Rubani huyu alizaliwa bila mikono kutokana na ‘Genetic defects’, haruhusu hali hiyo kumzuia kuishi maisha ya kukata tamaa. Yeye ndiye wa kwanza mwenye leseni ya urubani japo bila mikono
Ana mkanda mweusi katika taekwondo na hufanya shughuli zingine kama mtu mwenye mikono yote. Hupiga piano na...
Mapenzi huleta upofu na kupotoka, hata pale unapogundua mabaya unaassume atabadilika kumbe inakuwa makusudi ya Mungu kukuonesha
1. Mwanamke ambaye anapenda uanaharakati.
"Mimi sipendi mtu anyanyaswe, mimi hawawezi nifanyia hivyo.”
“Mimi mwanaume hanipigi kofi"
Katika maongezi ukisikia maneno...
1. Kusamehe
Ni vigumu kuwa katika uhusiano halafu uwe hauna moyo wa kumsamehe mpenzi wako. Kawaida katika mahusiano, huwa kuna changamoto kadhaa ambazo hujitokeza hivyo lazima uwe na tabia ya kuweza kusamehe. Hii inaweza kuanzia kukosana kwa mambo ya kinyumbani, ama mambo mengine yanayofanana...
Hii story niliisikia kitambo ikaniogopesha kuoa Hawa watu wazuri wa uso kutoka Rwanda.
Kwamba ukioa Mtutsi, eti ukizaa watoto watano ujue mmoja au wawili sio wako.
bidada huyo atafanya juu chini agegedwe na ndugu Yake au mtutsi mwenzake aliyekaribu nae ili ampe mimba.
Huyo mtoto anahesabiwa...
Leo nawavunjia mayai viza mnaojiita wanaume huku mnazaa watoto na kuwaachia wanawake majukumu ya kulea. Kama unafanya hivi jua kuwa hata kuwa mwanamke hustahili maana wanawake wengi hulea watoto wao.
Mwingine aliweka mimba hajui mtoto wake yuko wapi, anaishi vipi, yuko hai au marehemu hajui...
Member wote wa JF kwangu ni kama sehemu ya familia. Humu unaweza kupata ushauri mzuri sana ambao unaweza kubadirisha maisha yako ina a positive way.
Ndugu zangu kwa huo utangulizi naombeni ushauri wenu kuhusu haya mahusiano yangu.
Siku ya Xmass nilileta uzi humu kuhusu wife kunikamata red...
Kheri ya mwaka mpya wakuu!
Najiuliza hapa, huu ukatili kwa hawa malaika wasio na hatia mnawezaje kuwafanyia? Tena yawezekana mama zao mliwatongoza kwa kuwabembeleza sana mpaka wakawakubalia at the END unakutana na mdada maskini wa Mungu kachoka na kitoto chake mgongoni hajui hata atakilisha...
Nelson mandela wakati alipokuwa gerezani akitumikia adhabu yake Winnie Mandela alipambana nje kuhakikisha harakati za mume wake anaendeleza ingawa mwanzoni hakupenda kama ilivyo kawaida kwa wanawake wengi akihofia kuuawa kama wengine lakini hofu ilipoisha alimtia moyo Mandela.
Inapendeza sana...
Polisi eneo la Suna Magharibi, kaunti ya Migori wanamsaka mwanamke mwenye umri wa makamo aliyetoweka baada ya kumdunga kisu shemejiye.
Eunice Adhiambo alitekeleza kisa hicho baada ya mabishano makali kuzuka baina yake na shemejiye mnamo Jumanne, Disemba 24.
Mwanamke ammua shemejiye kwa kumzaba...
Heri ya Krismasi wanajamvi, katika kupitapita huko nimeona
HIKI KITU.
Najiuliza hii silabasi inafundishwa miaka mingapi na ngazi ya cheti anachotoka nacho mhitimu ni kipi na anatakiwa kuwa na GPA gani ili afiti kwenye nafasi yake
NENO La Kristo
SIFA ZA MWANAMKE (SIFA NJEMA)
1. Awe...
Victoria Conteh ameteuliwa kuwa mkufunzi wa kwanza mwanamke kuifunza klabu ya wanaume katika ligi ya Sierra Leone kwa sababu amefuzu kufanya hivyo, kulingana na mmiliki wa klabu hiyo.
Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 45 ni mwanamke wa pili kusimamia klabu ya ligi ya daraja la juu ya wanaume...
Kwema wanajf nashindwa kuelewa hivi vitu kwa wanawake wa sasa
1. Wengi wanatazama material things kama magari, uchawi wao ni magari yaan ukiwa na nyumba labda uibebe kichwani waone uko na nyumba au kiwanja/shamba.
2. Wengi wanatanguliza pesa sana yaani nimejaribu kwa madada wengi afu hii mi...
Ulinzi wa haki za binadamu ni haki ya msingi kwa kila mwanadamu ambapo mwanamke na mwanamme wana haki sawa katika kufaidi haki hizo. Kukosekana kwa haki hizo kunapelekea kudharaulika, kuongezeka umasikini na kukosekana kwa amani ya wanawake.
Mikataba mbalimbali imepitishwa ili kuhakikisha kuwa...
The House Judiciary Committee just advanced both articles of impeachmentagainst President Trump.
What happens next:
The articles now go to the House floor for a vote next week. This could make Trump only the third president in US history to be impeached.
More story......
The committee vote...
Kijana wa miaka 20 anashikiliwa na polisi Mjini Siaya kwa kosa la kumchoma kisu na kumuua binamu yake aliyejulikana kama Otieno Nyaeka mwenye miaka 45
Afisa wa Polisi Harriet Kinya anafafanua kuwa, kifo hicho kilitokana na ugomvi ulioibuka baina ya binamu hao ambao inaelezwa walikuwa...
Wakuu habari za Weekend.
Mimi ni kijana na nimefikia umri wa kuoa sasa, ila changamoto ni kutaka kumuoa msichana ambae hayumo katika hisia zangu, ila sababu ya yeye ana tabia zote nzuri, lakini mimi tu sijavutiwa sana kwa upande wa sura tu basi.
Na kwa upande wake ananipenda zaidi ya sana na...
- Mwanamke ameunda kizuizi ndani ya nyumba yake kumzuia mume wake kwenda kunywa vinywaji nje ya nyumba yao
- Jayne Tapper ambaye ameolewa na Paul alifikiria suluhisho la mapenzi ya mumewe kwa kunywa kwenye baa ya ndani
- Amedhamiria kuifuta. Alijitengezea pub yake mwenyewe nyuma ya bustani yao...
Salute
Psychological Manipulation, jinsi ya kumpata umpendae kwa kumteka kihisia na kiakili.
Kwanza kabisa ili uweze tengeneza computer inakubidi uelewe jinsi mifumo na vifaa vyote vilivyomo ndani ya Computer na jinsi vinavyofanya kazi..Chukulia mwili wa binaadamu ni Computer nzima, ubongo ni...
Baada ya kuona jamii inavuka ule mpaka wa kumrekebisha mwanamke na kugeuka kuwa kumsimanga mwanamke, nimeonelea kutoa angalizo lifuatalo.
Sisemi kwamba wasikosolewe, ninachosema ni wasionewe maana "women are naturally expensive, take the one you can afford and stop saying that they love money"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.