mwanamke

  1. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mwanamke aliyevunja rekodi ya kuwa na ndevu nyingi

    Harnaam Kaur wa Slough, Uingereza amekuwa ni kijana ambaye anawavutia wengi kwa rekodi yake. Ameweza kusimama baada ya mika mingi ya kudhihakiwa na kutaniwa na walio wengi kuhusu muonekano wake. Vijana wengi wanavutiwa na uajsiri na moyo alionao kushinda dhihaka za watu hao Alipokuwa na umri wa...
  2. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Tukitoa tofauti za kimaumbile tofauti kati ya Mwanamke na Mwanaume haipo

    Najaribu kuwaza juu ya tofauti zaidi ya maumbile "body parts" kati ya Mwanamke na Mwanaume siioni. Na kikubwa zaidi ni kwamba tofauti hizi za kimaumbile ni chache sana kuliko maumbile yanayoonesha kuwa Mwanamke na Mwanamume wote ni binadamu na ni kitu kimoja. Tuendelee.
  3. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke wa kuoa

    Mimi ni kijana wa miaka 27 nilizaliwa na kukulia ktk mkoa wa Kilimanjaro,kwa sasa ninaishi Dar es salaam namshukuru Mungu alinifanikisha kupata kazi serikalini,kwasasa ninatamani sana kua na familia hivyo ninatafuta mwanamke mrembo mwenye umri kuanzia 20-24 tutakaependana,kua wachumba na...
  4. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke umri 38-42

    Naitwa Joseph mwenye umri wa miaka 25, naishi Dar, ni mwajiriwa. Natafuta mwanamke mwenye umri kuanzia 38-42, aliye tayari aniPM. NB: Nimeamua nikiwa na akili timamu.
  5. Superbug

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini ukimwingia mwanamke anakuonea aibu hakuangalii machoni

    Hivi kwann ukimlala mwanamke hakuangalii machoni ? Kwann mnatuonea aibu?
  6. Dusabimana

    JamiiForums Tanzania Je, kuna aliyewahi shuhudia mwanamke mwenye kipara kati ya kichwa chake?

    Wanajukwaa habarini za leo! Ninaomba kufahamu kama yupo mwanamke mwenye kipara kati ya kichwa chake, maana nimewahi shuhudia wanawake wenye ndevu tu.
  7. wasumu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niishi kwa akili ipi kivipi na mwanamke huyu

    Kwa kutopeteza wakati nina mke ila kuna makando makando anayaongea .1.tuna mtoto mmoja ila lawama ni kuwa yeye alikuwa hayuko tayari kuwa na mtoto ivyo nimemuharibia maisha yake .2. Mara anasema tafuta mwanamke mwingine yeye hatak kusex sana kwa mwezi anasema ni mara nne au asifanye hajisikii...
  8. L

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wa Kinyarwanda akiolewa na Mtanzania anakuwa raia wa Tanzania?

    Naomba wataalam mnifahamishe.
  9. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Napenda kila mwanamke anayekatiza mbele yangu

    napenda wanawake wote ninao waona napenda nifanye mapenzi nao. Tatizo ni nini?
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dini ya Kiislamu na usawa kwa Mwanaume na Mwanamke: Haki ya Mwanamke katika Elimu | Haki ya kutafuta Elimu

    Chama cha Wanasheria wa Kike Visiwani Zanzibar [Zanzibar Female Lawyers Association (ZAFELA)] kimeandaa chapisho linalozungumzia Haki za Mwanamke linaloitwa "Haki za Mwanamke kwa Mujibu wa Qur'an na Sunnah za Mtume (S.AW)" Katika chapisho hilo, inaelezwa kuwa Uislamu umetoa umuhimu kwa binadamu...
  11. KIBESENI

    JamiiForums Tanzania Mwanamke anaweza kupata mimba kwa kutumia pedi?

    Binti yangu amemaliza Form 4 mwaka jana. Sasa hivi amepata mimba halafu tukimuuliza hiyo mimba ni ya nani, anasema alipokuwa period alipewa pedi na rafiki yake baada yakutumia akajikuta ana mimba. Najua ananidanganya ndio maana, nauliza. PEDI INAWEZA KUTUNGISHA MIMBA? MIMI SIJUI.
  12. katoto kazuri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii imekaaje mwanamke kudai haki hadharani

    Ni hivi unakuta mwamke anapiga simu kwenye daladala babe mambo mbona hujaja jana namie umeniacha na hamu zangu?? Kweli mkiachwa na wanaume wabaya sasa hapo umesemaje?? Unajiona nivizuri eh kwanini husijiheshimu ?? Wengine mpaka mnaita mashemeji mbele ya kadamnasi shem mbona jana hatukuonana...
  13. Shaddie Kikoti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maneno: Silaha kubwa ya Mwanamke na jinsi inavyochangia Ukatili Majumbani "Domestic Violence" wakati ingeweza kutumika otherwise

    Kuna Mjadala mkali sana Unaendelea twitter, kuhusu domestic violence. Ukihusisha watu wa kawaida, celebrities, Twitter influencers wadau wa haki za wanawake "Feminist" nchini Tanzania. Mjadala umechagizwa zaidi na video ya mdau mmoja, ambaye alionekana akimpiga vibaya mke wake, ni mtu ambae...
  14. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Jessica Cox, rubani mwanamke asiye na mikono

    Rubani huyu alizaliwa bila mikono kutokana na ‘Genetic defects’, haruhusu hali hiyo kumzuia kuishi maisha ya kukata tamaa. Yeye ndiye wa kwanza mwenye leseni ya urubani japo bila mikono Ana mkanda mweusi katika taekwondo na hufanya shughuli zingine kama mtu mwenye mikono yote. Hupiga piano na...
  15. britanicca

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke akionesha dalili au tabia hizi achana naye

    Mapenzi huleta upofu na kupotoka, hata pale unapogundua mabaya unaassume atabadilika kumbe inakuwa makusudi ya Mungu kukuonesha 1. Mwanamke ambaye anapenda uanaharakati. "Mimi sipendi mtu anyanyaswe, mimi hawawezi nifanyia hivyo.” “Mimi mwanaume hanipigi kofi" Katika maongezi ukisikia maneno...
  16. Lizzy116

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sifa 10 za mwanamke mzuri anayekufaa

    1. Kusamehe Ni vigumu kuwa katika uhusiano halafu uwe hauna moyo wa kumsamehe mpenzi wako. Kawaida katika mahusiano, huwa kuna changamoto kadhaa ambazo hujitokeza hivyo lazima uwe na tabia ya kuweza kusamehe. Hii inaweza kuanzia kukosana kwa mambo ya kinyumbani, ama mambo mengine yanayofanana...
  17. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli ukioa mwanamke Mtutsi lazima apandikize mtoto wao kwenye watoto wako?

    Hii story niliisikia kitambo ikaniogopesha kuoa Hawa watu wazuri wa uso kutoka Rwanda. Kwamba ukioa Mtutsi, eti ukizaa watoto watano ujue mmoja au wawili sio wako. bidada huyo atafanya juu chini agegedwe na ndugu Yake au mtutsi mwenzake aliyekaribu nae ili ampe mimba. Huyo mtoto anahesabiwa...
  18. Bonde la Baraka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukifanya hivi mwanaume mwenzangu hustahili kuitwa mwanaume wala mwanamke

    Leo nawavunjia mayai viza mnaojiita wanaume huku mnazaa watoto na kuwaachia wanawake majukumu ya kulea. Kama unafanya hivi jua kuwa hata kuwa mwanamke hustahili maana wanawake wengi hulea watoto wao. Mwingine aliweka mimba hajui mtoto wake yuko wapi, anaishi vipi, yuko hai au marehemu hajui...
  19. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke wangu niliyezaa naye tumezinguana. Roho inaniuma naombeni ushauri wenu

    Member wote wa JF kwangu ni kama sehemu ya familia. Humu unaweza kupata ushauri mzuri sana ambao unaweza kubadirisha maisha yako ina a positive way. Ndugu zangu kwa huo utangulizi naombeni ushauri wenu kuhusu haya mahusiano yangu. Siku ya Xmass nilileta uzi humu kuhusu wife kunikamata red...
  20. Witmak255

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wenzangu, munawezaje kumpa mwanamke mimba halafu munakimbia malezi?

    Kheri ya mwaka mpya wakuu! Najiuliza hapa, huu ukatili kwa hawa malaika wasio na hatia mnawezaje kuwafanyia? Tena yawezekana mama zao mliwatongoza kwa kuwabembeleza sana mpaka wakawakubalia at the END unakutana na mdada maskini wa Mungu kachoka na kitoto chake mgongoni hajui hata atakilisha...
Back
Top Bottom