mungu

  1. Allen Kilewella

    Mungu ndiye aliyetulazimisha waafrika tuachane na majina yetu ya Asili?

    Hivi mtu hawezi kuwa Muislamu safi bila ya kuitwa Hassan, Abdallah au Amour? Hivi kuwa Mkristo kuna uhusiano gani na mtu kuitwa John, Julius au stephano? Au Mungu wa wakristo na waislamu hapendi majina ya kiafrika hivyo akalazimisha kuwa ni lazima tutumie majina ya mataifa mengine? Siku hizi...
  2. Samia atosha tukutane2030

    Mungu wangu ana nguvu sana, muulizeni Jiwe, mkinipa sababu za maana kwanini hamumtaki Samuya nitamsihi Mungu aamue kama alivyofanya kwa Jiwe.

    Sababu nambari 1 kwanini nimeamua kuwa upande wa Samia hata kama ana ubaya ni Watanzania kumwabudu Jiwe. Jiwe mtu mwovu sana . Yote kwa yote katika kipindi cha utawala wake wananchi waliishi maisha magumu mno ila wananchi wenyewe wapo kama kuku, dk mbili mbele wameshasahau.. Sababu ya pili...
  3. Allen Kilewella

    Thibitisha kwamba HAKUNA MUNGU

    Nawaandikia Infropreneur na Kiranga makuhani wakuu wa Atheists wa JF, salaam. Kwenye mada hii nataka mtuthibitishie kuwa hakuna Mungu. Kwenye kuthibitisha kwenu, msiishie tu kusema hayupo kwa kuwa hayupo, tupeni hoja zenye mantiki ni kwa nini hayupo. Na msikwepe hoja kwa kusema hayupo kwa...
  4. Jagina

    Je Mungu anaweza kuwa Mungu; Je mtu anaweza kuwa Mungu?

    A: JIBU LA KILOGIC (MANTIKI) Je, Mungu anaweza kuwa mtu? Ndiyo au Hapana hutegemea ufafanuzi wa “Mungu”. Ikiwa Mungu ni: 1. Asiyekuwa na mwanzo wala mwisho 2. Asiyepungukiwa na chochote 3. Asiyefungwa na muda, nafasi, njaa, usingizi, maumivu, au kifo Basi kwa logic safi: Mungu hawezi kuwa...
  5. A

    Kuna wakati sitaki kuamini uwepo wa Mungu lakini maswali haya yananichanganya sana

    Kuna wakati nataka kuamini Mungu hayupo lakini kuna maswali ambayo najiulizaga mpaka leo sijawahi kupata majibu yake 1 Sayansi inasema ulimwengu ulianza (Big Bang) Kabla ya hapo hakukuwa na dunia, jua wala muda kama tunavyoujua. Swali ni hili kama ulimwengu ulianza, nani au nini kilianzisha...
  6. Powell Gonzalez

    Je, Mungu yupo au hayupo?

    Njoo hapa unithibitishie kuwa mungu hayupo kwa hoja zako nami nitazijibu kishupavu. Ila kwanza pitia haya maelezo machacge hapa chini. Soma ikiwa tu una uelewa kidogo kuhusu quantum physics, ikiwa Huna uelewa basi pita huu uzi uache, kasome kwanza quantum physics, kisha rudi siku nyingine, maana...
  7. Nelson Jacob Kagame

    Binadamu mnamjua Mungu aliyewaumba au mnakariri hadithi tu?

    Baada ya kupotea mda mrefu nimerudi tena ndugu zangu. Mniwie radhi kwa simulizi nilizoshindwa kuzimalizia.... sababu zilikua nje ya uwezo wangu. Leo ningependa niwaulize watu ambao mnajiita kua mna ubini wa Adamu. Mnamjua Mungu aliyeumba au mnakariri hadithi na mapokeo. Mungu yupo ila asilimia...
  8. secretarybird

    Mungu na jamaa yake Shetani wanazidi kupoteza umaarufu waliojizolea

    Wakuu, dalili za Mungu na swahiba wake Shetani kupoteza umaarufu waliokuwa nao imeanza kuonekana wazi wazi. Kitendo Cha watu kumchana live mwenyezi Mungu kinathibitisha kuwa viumbe hawa wawili dhahania sasa muda wao wa kutamba unakaribia kwisha hapa duniani. Naishia hapa Kwa sasa.
  9. stakehigh

    Mungu alitoa wapi wazo la kumuumba Binadamu? Haya ndo majibu

    Mm ni mkristo kidini lakini kiasi flan navutiwa sana na dini za wahindi, Nimesoma vitabu kadhaa vya dini za kihindi japo vipo vingi huezi maliza vyote, lakini hivi ndo baadhi THE VEDAS, GURU SAHIB. katika dini ya wahindi vitabu vipo vingi ukijumlisha na Miungu yao pia ipo Mingi, kwa mfano kuna...
  10. Izy_Name

    Huu ni mjadala maalumu kuhusu uwepo wa Mungu na kutokuwepo kwake kwa ushahidi wa vitabu vitakatifu, history na science

    Ingawa wanasayansi wengi hawajawahi kusema wazi kuwa hakuna Mungu, tafiti na maelezo ya sayansi yanapokuja na majibu yanayotofautiana na maandiko ya dini, mara nyingi huleta tafsiri inayofanana na dhana ya kutokuwepo kwa Mungu au angalau kutohitajika kwa Mungu katika kueleza asili ya ulimwengu...
  11. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Sawa Mungu akatuchoma moto wa Milele. Je ninyi watakatifu mtakao Baki mtakuwa na furaha Gani wapendwa wenu wakiwa wanachomwa moto wa Milele??

    Mods Uzi huu uachwe ujitegemee tafadhari.🫷 Awali ya yote Mimi mpango wa kwenda mbinguni ni kama haupo maana kila nikipiga tathimini Bado najiona Sina sifa hizo Kwanza Zaka sitoi,sadaka nishakataa kuipeleka kanisani. Ukija namna ya kuishi napo Bado na pwaya maana uko zako unawaza kuchuma...
  12. 4

    Mungu wangu kanionesha mtu muhimu akiwa katika umauti.

    Wakuu kwema rejea habari hapo juu, ndivyo ilivyo kuna code amenipa Mungu siwezi zitoa hapa maana nikizitoa wachungaji na manabii uchwara watazichukua na kunena watakayo. Nimeoneshwa mtu ajiitae mkubwa yupo katika mauti nikajaribu msadia zikatoka farasi kumi wamebeba watu 10 wakitaka...
  13. O

    Siri inayofichwa kwenye "Yoni Detox" na miungu ya Kike

    CC: Mshana Jr TUFUNDISHE ZAIDI Wimbi la mafunzo yanayoitwa ya "asili" yakilenga wanawake, Kwa kutumia maneno kama Yoni Healing, Womb Health, au Kundalini. Ingawa yanaonekana kama ni mazoezi ya kawaida au afya, ndani yake kuna mambo mazito unayopaswa kuyajua kabla hujaingia. 1. Mtego wa Kiroho...
  14. Registered_jf

    Kipindi siamini MUNGU, sikuwa na muda na imani za watu

    1) Kulelewa na wazazi wakristo sio kuwa Mkristo. Kuwa Mkristo ni kukutana na Kristo kibinafsi. Ni kama ulikuwa unasikia story za mjomba kwa miaka, hatimaye akaja nyumbani. 2) Nilipoteza imani nikiwa form 3, tena kwasababu ya kusoma posts za humu JF! Ndomana mzungu alisema: Little knowledge is...
  15. R

    Mungu siyo mmoja, kuna Mungu wengi. Why?

    Mungu wa CCM na Mungu wa Mwenyekiti wa CCM, siyo sawa na Mungu wa CHADEMA na Lissu. Hawa ni Mungu tofauti. Mungu wa Mafwele, Wambura na Mkunda, Mulilo siyo sawa na Mungu wa wengine. Na inawezekana Mungu wa Waislamu siyo sawa na Mungu wa Wakristo
  16. J

    Ni kwa vipi Daudi alivyoupendeza moyo wa Mungu

    Ni kwa vipi Daudi alivyoupendeza moyo wa Mungu Daudi ni nani Hebu tusome katika Matendo 13:21 “Hatimaye wakaomba kupewa mfalme; Mungu akawapa Sauli mwana wa Kishi, mtu wa kabila ya Benyamini, kwa muda wa miaka arobaini. 22 Na alipokwisha kumwondoa huyo, akamwinua Daudi awe mfalme wao ambaye...
  17. Robert Heriel Mtibeli

    Kwenye Maisha yako yote, ogopa kukataliwa na Mungu

    KWENYE MAISHA YAKO YOTE OGOPA KUKATALIWA NA MUNGU. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Kukataliwa na Mungu wako. Mungu ni mwingi wa rehema. Mwenye huruma nyingi. Mwenye upendo mwingi. Ikifikia hatua amekukataa my friend game over. Umekwisha. Alafu ukikataliwa na Mungu unajua tuu. 2. Maisha...
  18. M

    Wayahudi ndio watu wanaoongoza kwa ukaidi hapa duniani licha ya kuwa Mungu alishawabainishia hoja zilizo wazi kabisa. Walimdai Musa awaoneshe Mungu

    Mayahudi ni moja ya jamii ya watu waliofadhiliwa sana na Mungu huko zamani kwasababu walipelekewa mitume mingi sana ila wengi wao waliwakanusha na hata kufikia kuwaua. Wakati Mtume Muhammad (sala na amani ziwe juu yake) alipohamia katika mji wa Madinah kutoka makkah alikuta jamii kubwa sana ya...
  19. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Kuliko kuchomwa moto wa Milele ni Vyema na haki Mungu akatufanya watumwa. Tuwatumikie watakatifu huko mbinguni

    Mimi kila nikitazama mbele sioni kama nitatoboa na hatimae kuingia paradiso. Nimekaa nikafikiria na kuwaza sana Mungu atakuwa na faida Gani iwapo atatuchoma moto wa Milele? Na vipi tulio tiyari kufanywa watumwa tuwatumikie tu hao watakatifu wake? Kwakweli kutuchoma moto hapana manabii...
  20. R

    Chaula tunakuombea heri za Mwenyezi Mungu huko uliko kama bado uko hai

    Kijana mdogo, kuchoma picha ya yeye kuchora unatoa uhai wake halafu unavaa ushungi eti unatimiza Matakwa ya dini!
Back
Top Bottom