mwanamke

  1. Askarimtu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sifa 10 za mwanamke bora wa kuoa

    Mwanamke ni utukufu wa mwanaume kwa sababu ametoka kwenye ubavu wake. Mwanamke bora ni huyu hapa: 1. Mwenye heshima kwa wadogo mpaka wakubwa. (USAFI WA MWILI, MATENDO & MDOMO) -Sio anatukana tu ovyo ovyo halafu we unaenda kuoa, atakuja kutukana wazazi wako...
  2. 44mg44

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke njoo usimulie ulivyompata mme wako wa ndoa!!

    Wanawake hupata wanaume wa kuwaoa kwa njia mbalimbali kama vile: 1.ulimpa tunda kimasihara baadae akawa mmeo 2.ulienda kuombewa kwa mchungaji 3.ulitafta mtandaon 4.alikuwa mwalimu wako darasan 5.alikuwa mpangaji mwenzio 6.alikuchumbia Wanawake karibun mtaje njia mlizotumia kuwapata wanaume...
  3. James Hadley Chase

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke atakubomoa, mwanamke atakujenga!

    HAIPUNGUI miaka mitatu sijakutana na Kajole. Hapo kabla tulikutana mara ya nyingi. Alikuwa anapitia nyakati ngumu. Nami nilihakikisha nampa kila kilichokuwa ndani ya uwezo wangu ili kumwezesha kuvuka magumu aliyopitia. Kajole akawa rafiki. Hapo katikati alikuwa akinipigia simu. Aliniambia...
  4. Mtamba wa Panya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwanamke black beauty

    Mimi ni ME, umri wangu miaka 32. Naishi Dar. Nahitaji mwanamke black, umri usizidi miaka 32. PM me..
  5. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke uliyeachana nae 'Kiugomvi ' katika Mahusiano yenu, Siku akipata mtu wa kumuoa na akikuletea kadi ya Mwaliko huwa anawaza nini kati ya haya?

    Je, huwa anakuwa... 1. Anakukoga ( Anakuringishia ) kuwa umeanika watu Wameanua? 2. Anakuambia kuwa bado anakupenda ila huyo Boya anayemuoa kaingia tu Mkenge kwake? 3. Anakualika uje umshuhudie Mwanaume wake mpya 'anayemsuuza' vizuri Kitandani? 4. Anakuwa anataka tu Kukudhalilisha...
  6. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke kukubana au kukuvutia kwake wakati wa sex

    Wanawake wakati wa sex kuna muda inafika anakubana na miguu pamoja na mikono yake hadi unashindwa kupump in and out huku akitaka uzamishe hadi pumbu wakati mwingine akisindikiza na sauti ya mahaba "hapo hapo".pale ni kusema kwamba mmefika kileleni, mnakaribia au uhondo umezidi na kilele unakiona...
  7. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke aliye serious kwa maisha

    Habari wanajamii wenzangu, nimeona leo nami kuweka hitaji langu kwenye forum. Mimi ni mtanzania mkristo umri 33 na kwasasa nipo mkoa was tabora najitokeza kutafuta mwanamke ambaye mbeleni atakuja kuwa mke na mama watoto wangu, sina ubaguzi wa dini wala rangi lakini umri ningependelea angalau...
  8. mathsjery

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Angalia huyu mwanamke

    Wanawake wengi wanataka wanaume ambao tayari wana kila kitu ili waweze kuingia ndani na kuwa na maisha rahisi, lakini angalia huyu mwanamke.
  9. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kweli katika hii dunia,mwanaume bila mwanamke hajakamilika

    Nipo hapa ugenini naona masaa hayaendi kabisa. Naona kinywaji kichungu, naangalia kulia, kushoto,mbele, nyuma sioni kifaa matata. Na baridi hii kujikunja mwenyewe ni kutokuitendea haki uumbaji wa muumba. Najaribu kuwapigia makoloni yangu ya zamani angalau wanipe maneno matamu ya...
  10. mmewadadako

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo yanayoweza kugusa moyo wa mwanamke

    WANAUME wengi wanaamini wanawake, kwa kawaida, ‘wanapenda hela.’ Kwamba ukiweza kumhakikishia mwanamke 'uhakika wa kiuchumi' unakuwa umemaliza. Ingawa hatuwezi kupuuza ukweli kuwa uhakika wa 'kiuchumi' ni moja wapo ya mahitaji ya mwanamke, lakini si sahihi kuamini kuwa moyo wa mwanamke unaweza...
  11. kid ink tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka Nioe Mwanamke kama huyu, ushauri na maoni yenu tafadhari..

  12. Bonde la Baraka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukimfanyia hivi mwanamke mpenda hela wallah hatakusahau

    Katika mizunguko yako ikiwa umeonana na mwanamke nawe ukajiongeza juu yake. Mwanamke naye akaamua kujiongeza juu yako kwa kukufanya ATM machine huku akikizuga kwa vimeseji vya I love you na wakati mwingine hata kukutumia picha zake za ndani ilimradi tu ukamilishe muamala. Huyo demu muhuni...
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke serious wa kuoa

    Kwa hakika upweke ni mbaya sana unaweza jikuta unajinyonga ndani Peke yako, ninatafuta mwanamke umri kuanzia 20 mpka 28 , awe anajielewa na anapenda kujishughulisha, ila awe tayari kuhamia kwangu tuishi . Mimi vigezo vyangu nina umri Kati 25-29, dini mkristo, makazi dar es salaam, kipato kila...
  14. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya mwanamke anayekabiliana na ugonjwa uliobadili muonekano wake

    Farah Khalek ni mwanamke mwenye miaka 33 kutoka nchini Kenya, kama wanawake mwingine wa umri wake mwenye ndoto kubwa katika maisha yake. Licha ya kuwa anakabiliana na ugonjwa wa ngozi ambao umebadilisha muonekano wake wa sura kabisa. Ugonjwa huu unajulikana kama Scleroderma. Farah Khalek...
  15. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nachukia sana mwanamke anayetoa mimba

    Binafsi kuna wanawake nimewahi date nao na wametoa mimba yangu Wa kwanza niliishi nae kama mke pindi nimemaliza chuo nilimpata field then nikamsaundisha akanikubalia, tulikuwa tukitumia condom mara nyingi wakati wa kugegedana but tulikuja acha baada ya kupima. Alivyopata mimba hakuniambia ila...
  16. mjusilizard

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke na mbio za sakafuni

    Mwanamke akiwa na umri wa miaka 13 ukimwambia "Mambo? Atakujibu safi shikamoo Mwanamke akiwa na umri wa miaka 15, ukimwambia "Mambo? Atakujibu powa vipi? Hapo ameshaanza kuelevuka hata shikamoo anaiona ni mzigo Mwanamke akiwa na umri wa miaka 18, ukimwambia "Mambo! Atakujibu safi tu huku...
  17. Asha D Abinallah

    JamiiForums Tanzania Kutoka JamiiForums: Kliniki ya Kidigitali Maalum kwa Wanawake katika kumsheherekea Mwanamke

    Habari Wakuu, Siku ya kusheherekea siku ya Mwanamke duniani, inahusu si wanawake tu, bali hata wanaume pia. Hii ni siku maalum ya kila mwanadamu kutambua umuhimu na nafasi ya Mwanamke kwa kumwangalia kama mwanadamu na si kwa vigezo vya sifa ya kuzaliwa Mwanamke. Na kwamba anastahili haki na...
  18. Mwanamayu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mfano wa sura ya mwanamke pale anapopewa taratibu halafu puta na kukanyagiwa mafuta

    Darassa kamshirikisha Sho Madjozi wa South Afrika ambaye ameishi kwa muda Tanzania pia kwenye ngoma 'I like it.' Sura ya mwanadada, Madjozi, inabadilika wakati wa kupelekwa taratibu na then puta na kukanyagiwa mafuta (angalia kati ya around 1:59 na 2:04). Maswali, ili ni somo kwa wanadada namna...
  19. goldcall

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kabla ya kuoa kuwa makini na hawa watu

    Kimemkuta jamaa fulani uko, kafunga ndoa na binti, kumbe binti anamchezo mchafu wa kutoa 0713, kizazi hiki kabla ya ndoa, hakikisha unafanya inspection ya mbele na nyuma, sina maana ushiriki uko nyuma, lakini jilidhishe mtu unaye mchukuwa vipi uko nyuma. Jamaa kaenda round about kwa baati...
  20. Mzukulu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ni kweli kwamba zifuatazo ni dalili Kuu kabisa za Mwanamke anayeingiliwa na Mwanaume Kinyume na Maumbile?

    1. Hujamba jamba sana bila mpangilio ila huwa kunakuwa hakuna Harufu ya Kukera. 2. Akikaa iwe katika Kochi au Kitu hupenda Kujibinua na hawezi kutulia kwa muda mrefu. 3. Ukiwa nae Faragha Kufanya tendo la Ngono hupenda Kulalia Maziwa na hawapendi Mende Style. 4. Wanapenda mno Kuongea kwa Kubana...
Back
Top Bottom