Swali kuhusu viwanda

The Iron

JF-Expert Member
Apr 7, 2017
1,393
1,453
Habari za muda huu,nimatumaini yangu kwamba wote ni wazima wa afya

Lengo la thread hii nikutaka kufahamu kwamba inakuaje Viwanda vya Dawa ( Pharmaceutical industries ) hapa nchini kwetu unaambiwa havijaidhinishwa katika viwango vya Kimataifa lakini wakati huo huo vinakuwa vinakizi vigezo vya kuzalisha dawa kwa Wananchi wa ndani(i.e Tanzania)

Je hii inaashiria kwamba kuna vitu muhimu katika ubora kamili wa Dawa husika vinakua havipo? au sababu hasa nini?...Mana katika swala linalogusa moja kwa moja afya ya mtu huwa nadhani halina kuangilia level ya nchi

Natanguliza kwanza shukrani za dhati kwa majibu yenu mazuri
 
Serikali yetu haijali sana afya za wananchi tulipaswa kuwa na viwanda vyenye ubora wa kimataifa na sio chini ya hapo.
 
kwenye mkutano wa G8 Mwaka siukumbuki vizur nchi tajiri ziligoma kutoa bure ARV kwa nchi maskini..leo zinagawiwa bure.leo zinatolewa bure na kwa lazima.unzie hapo
 
Mkuu Kuna viwango tofauti kulingana na nchi husika, viwango vya ubora vipo vya juu,Kati na kawaida/chini... International Standard Organization ISO imewe na kulezea viwango tofauti*2 vya ubora kulingana na bidhaa.... Hivyo basi Kuna bidhaaa nyingi tu ambazo Ni za kiwango Cha ubora wa kawida/chini au Kati ambavyo ninafaa kabisa kwa matumizi lakini vikienda ulaya vikataliwa maana wao wanatumia viwango vya ubora vya European Union Standards ambazo niza sawa na zile za ISO ya juu kabisa...

Sijuka Kama nimejitahidi kueleweka....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwenye mkutano wa G8 Mwaka siukumbuki vizur nchi tajiri ziligoma kutoa bure ARV kwa nchi maskini..leo zinagawiwa bure.leo zinatolewa bure na kwa lazima.unzie hapo
Kwa mantiki hiyo inaishiria hazipo katika standard inayotakiwa....ila mbona idadi ya vifo kutokana na AIDS naskia vimepungua
 
Mkuu Kuna viwango tofauti kulingana na nchi husika, viwango vya ubora vipo vya juu,Kati na kawaida/chini... International Standard Organization ISO imewe na kulezea viwango tofauti*2 vya ubora kulingana na bidhaa.... Hivyo basi Kuna bidhaaa nyingi tu ambazo Ni za kiwango Cha ubora wa kawida/chini au Kati ambavyo ninafaa kabisa kwa matumizi lakini vikienda ulaya vikataliwa maana wao wanatumia viwango vya ubora vya European Union Standards ambazo niza sawa na zile za ISO ya juu kabisa...

Sijuka Kama nimejitahidi kueleweka....

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani Mkuu kwa maelezo mazuri.....hofu yangu ni kwamba kwanini hivi vigezo havi apply kwa binadamu wote
Mana mpaka mwengine amekikataa kitu kuna uwezekano mkubwa kuna ulakini hapo
 
Shukrani Mkuu kwa maelezo mazuri.....hofu yangu ni kwamba kwanini hivi vigezo havi apply kwa binadamu wote
Mana mpaka mwengine amekikataa kitu kuna uwezekano mkubwa kuna ulakini hapo
Ishu ya ubora wa vitu Ni kubwa Sana na haishii TU kwenye kuti/bidhaa pekeee Bali Hadi namna gani imetengenezwa hatua zote Hadi kukamilika........
Mfano, huwa Kuna porojo tunaletewa wafrika toka EU kuwa tuchangamkie fursa ya kuwauzia biadhaa za kilimo za vyakuka (nyanya,nyama,matunda na nk) ila kwa namna yetu ya ulimaji na ufugaji Ni ngumu Sana kufikia viwango vya ubora wanavyotaka (EU) aina ya mbegu,chanjo,mbolea,uvunaji,madawa ya kuulia wadudu SHAMBANI na nk inapelekea biadhaa zetu kutokidhi viwango vya ubora wanautaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mantiki hiyo inaishiria hazipo katika standard inayotakiwa....ila mbona idadi ya vifo kutokana na AIDS naskia vimepungua
ukisikia mtu anakwambia kutokana na aids vimepungua hugo ni ama ana akili kama za Jpm au hayupo field
 
ukisikia mtu anakwambia kutokana na aids vimepungua hugo ni ama ana akili kama za Jpm au hayupo field
Kwani.mtoa takwimu ni nani?.....utoe prevalance ndogo alafu utegemee kupokea ARVs za kutosha,lazima kwa swala linalodhaminiwa takwimu utoe zilizo sahihi
 
Back
Top Bottom