mwanamke

  1. KIBESENI

    JamiiForums Tanzania Mwanamke anaweza kupata mimba kwa kutumia pedi?

    Binti yangu amemaliza Form 4 mwaka jana. Sasa hivi amepata mimba halafu tukimuuliza hiyo mimba ni ya nani, anasema alipokuwa period alipewa pedi na rafiki yake baada yakutumia akajikuta ana mimba. Najua ananidanganya ndio maana, nauliza. PEDI INAWEZA KUTUNGISHA MIMBA? MIMI SIJUI.
  2. katoto kazuri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii imekaaje mwanamke kudai haki hadharani

    Ni hivi unakuta mwamke anapiga simu kwenye daladala babe mambo mbona hujaja jana namie umeniacha na hamu zangu?? Kweli mkiachwa na wanaume wabaya sasa hapo umesemaje?? Unajiona nivizuri eh kwanini husijiheshimu ?? Wengine mpaka mnaita mashemeji mbele ya kadamnasi shem mbona jana hatukuonana...
  3. Shaddie Kikoti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maneno: Silaha kubwa ya Mwanamke na jinsi inavyochangia Ukatili Majumbani "Domestic Violence" wakati ingeweza kutumika otherwise

    Kuna Mjadala mkali sana Unaendelea twitter, kuhusu domestic violence. Ukihusisha watu wa kawaida, celebrities, Twitter influencers wadau wa haki za wanawake "Feminist" nchini Tanzania. Mjadala umechagizwa zaidi na video ya mdau mmoja, ambaye alionekana akimpiga vibaya mke wake, ni mtu ambae...
  4. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Jessica Cox, rubani mwanamke asiye na mikono

    Rubani huyu alizaliwa bila mikono kutokana na ‘Genetic defects’, haruhusu hali hiyo kumzuia kuishi maisha ya kukata tamaa. Yeye ndiye wa kwanza mwenye leseni ya urubani japo bila mikono Ana mkanda mweusi katika taekwondo na hufanya shughuli zingine kama mtu mwenye mikono yote. Hupiga piano na...
  5. britanicca

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke akionesha dalili au tabia hizi achana naye

    Mapenzi huleta upofu na kupotoka, hata pale unapogundua mabaya unaassume atabadilika kumbe inakuwa makusudi ya Mungu kukuonesha 1. Mwanamke ambaye anapenda uanaharakati. "Mimi sipendi mtu anyanyaswe, mimi hawawezi nifanyia hivyo.” “Mimi mwanaume hanipigi kofi" Katika maongezi ukisikia maneno...
  6. Lizzy116

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sifa 10 za mwanamke mzuri anayekufaa

    1. Kusamehe Ni vigumu kuwa katika uhusiano halafu uwe hauna moyo wa kumsamehe mpenzi wako. Kawaida katika mahusiano, huwa kuna changamoto kadhaa ambazo hujitokeza hivyo lazima uwe na tabia ya kuweza kusamehe. Hii inaweza kuanzia kukosana kwa mambo ya kinyumbani, ama mambo mengine yanayofanana...
  7. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli ukioa mwanamke Mtutsi lazima apandikize mtoto wao kwenye watoto wako?

    Hii story niliisikia kitambo ikaniogopesha kuoa Hawa watu wazuri wa uso kutoka Rwanda. Kwamba ukioa Mtutsi, eti ukizaa watoto watano ujue mmoja au wawili sio wako. bidada huyo atafanya juu chini agegedwe na ndugu Yake au mtutsi mwenzake aliyekaribu nae ili ampe mimba. Huyo mtoto anahesabiwa...
  8. Bonde la Baraka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukifanya hivi mwanaume mwenzangu hustahili kuitwa mwanaume wala mwanamke

    Leo nawavunjia mayai viza mnaojiita wanaume huku mnazaa watoto na kuwaachia wanawake majukumu ya kulea. Kama unafanya hivi jua kuwa hata kuwa mwanamke hustahili maana wanawake wengi hulea watoto wao. Mwingine aliweka mimba hajui mtoto wake yuko wapi, anaishi vipi, yuko hai au marehemu hajui...
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke wangu niliyezaa naye tumezinguana. Roho inaniuma naombeni ushauri wenu

    Member wote wa JF kwangu ni kama sehemu ya familia. Humu unaweza kupata ushauri mzuri sana ambao unaweza kubadirisha maisha yako ina a positive way. Ndugu zangu kwa huo utangulizi naombeni ushauri wenu kuhusu haya mahusiano yangu. Siku ya Xmass nilileta uzi humu kuhusu wife kunikamata red...
  10. Witmak255

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wenzangu, munawezaje kumpa mwanamke mimba halafu munakimbia malezi?

    Kheri ya mwaka mpya wakuu! Najiuliza hapa, huu ukatili kwa hawa malaika wasio na hatia mnawezaje kuwafanyia? Tena yawezekana mama zao mliwatongoza kwa kuwabembeleza sana mpaka wakawakubalia at the END unakutana na mdada maskini wa Mungu kachoka na kitoto chake mgongoni hajui hata atakilisha...
  11. maganjwa

    JamiiForums Tanzania Mwanamke akikuunga mkono katika harakati zako tegemea mafanikio makubwa

    Nelson mandela wakati alipokuwa gerezani akitumikia adhabu yake Winnie Mandela alipambana nje kuhakikisha harakati za mume wake anaendeleza ingawa mwanzoni hakupenda kama ilivyo kawaida kwa wanawake wengi akihofia kuuawa kama wengine lakini hofu ilipoisha alimtia moyo Mandela. Inapendeza sana...
  12. Miss Zomboko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke amuua shemejiye baada ya kumpiga kofi makalioni

    Polisi eneo la Suna Magharibi, kaunti ya Migori wanamsaka mwanamke mwenye umri wa makamo aliyetoweka baada ya kumdunga kisu shemejiye. Eunice Adhiambo alitekeleza kisa hicho baada ya mabishano makali kuzuka baina yake na shemejiye mnamo Jumanne, Disemba 24. Mwanamke ammua shemejiye kwa kumzaba...
  13. Faana

    JamiiForums Tanzania Sifa za Mwanamke - Sifa Njema

    Heri ya Krismasi wanajamvi, katika kupitapita huko nimeona HIKI KITU. Najiuliza hii silabasi inafundishwa miaka mingapi na ngazi ya cheti anachotoka nacho mhitimu ni kipi na anatakiwa kuwa na GPA gani ili afiti kwenye nafasi yake NENO La Kristo SIFA ZA MWANAMKE (SIFA NJEMA) 1. Awe...
  14. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Victoria Conteh: Kocha mwanamke anayeweka historia Sierra Leone kwa kufunza katika ligi kuu

    Victoria Conteh ameteuliwa kuwa mkufunzi wa kwanza mwanamke kuifunza klabu ya wanaume katika ligi ya Sierra Leone kwa sababu amefuzu kufanya hivyo, kulingana na mmiliki wa klabu hiyo. Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 45 ni mwanamke wa pili kusimamia klabu ya ligi ya daraja la juu ya wanaume...
  15. The Eric

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwaninini kila nikimutongoza mwanamke lazima watangulize pesa

    Kwema wanajf nashindwa kuelewa hivi vitu kwa wanawake wa sasa 1. Wengi wanatazama material things kama magari, uchawi wao ni magari yaan ukiwa na nyumba labda uibebe kichwani waone uko na nyumba au kiwanja/shamba. 2. Wengi wanatanguliza pesa sana yaani nimejaribu kwa madada wengi afu hii mi...
  16. Influenza

    JamiiForums Tanzania Haki ya Mwanamke kabla ya Uislamu: Sheria Mbalimbali zinazolinda Haki za Mwanawake

    Ulinzi wa haki za binadamu ni haki ya msingi kwa kila mwanadamu ambapo mwanamke na mwanamme wana haki sawa katika kufaidi haki hizo. Kukosekana kwa haki hizo kunapelekea kudharaulika, kuongezeka umasikini na kukosekana kwa amani ya wanawake. Mikataba mbalimbali imepitishwa ili kuhakikisha kuwa...
  17. Influenza

    JamiiForums Tanzania House panel approves articles of impeachment against Trump

    The House Judiciary Committee just advanced both articles of impeachmentagainst President Trump. What happens next: The articles now go to the House floor for a vote next week. This could make Trump only the third president in US history to be impeached. More story...... The committee vote...
  18. Suley2019

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana wa kidato cha tatu amuua binamu yake kwa sababu ya mwanamke

    Kijana wa miaka 20 anashikiliwa na polisi Mjini Siaya kwa kosa la kumchoma kisu na kumuua binamu yake aliyejulikana kama Otieno Nyaeka mwenye miaka 45 Afisa wa Polisi Harriet Kinya anafafanua kuwa, kifo hicho kilitokana na ugomvi ulioibuka baina ya binamu hao ambao inaelezwa walikuwa...
  19. Jr. Gong Mira

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Nataka kuoa mwanamke ambaye simpendi

    Wakuu habari za Weekend. Mimi ni kijana na nimefikia umri wa kuoa sasa, ila changamoto ni kutaka kumuoa msichana ambae hayumo katika hisia zangu, ila sababu ya yeye ana tabia zote nzuri, lakini mimi tu sijavutiwa sana kwa upande wa sura tu basi. Na kwa upande wake ananipenda zaidi ya sana na...
Back
Top Bottom