A.J
Senior Member
- Jun 9, 2015
- 138
- 146
Habari zenu,
Mambo yako hivi, kuna mwanamke nipo nae kwenye mahusiano kama zaidi ya mwaka hivi. Ndio main chick kwa sasa, kitandani nipo nae vizuri saana, yaani sina tatizo kitandani. Hapo juzi kati kuna mwanamke mwingine nikaanzisha mahusiano nae. Yule mwanamke wangu wa kwanza akajua, akalia sana akatishia kuniacha na kunipa malaana kibao kama kweli namsaliti na nipo na huyo bidada mwengine.
Nikagombana na huyu mpenzi niliekutana nae kipindi hiki ila baada ya muda tukaanza tena kuendeleza mapenzi. Ishu inakuja ninapolala na huyu mpenzi wangu wa sasa hivi. Wakuu ninampenda na nina hisia nae lakini tatizo linakuja sisimamishi, uume hausimami nikiwa na huyu side chick yaani hata nifanye nini ukisimama napiga moja tuu tena kwa uzembe uzembe yaani dk 3 tu.
Lakini kwa yule main chick naenda muda mrefu na namfikisha kileleni mara zote tukikutana. Msaada jamani kwanini hali hii inatokea na nifanye nini kuondokana nayo. Huyu manzi mpya anahisi kamati ya ufundi imekaa.
Siamini sana hilo.
Mambo yako hivi, kuna mwanamke nipo nae kwenye mahusiano kama zaidi ya mwaka hivi. Ndio main chick kwa sasa, kitandani nipo nae vizuri saana, yaani sina tatizo kitandani. Hapo juzi kati kuna mwanamke mwingine nikaanzisha mahusiano nae. Yule mwanamke wangu wa kwanza akajua, akalia sana akatishia kuniacha na kunipa malaana kibao kama kweli namsaliti na nipo na huyo bidada mwengine.
Nikagombana na huyu mpenzi niliekutana nae kipindi hiki ila baada ya muda tukaanza tena kuendeleza mapenzi. Ishu inakuja ninapolala na huyu mpenzi wangu wa sasa hivi. Wakuu ninampenda na nina hisia nae lakini tatizo linakuja sisimamishi, uume hausimami nikiwa na huyu side chick yaani hata nifanye nini ukisimama napiga moja tuu tena kwa uzembe uzembe yaani dk 3 tu.
Lakini kwa yule main chick naenda muda mrefu na namfikisha kileleni mara zote tukikutana. Msaada jamani kwanini hali hii inatokea na nifanye nini kuondokana nayo. Huyu manzi mpya anahisi kamati ya ufundi imekaa.
Siamini sana hilo.