CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,971
Sina maneno mingi mingi leo ila napenda tu kusema na kuwambia kina mama/dada zetu kwamba sisi wanaume hamna kitu tunapenda na kukifurahia kama chakula cha nyumbani ambacho ni kitamu kilichopikwa kwa ustadi na level za ki 5 star hotel.
Mambo mengine yotee huko tunaweza kuelekezana ila jikoni ni eneo lenu bwana hebu jitahdini sekta hiyo, hamna kitu inauma na kutia simanzi unaacha hela ya kutosha chakula kitamu halafu unarudi home unakuta umepikiwa chakula cha kambini ki ukweli inauma.
Japo mnatulishaga kwa mahaba na kutudekeza ila niwambieni tu tunakulaga basi tu ila kula vyakula vya kambini nyumbani inatia simanzi kubwa sana,Nyumbani ndio mwisho unajua,nimeshinda kazini mchana yote nimekula kula sehemu tofaut tofaut ninaporudi home tunatamani tukutane na vitu vitamu mezani hata kama ni mboga ya nyanya bila nyama uwezekano wakuipika ile mboga ikawa kama imepikwa kwa mchuzi wa nyama huo uwezo upo bana "hamjaamua tu"
sasa punguzeni kutubebisha,juhudi zenu zihamishieni JIKONI unajua hata tukishba tukafurahia chakula mtu ukashushia maji aaah hata ukienda uwanjani dakika 90 unakimbia vizuri sana tu na huchoki.ila pigo za kutulisha michemsho vitu vimekorogwa korogwa tu aah mnazingua.
Stress za mume zinaondolewa na msosi mtamu tena ulopikwa na wewe maza mjengo sio dada wa kazi,linapokuja swala la matumbo yetu fahamuni nyie ndio wajibu wenu kuhakikisha kinachoingia mmekithibitisha.
Nyie chukulieni poa JIKO,endeleeni hivyo hivyo halafu mtaona kifuatacho ITV.
Mambo mengine yotee huko tunaweza kuelekezana ila jikoni ni eneo lenu bwana hebu jitahdini sekta hiyo, hamna kitu inauma na kutia simanzi unaacha hela ya kutosha chakula kitamu halafu unarudi home unakuta umepikiwa chakula cha kambini ki ukweli inauma.
Japo mnatulishaga kwa mahaba na kutudekeza ila niwambieni tu tunakulaga basi tu ila kula vyakula vya kambini nyumbani inatia simanzi kubwa sana,Nyumbani ndio mwisho unajua,nimeshinda kazini mchana yote nimekula kula sehemu tofaut tofaut ninaporudi home tunatamani tukutane na vitu vitamu mezani hata kama ni mboga ya nyanya bila nyama uwezekano wakuipika ile mboga ikawa kama imepikwa kwa mchuzi wa nyama huo uwezo upo bana "hamjaamua tu"
sasa punguzeni kutubebisha,juhudi zenu zihamishieni JIKONI unajua hata tukishba tukafurahia chakula mtu ukashushia maji aaah hata ukienda uwanjani dakika 90 unakimbia vizuri sana tu na huchoki.ila pigo za kutulisha michemsho vitu vimekorogwa korogwa tu aah mnazingua.
Stress za mume zinaondolewa na msosi mtamu tena ulopikwa na wewe maza mjengo sio dada wa kazi,linapokuja swala la matumbo yetu fahamuni nyie ndio wajibu wenu kuhakikisha kinachoingia mmekithibitisha.
Nyie chukulieni poa JIKO,endeleeni hivyo hivyo halafu mtaona kifuatacho ITV.