. Kuna madhara yoyote kimo cha mimba kuwa tofauti na umri wa mimba? Mke wangu umri wake wa mimba ni wiki 37+6 na kimo cha mimba ni 40. Na hii ni mimba ya pili kwake. Naomba msaada wenu wataalamu.
Habari,
Naomba kuuliza kuhusu erolink kama bado wanamkataba na Voda na pia ofisi zao kwa sasa zipo wapi. Pia, naomba mnisaidie kujua ofisi za Tigo,Voda na Airtel wanapopokea CV.
Habari wa JamiiForum.
Najua imezoeleka katika jamii zetu kwa rika zote (watoto, vijana, wazazi na hata wazee) aidha wasomi au wasio wasomi kutumia neno Nimekumiss pale unapomaanisha kumkumbuka mtu hasa uwepo wake. Hata hivyo neno mbadala la kiswahili ni Kupeza hivyo basi unaweza ukwamwambia...
Habari za muda huu,nimatumaini yangu kwamba wote ni wazima wa afya
Lengo la thread hii nikutaka kufahamu kwamba inakuaje Viwanda vya Dawa ( Pharmaceutical industries ) hapa nchini kwetu unaambiwa havijaidhinishwa katika viwango vya Kimataifa lakini wakati huo huo vinakuwa vinakizi vigezo vya...
Habari zenu,
Kwanza kabisa kama kichwa kijielezavyo hapo juu ,leo nimemaua kuzungumizia kuhusu wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka 2018 na wanatarajia kujiunga na vyuo mbalimbali kwa masomo mbalimbali mwaka wa masomo 2019.
Nitazungumzia mada hii muhimu kwa kugusa maeneo yafuatayo...
Tatizo la kukosa hedhi ni jambo ambalo linawakumba wanawake wengi waliovunja ungo. Aidha suala hili limekuwa likiwaletea usumbufu mwingi wa kisaikolojia wanawake wengi waliowahi kukumbana nalo.
Tatizo la kukosa hedhi au amenorrhea linaweza kutokea awali kabisa (primary) au baadaye kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.