Nipo apa kuwatoa ujinga nyinyi wanaume mnaojifanya mna pesa yaan unakuta dume zima linajua na mwanamje first day denu anaanza njaa mara nina birthday.kuna mchango wa harusi .nimekopa nadaiwa nina shida ya sh fulani na mwanaume na akili timamu unatuma unajua anajuchukuliaje
JIBU : ANAKUONA BOYA NA HUJIELEWI
Mwanamke anapokuomba jua kakudharau na hana hofu ya kukupoteza hvo lolote litakalo tokea sawa tu leo unatuma na kesho unatuma tena kesho kutwa unamwambia NAKUPENDA anakujibu SIKUTAK
Akigundua kuwa unapesa nying ila akili hauna apa utapigwa mizinga ya maana ila papuchi atakupa ila akikuona fara sn hata papuch hakupi
Unampa pesa ya kusuka mwenzako anapendeza kisha anaenda kwa mwingine
NARUDIA TENA MWANAMKE ANAEKUPENDA HAWEZ KUKUOMBA PESA FIRST DAY
JIBU : ANAKUONA BOYA NA HUJIELEWI
Mwanamke anapokuomba jua kakudharau na hana hofu ya kukupoteza hvo lolote litakalo tokea sawa tu leo unatuma na kesho unatuma tena kesho kutwa unamwambia NAKUPENDA anakujibu SIKUTAK
Akigundua kuwa unapesa nying ila akili hauna apa utapigwa mizinga ya maana ila papuchi atakupa ila akikuona fara sn hata papuch hakupi
Unampa pesa ya kusuka mwenzako anapendeza kisha anaenda kwa mwingine
NARUDIA TENA MWANAMKE ANAEKUPENDA HAWEZ KUKUOMBA PESA FIRST DAY