safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,164
- 15,839
Mwanamke anaweza kukupenda kwa PESA zako na akakupenda kweli kweli hili linawezekana.
Sio dhambi, sio vibaya, sio jinai na hili linawezekana kwa asilimia miamoja 100%
Kwanini?
😁😁😁
Kwa sababu ukiona unapendwa au mwanamke akikupenda lazima kuna kitu kakupendea tu sio bure kwamba akupende bila sababu ya msingi.
Mfano mwanamke anaweza kukupenda kwa sababu ya utanashati wako na akakupenda kweli kweli, hapa kakupenda kwa sababu utanashati umefungamana na wewe, yaani UNA utanashati ndio maana akakupenda.
Maana yake bila utanashati au ukianza kupungua utanashati na mapenzi yatapungua pia.
Hapa pia tunasema UTANASHATI UMENUNUA MAPENZI.
Au mwanamke anaweza kukupenda kwa ustaarabu wako, hapo maana yake uustaarabu umefungamana na wewe ndio maana akakupenda ama UNAO ustaarabu ndio maana akaupenda.
HAPA TUNASEMA USTAARABU UMENUNUA MAPENZI.
Au mwanamke anaweza kukupenda kwa sababu ya maneno yako mazuri, hapa maana yake maneno mazuri yameambatana na wewe ama una maneno mazuri. Ndio maana kakupenda.
NA HAPA MANENO MAZURI YAMENUNUA MAPENZI.
Sasa iweje pesa isinunue mapenzi ama isisababishe mtu kukupenda wakati ambapo pesa itakuwa imeambatana na wewe na unayo?
Pesa inapokuwa imeambatana na wewe,ama unapokuwa una pesa za kutosha maana yake hiko ni kivutio kama vivutio vingine kwa mwenzio yaani..
Pesa ni kivutio kama kivutio cha utanashati.
Pesa ni kivutio kama kivutio cha six pack.
Pesa ni kivutio kama kivutio cha urefu.
Pesa ni kivutio kama kivutio cha ustaarabu.
Kwa hiyo mwanamke anaweza kukupenda kwa sababu amevutiwa na pesa zako,na hili sio ubaya kukupenda kwa ajili hii kwa sababu pesa ni kivutio kama vivutio vingine.
Pengine mtu akauliza JE, PESA ZIKIISHA ATAENDELEA KUKUPENDA?
Sasa na utanashati ukiisha ataendelea kukupenda?
Kama jibu ni ndio basi na pesa ni ndio.
Je, ustaarabu ukiisha ataendelea kukupenda?
Kama jibu ni ndio pasi na pesa ni ndio.
Je, six pack zikiisha anaweza kukupenda?
Kama jibu ni ndio basi na pesa ni ndio.
Kwa hiyo pesa ni kivutio kwa mwanamke kama vivutio vingine vinavyoambatana na wewe yaani urefu,weupe,unene,wembamba n.k
Tusiwalaumu kutupenda kwa ajili ya pesa, kwani kila mmoja ana sababu yake ya kukupenda na pesa ni sababu pia ya kukupenda.
Na pesa ni sababu kubwa sana kwa sababu itamnufaisha na kumfanya apate mahitaji yake.
Lakini weupe wako hauwezi kumtimizia mahitaji yake.
Urefu wako hauwezi kumtimizia mahitaji yake.
Ustaarabu wako hauwezi kumtimizia mahitaji yake.
Pesa ina nafasi kubwa sana katika kujenga mahusiano na kununua mapenzi kwa mwanamke.
Kila mmoja ana chaguzi zake.
Sio dhambi, sio vibaya, sio jinai na hili linawezekana kwa asilimia miamoja 100%
Kwanini?
😁😁😁
Kwa sababu ukiona unapendwa au mwanamke akikupenda lazima kuna kitu kakupendea tu sio bure kwamba akupende bila sababu ya msingi.
Mfano mwanamke anaweza kukupenda kwa sababu ya utanashati wako na akakupenda kweli kweli, hapa kakupenda kwa sababu utanashati umefungamana na wewe, yaani UNA utanashati ndio maana akakupenda.
Maana yake bila utanashati au ukianza kupungua utanashati na mapenzi yatapungua pia.
Hapa pia tunasema UTANASHATI UMENUNUA MAPENZI.
Au mwanamke anaweza kukupenda kwa ustaarabu wako, hapo maana yake uustaarabu umefungamana na wewe ndio maana akakupenda ama UNAO ustaarabu ndio maana akaupenda.
HAPA TUNASEMA USTAARABU UMENUNUA MAPENZI.
Au mwanamke anaweza kukupenda kwa sababu ya maneno yako mazuri, hapa maana yake maneno mazuri yameambatana na wewe ama una maneno mazuri. Ndio maana kakupenda.
NA HAPA MANENO MAZURI YAMENUNUA MAPENZI.
Sasa iweje pesa isinunue mapenzi ama isisababishe mtu kukupenda wakati ambapo pesa itakuwa imeambatana na wewe na unayo?
Pesa inapokuwa imeambatana na wewe,ama unapokuwa una pesa za kutosha maana yake hiko ni kivutio kama vivutio vingine kwa mwenzio yaani..
Pesa ni kivutio kama kivutio cha utanashati.
Pesa ni kivutio kama kivutio cha six pack.
Pesa ni kivutio kama kivutio cha urefu.
Pesa ni kivutio kama kivutio cha ustaarabu.
Kwa hiyo mwanamke anaweza kukupenda kwa sababu amevutiwa na pesa zako,na hili sio ubaya kukupenda kwa ajili hii kwa sababu pesa ni kivutio kama vivutio vingine.
Pengine mtu akauliza JE, PESA ZIKIISHA ATAENDELEA KUKUPENDA?
Sasa na utanashati ukiisha ataendelea kukupenda?
Kama jibu ni ndio basi na pesa ni ndio.
Je, ustaarabu ukiisha ataendelea kukupenda?
Kama jibu ni ndio pasi na pesa ni ndio.
Je, six pack zikiisha anaweza kukupenda?
Kama jibu ni ndio basi na pesa ni ndio.
Kwa hiyo pesa ni kivutio kwa mwanamke kama vivutio vingine vinavyoambatana na wewe yaani urefu,weupe,unene,wembamba n.k
Tusiwalaumu kutupenda kwa ajili ya pesa, kwani kila mmoja ana sababu yake ya kukupenda na pesa ni sababu pia ya kukupenda.
Na pesa ni sababu kubwa sana kwa sababu itamnufaisha na kumfanya apate mahitaji yake.
Lakini weupe wako hauwezi kumtimizia mahitaji yake.
Urefu wako hauwezi kumtimizia mahitaji yake.
Ustaarabu wako hauwezi kumtimizia mahitaji yake.
Pesa ina nafasi kubwa sana katika kujenga mahusiano na kununua mapenzi kwa mwanamke.
Kila mmoja ana chaguzi zake.