huyu mh kwa wanaokumbuka enzi hizo alisaidia wengi sana magonjwa mbali mbali
sijui kilichotokea aweki tena mada zake humu popote ulipo dk njoo usaidie jamii inakukumbuka sana
cc dk mzizimkavuu
Mbona yupo humu humu!....
Sema anaonekana kimanyatu manyatu!... Kama kakakuona...ama bundi!
Maana ashaliza wengi sana Jfdoctor tangu kitambo..
Ila hela za utapeli Zina laana! Huwezi kutoboa ng'o!...
Utapata za kulewea tu... Na za kuwapelekea moto wale viumbe wanaojiuza riverside tu!
Tangu 2010 namjua akiitwa MziziMkavu mpaka leo Bado anatumia Samsung S6!!!
🤣🤣🤣nimecheka sana aiseeMbona yupo humu humu!....
Sema anaonekana kimanyatu manyatu!... Kama kakakuona...ama bundi!
Maana ashaliza wengi sana Jfdoctor tangu kitambo..
Ila hela za utapeli Zina laana! Huwezi kutoboa ng'o!...
Utapata za kulewea tu... Na za kuwapelekea moto wale viumbe wanaojiuza riverside tu! 👇👇
Tangu 2010 namjua akiitwa MziziMkavu mpaka leo Bado anatumia Samsung S6!!!
Yaani ww suala la mwandilko lilishakushinda, miaka zaidi ya ishirini huwezi kuandika sentensi ikasomeka.Dah katutosahau kabisaa na mada zakeza milongenk
DR HAYA LAND ni mwingine bhana, yeye ana jiita Mzizi hiyo hiyo😃😆.si anajiita Dr. HAYALAND kwa sasa
Upo sahihi kabisa sasahivi nafahamika Kama Dr WiseDR HAYA LAND ni mwingine bhana, yeye ana jiita Mzizi hiyo hiyo😃😆.
👉 Na hi I'd ya mada hii ni yake 😆
View attachment 2839921
Mbona yupo sana. Siku hizi anajiita the herbalist mzizi mkavuHuyu kwa wanaokumbuka enzi hizo alisaidia wengi sana magonjwa mbalimbali
Sijui kilichotokea aweki tena mada zake humu popote ulipo dk njoo usaidie jamii inakukumbuka sana
CC Dkt. Mzizimkavuu
Mkuu Pdidy Habari zakupoteana? nipo lakini nilikuw anipo busy kufanya utafiti wa badhi ya kdawa za kutibu maradhi ya Ukimwi aka HIV, Homa ya ini aka Hepatitis B Virus , Maradhi ya Kisukari, aka Diabetes,Maradhi ya Saratani Cancer, Maradhi ya Kiharusi aka Stroke , Kuongeza Ukubwa wa UUme Na Maradhi ya Nguvu za giza aka uchawi sasa nipo poa kwa hayo maradhi yote ninaweza kuyatibu ukitaka Thread zangu nitafute kwa kubonyeza hapa. https://www.jamiiforums.com/forums/jamii-health-jukwaa-la-afya.61/mythreadsOoh huku sijaonammada zake tena