Nimesikia Habari za Chuo cha Utumishi Tanga, Vijana wamezichapa hadi mmoja akaaga dunia kisa binti Sauda Hussein waliyekuwa wanachangia kimapenzi.
Bado najiuliza huyu Sauda alikuwa na utamu kiasi gani? Mpaka hii mijemba kuona chuo kizima ni yeye tu wengine hawafai mpaka wakaanza kumgombania.
Mimi hata nimfumanie mke wangu analiwa achana na ile njia halali hata iwe kinyume na maumbile siwezi kufanya upuuzi wa kupigana, sanasana nitawapa uhuru wa kuwapisha ili walane vizuri.
Kijana, wazazi wanauza kila walicho nacho huko kijijini ili wakupe elimu unaenda kupigania mapenzi?
Sina haja ya kumpa R.I.P aliyekufa, hawa ni WAPUMBAVU.
Poleni sana wazazi wa hawa watoto, mmepoteza mali zenu kuwapa elimu na mitoto imekuwa MIPUMBAVU
Bado najiuliza huyu Sauda alikuwa na utamu kiasi gani? Mpaka hii mijemba kuona chuo kizima ni yeye tu wengine hawafai mpaka wakaanza kumgombania.
Mimi hata nimfumanie mke wangu analiwa achana na ile njia halali hata iwe kinyume na maumbile siwezi kufanya upuuzi wa kupigana, sanasana nitawapa uhuru wa kuwapisha ili walane vizuri.
Kijana, wazazi wanauza kila walicho nacho huko kijijini ili wakupe elimu unaenda kupigania mapenzi?
Sina haja ya kumpa R.I.P aliyekufa, hawa ni WAPUMBAVU.
Poleni sana wazazi wa hawa watoto, mmepoteza mali zenu kuwapa elimu na mitoto imekuwa MIPUMBAVU