Nina uhitaji wa mtoto, sasa endapo atakuwepo mdada ambaye ni mjamzito miezi 5-8 nahitaji akizaa mtoto awe wakwangu anikabidhi basi tuwe tumemalizana nitamlea mwenyewe kwa vyovyote vile na nitamuingiza kwenye ukoo wangu. nafahamu kuna vituo vya kulelea yatima ila sihitaji huko mbali sana na process za kurithi ni ngumu sana.
Huu ni kama msaada kwa mama mjamzito kama atakuwa ni mtu ambaye labda hakupanga kuzaa ila imetokea na hayuko tayari kuwa na huyo mtoto.
cc Equation x
Au
Kusema ukweli nahitaji mtoto wa kike au wa kiume umri kuanza mwezi 1 hadi miezi 6, tatizo nililo nalo siwezi kulizungumzia hapa, ila naomba msaada namna ya kumpata, nafahamu vipo vituo vya watoto yatima, sitaki kwenda huko nahitaji nampataje sitaki process zote za serikali za kurithi maana zina mlolongo mkubwa. Je kuna uwezekano wa kumpata kwa namna gani,
Niombe nisiulizwe swali kama HUNA KIZAZI UZAE, MTAFUTA MKE UZAE NAYE.
Huu ni kama msaada kwa mama mjamzito kama atakuwa ni mtu ambaye labda hakupanga kuzaa ila imetokea na hayuko tayari kuwa na huyo mtoto.
cc Equation x
Au
Kusema ukweli nahitaji mtoto wa kike au wa kiume umri kuanza mwezi 1 hadi miezi 6, tatizo nililo nalo siwezi kulizungumzia hapa, ila naomba msaada namna ya kumpata, nafahamu vipo vituo vya watoto yatima, sitaki kwenda huko nahitaji nampataje sitaki process zote za serikali za kurithi maana zina mlolongo mkubwa. Je kuna uwezekano wa kumpata kwa namna gani,
Niombe nisiulizwe swali kama HUNA KIZAZI UZAE, MTAFUTA MKE UZAE NAYE.