mungu

  1. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Mungu atakuwa wa ajabu kupokea sala ya ambaye anamuweka mtu jela akidai muhaini na huku hana kosa

    Nina tamani nifungue mashitaka dhidi ya Mungu anae POKEA maombi ya mtu kama huyu Alie mfunga Tundu Lissu kwa kesi ya uhaini Ili Hali sio muhaini. Je nisubilie nife, nizikwe nikakutane nae uko Mbinguni? Najiuliza hivi kweli huyu nae alifunga Nini? Anamwomba Mungu ampe uhai? Je ampe mume...
  2. kavulata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba wana TFF Yanga wana Mungu, wote sare

    Hakuna mtu mwenye akili timamu ambae hajui kwamba TFF na Bodi ya ligi wana upogo kwenye kupanga ratiba za mechi, waamuzi na adhabu mbalimbali. Upogo wao huu haupangui matokeo ya ligi badala yake unazidi kuidhoofisha timu yao.
  3. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Mtu Mweusi Hakuumbwa na "Mungu Wake" Hadi Aabudu Mungu wa Wazungu, Wayahudi na Mungu wa Waarabu?

    Haiwezekani na haiingii akilini iweje mtu mweusi asiabudu Mungu wake kama ilivyo jamii zingine Duniani zilivyozaliwa Hadi awe Anaabudu Mungu wa Wazungu,Mungu wa Wayahudi na Mungu wa Waarabu? Binafsi Sina huo ujinga wa kuabudh kina Mungu wa jamii zingine ni utumwa wa kifikra na kutojitambua...
  4. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwa nini pamoja na kutokuwa na uthibitisho bado ni vigumu sana waamini Mungu kuwa atheists wakiwa wakubwa?

    Kwa nini ni vigumu sana watu kuacha kuamini mungu wakati 99% wanaamini mungu kwa sababu tu walizaliwa na wazazi waamini mungu(wenye dini) ila sio kwamba walianza kuamini mungu kwa sababu walipata uthibitisho kuwa mungu yupo? Pia ukizingatia binadamu wote wanazaliwa atheists ni ajabu baada ya...
  5. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Muamini Mungu na muone Mungu nyuma ya pito lako mpendwa

    Bwana Yesu Asifiwe : Kwa Moyo Mkunjufu Ninakukaribisha Katika Mfululizo Wetu wa 4 wa Kitabu Hiki cha MUONE MUNGU NYUMA YA PITO LAKO. Kumbuka ni katika Mfano wa 3 wa Hamani; lakini mi katika mada yetu ileile ya 1. Jinsi Ambavyo Mungu Anavyoweza Kuwa Nyuma ya Jambo Gumu Linalokukabili. Karibu...
  6. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Kama Mwanaume, omba Mungu sana usijejikuta kwenye Hali kama hii. Ni aibu isiyoelezeka

    Kama mzazi, imagine Binti yako amerudishwa nyumbani kutoka shule kwa Maswala kadhaa mfano kuita mzazi au kurudishwa school fees n.k. Badala ya kufika nyumbani, akaamua kwenda sehemu fulani .. mara Paap, whistleblower na wambea wa mtaa wanatoa Codes, mahali Binti yako ameingia na njemba. Njemba...
  7. petro matei

    JamiiForums Tanzania Nimesoma kitabu chote cha Mtumishi wa Mungu Dana Morey sijaona viashiria vyovyote vya ushoga

    Yes! nimesoma kitabu chote kimenibariki sana kwa Neno la Mungu, sijaona hata Maneno au habari mbaya zilizo na viashiria vya ushoga hakika. Nimebaki najiuliza waliompa taarifa Mkuu wa mkoa JE ni rangi ya nje ya kitabu au rangi ya mipira maana pia Haina rangi za upinde wa mvua (Rainbow) Kwa...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Pole Mr. Lissu, Mungu yupo nawe

    From X Umetimiza siku 340 leo Gerezani. Aliyekubambikiza kesi ya UONGO yuko busy kufanya maigizo ya kuasili watoto huku mtaani ili aonekane ana upendo kwenye macho ya dunia. Uzuri ni kwamba historia haidanganyi. IKO SIKU!.
  9. C-C Daily Stories

    JamiiForums Tanzania Je, MALAIKA anaweza kuwa Mungu kwa mujibu wa Civilian Coin au kiumbe gani kiwe Mungu

    Nimepitia kipeperushi Cha Bw. Civilian Coin-mtoto wa Kisandu Kama anavyojiita yeye anathibitisha kuwa Malaika ndio Mungu.
  10. secretarybird

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Eti, "natafuta mke/mume mwenye hofu ya mungu", nyambafu!

    Eti, "...mwenye hofu ya mungu..." Kwa nini mungu anaogopwa hivi? 🤔. Seran.
  11. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnaokwenda uwanjani usiku Mungu awabariki sana

    Ni kipaji cha hali ya juu kama sio upendo wa agape. Niwapongeze mnaoenda uwanjani kuangalia mechi za usiku Mbarikiwe sana sana Mnaofunga mpoo uwanjan nanyi Comgola yenuuuu
  12. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Mtu wa Mungu ni yupi?

    A:UPANDE WA WENYE HAKI Mith 11:20 Tunaitwa kuwa wakamilifu katika utume wetu, tukitenda yatupasayo, katika njia sahihi. Ni katika kuwa wenye haki tu ndipo tutaweza kuurithi uzima wa milele. Yakobo 5:16 Maombi ya mtu mwenye haki yana nguvu na huleta matokeo. Zaburi 34:15 Macho ya BWANA...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Ukipewa nafasi na Mungu wa Mbinguni upendekeze mtu wa kunyakuliwa MAWINGUNI utampendekeza nani?

    Ni swali la kawaida. Avoid negative interpretation!!! 1.
  14. Mr George Francis

    JamiiForums Tanzania Mungu anampa kila mtu kwa namna yake

    MUNGU ANAMPA KILA MTU KWA NAMNA YAKE. Mungu wetu ni mwaminifu sana na anampa kila mtu kwa namna yake na si kwa jinsi tunavyotaka sisi binadamu. Mungu umpa kila mtu kulingana na hekima yake, wakati wake, na mpango wake maalum kwa maisha ya kila mmoja wetu. Kama ilivyoelezwa katika Biblia 1...
  15. let the caged bird sings

    JamiiForums Tanzania Atheist anayeamini uwepo wa Mungu

    Yule Dogo ambaye Baba yake aliwai kuwa Mkuu wa 3 kwenye Taifa la Mcharo aliwai jisahau kuwa huwa anajitambulisha kama Atheist, akajikuta kaandika kitu kama hiki. Baada kuwa confronted na Umma wa JF, kumtuliza ilikuwa ni kipengere
  16. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mliokosea kuoa na kuolewa njoeni mjifariji hapa. Mungu atawakumbuka

  17. Wakusolve

    JamiiForums Tanzania Je unajua binadamu ana level ya ufahamu au dimension kuusu Mungu, upo level gani ? soma hapa

    Dimension nini, ni uwezo au ufahamu wa binadamu kuusu Mungu.Binadamu tuna level fulani ya ufahamu kuusu Mungu.Ufahamu wa juu wa binadamu mara nyingi unatokea pale mtu anapopitia greater loss(Kupoteza au Changamoto ngumu za kimaisha) Dimension hizo ni -3D -4D -5D 3D(dimension) Hii ni level...
  18. Stroke

    JamiiForums Tanzania Kwanini naamini Mbingu ipo , Mungu na Pia Shetani

    Hapo kale, Jamii nyingi walipenda mno Pombe, mpaka ikafikia mahali vitabu vya dini vikatamka wazi ahadi ya uwepo wa mito ya mvinyo huko Mbunguni. Yesu pia aliwahi tengeneza divai katika harusi huko kana ya galilaya. Kizazi cha sasa watu wanapenda mno kudinyana. Ahadi inayotrend ni ya mabikra...
  19. Wakusolve

    JamiiForums Tanzania Watu wakuu(greatness) wanakuwa na baraka hizi kutoka kwa Mungu

    Mambo ambayo Mungu akitaka kukuinua na kuwa mtu mkubwa(born for greatness) anakubariki 1.Mungu anakupa heshima ambayo watu watakupenda na kukuamini 2.Upako(power), Mungu atapokuinua atakupa uwezo wa kutenda miujiza au kubadilisha tabia za watu na kuwa bora 3.ushawishi(influence), Mungu...
  20. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Hivi ulishawahi kujiuliza Mwenyezi Mungu ametokea wapi?

    Hivi ulishakaa na kujiuliza Mwenyezi Mungu ametokea wapi? Na ilikuwaje kuwaje akawaza kuumba . Je maisha ya upweke aliishi kwa muda gani kabla hajaumba malaika ,wanadamu na majini na viumbe wengine. Hiyo infinity past unaichukuliaje? Nini kitatokea hao aliowaamini nao wakakengeuka? Hapa...
Back
Top Bottom