mungu

  1. A

    Moyo unaniuma sana, nahisi nitapata ugonjwa wa moyo. Nimekata tamaa ya maisha, natamani Mungu anichukue

    Nimeona nishiriki nanyi ninavyojisikia, Napitia maumivu sana moyoni, hadi sasa nahisi kama naelekea kwenye dalili za ugonjwa wa moyo! Ipo hivi, nimekata tamaa ya maisha yangu, namuomba Mungu anichukue tuu, labda nitapata nafuu. Maisha yameniumiza mno.😞 ILANI: Sijataka kutumia ID yangu hapa...
  2. Genius Man

    Anayeogopa kufa na kutekwa kwasababu ya kusimamia ukweli ni mhaini dhidi ya serikali ya mungu na anamchango mdogo kwenye kujenga nchi bora

    Ndugu zangu waislam na wakristo Watu wa mungu hawaogopi kufa wala kutekwa kwasababu ya kusimamia ukweli na hao ndio walio changia nchi kupata uhuru hapo awali. Mungu ataki waoga anataka mashujaa wenye msimamo wa haki kwenye hali yoyote ile wakati huu nchi inapo pitia majaribu tunapaswa...
  3. technically

    Mungu huwa anasingiziwa mengi

    Niwaambie Mungu hakuna kitu anapanga hapa duniani Mungu hapangi watawala wa kisiasa Wala kidini. Dini zote nimeletwa na wanadamu na zinawatumikia wanadamu. Nawaambia hata vifo vyote vinatokana tu na binadamu. Mnamsubiri Mungu endeleeni lakini nnawaambia. Duniania Ni shetani makini na...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Mamlaka inayotoka kwa Mungu ni Ile inayotenda Haki na kulinda utu wa watu wake

    Ijumaa Kareem! 1. Mara nyingi watu waovu hutumia maandiko kupotosha Jambo Fulani au kuhalalisha uovu Fulani. 2. Sio Kila mamlaka inatoka kwa Mungu. 3. Zipo Mamlaka za kihalifu ambazo chimbuko lake ni Shetani(roho chafu).. 4. Mtu yeyote anayekuambia Mamlaka zote zinatoka kwa Mungu kaa ukijua...
  5. Luca Paguro

    Machawa wengi wanaamini katika Mungu lakini cha ajabu haohao wanasherekea mauaji

    Hili suala huwa silielewi kabisa. Unakuta chawa ni muislamu safi, au mkristo safi na wanamheshimu Mungu sana, hata ukisoma comments zao utaona wakiwa wanaongea kuhusu Mungu huwa wanaongea kinyenyekevu sana Lakini sielewi ndio mstari wa mbele kushabikia mauaji ya October 29 na kudai waliouawa...
  6. passioner255

    Mungu amesikia vilio vya damu zilizomwagwa tarehe 29

    Kama ambavyo Abel alivyomlilia Mungu damu yake ilivyomwagwa na Cain, ndivyo hivyo damu za watanzania zaidi ya elfu 10 waliokuwa wanadai Tanzania bora vilimlilia Mungu. Kama ambavyo Mungu alivyosikia kilio cha Abel vivyo hivyo kwa watanzania. God'sJustice is inevitable and it is comming.
  7. M

    Tumshukuru Mungu mpaka sasa CCM imepasuka. Wanaopinga huu utawala ni wengi

    Mpaka warudi kuwa na umoja kama enzi zile itachukuwa muda sana. Kundi linalopinga rais Samia kupitishwa kugombea na msaafu Kikwete ni kubwa. Na hilo ndio mpaka sasa halikubali huu uongozi uliopo madarakani. Wanajifanya wapo kimya. Ila chini kwa chini hawamtaki mkuu aliyepo. Hii inaipa nguvu...
  8. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Nimeshakataa kuwa chawa.Ee Mungu endelea kunisaidia

    Nimekataa kuwa chawa tangu nikiwa mdogo sana. Biashara ya kusifu na kuabudu mtu nishakataa kitambo mno. Nikiwa Uvccm mtiifa mwaka 2008-2010 Dr Slaa akikiwasha na sharabaro unanionea wa msonga. Kuna kiongozi wetu alituandaa tuje tusifu na kuabdu kwakwe pamoja na viongozi wengine wa juu ...
  9. DuaZaMama

    Shilole: Nimesimama leo kwa neema ya Mungu baada ya ajali, Asanteni kwa jumbe zenu

    Kupitia ukurasa wake wa Instagram Msanii Shilole anaandika maneno haya , "Nimemwona Mungu kwa macho yangu. Baada ya ajali, nimesimama leo kwa neema yake. Sifa na Utukufu ni zake milele, Kila pumzi ninayovuta leo ni ushuhuda juu yake🙏. Asante ni kwa jumbe zenu, Asanteni kwa simu zenu kwangu na...
  10. Genius Man

    Rais ni mwanasiasa sio Mungu inapaswa achukuliwe kama mjumbe wa nyumba kumi au mbunge mitizamo hasi juu ya Rais ni kichocheo cha matatizo

    Rais ni mwanasiasa sio mungu inapaswa achukuliwe kama mjumbe wa nyumba kumi au mbunge mitizamo hasi juu ya rais ni kichocheo cha matatizo. Rais ni mwanasiasa yule ni sawa na mbunge tuwekeni mizania sawa ili kuwepo na uwajibikaji rais atumike na sio atumikiwe. Mfano uchaguzi wa oct 29 kwa...
  11. H

    Tunauanza mwaka mpya kwa imani na matumaini, tukijua Mungu anafanya jambo jipya kwa kila mmoja wetu (Isaya 43:19).Heri ya Mwaka Mpya wenye baraka

    Tunauanza mwaka mpya kwa imani na matumaini, tukijua Mungu anafanya jambo jipya kwa kila mmoja wetu (Isaya 43:19). Heri ya Mwaka Mpya wenye baraka. Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
  12. D

    Maaskofu nyinyi sio Mungu wetu, Ukweli usemwe mmepotoka tokeni hadharani ombeni msamaha!

    Nafikiri kuhama dhehebu toka katoliki na kwenda kwenye madhebu mengine kwasasabu kanisa katoliki kwasasa limeonesha kuacha mafundisho yake na kuhamia mafundisho ya kupinga amani ambayo kwasisi Wakristo tunaaamini ni moja ya nguzo kuu ya imani . Lakini kwa hivi sasa kanisa limejipambanua...
  13. R

    Tusiwe wepesi wa kusahau, utekaji aliuanzisha Magufuli kwa kumteka Ben SaaNane. He is the one to blame na Mungu amhukumu kwa hilo

    Aliyàhalalisha na yakashika mizizi mpaka leo. Kwangu mimi hilo linatosha kumtupa kapuni! Kwanini? It is because it involves merciless killing of human life .na mengine yaliyofuata!
  14. Kimbesa11

    Nimebarikiwa na mahubiri kutoka kwa mtumishi wa Mungu Dr. Alex G. Malasusa

    Namuona Mungu akinena ndani ya kinywa cha mtumishi wake Dr. Malasusa, hakika nimeponywa nafsi nimeuona utume wa Mungu ndani ya Malasusa. Ee! Mungu wetu Asante kwa kutuletea mtumishi huyu. Malasusa anasimama pamoja na watumishi wa Mungu wote wenye mapenzi mema na mioyo ya watanzania mfano wa...
  15. H

    Ewe Mkristo Wakati Unasherehekea Christmas Ukiwa Katika Wakati wa Maonevu Mengi ya Watawala, Mungu Anakuasa Usishirikiane na Watawala Dhulumati

    Wakati Wakristo wanaitwa kuheshimu mamlaka kwa sababu mamlaka zinatoka kwa Mungu, tamko hilo halihusu kwa watawala wote, bali watawala wale wasiotenda kinyume na mapenzi ya Mungu. Yaani watawala wale ambao ma.laka yao yametoka kwa Mungu. Lakini ufahamu kuwa shetani naye anajitahidi wakati wote...
  16. R

    YESU aliyezaliwa, hana baba wala mama, Ni Mungu aliyekuja Katika mwili wa mwanadamu

    Salaam ,shalom! Hii ni habari njema!! GOOD NEWS😅💥🔥🎉🎊 Asomaye na afahamu, Imeandikwa zamani vitabu vya unabii kuwa YESU ni mwana wa Daudi. Pia ukisoma kuzaliwa kwa YESU Mathayo chapter 1, ukoo wa YESU umeanzia huko Kwa Daudi, Mwana wa Ibrahim. Mathew 1:16. Yakobo akamzaa Yusuph mumeweMariam...
  17. Kimbesa11

    Watumishi wa Mungu mnaoendekeza siasa madhabahuni mnajishushia heshima mnapuuzwa

    Zamani mtumishi wa Mungu akiongea unaona kabisa Mungu ameongea🤣 Ila sahz mtumishi wa Mungu anaongea unaona kabisa ni uongo na anapingwa kwa hoja na unaona kabisa hoja zinazompinga mtumishi wa Mungu zinamashiko hii ni aibu nikushusha chini utume wa Mungu, lakini yote hayo ni kwasababu ya...
  18. BLACK_

    Naamini katika Mungu kwa sasa ata milele

    JESUS LORD Uzi tayari.
  19. Fbn

    Kama unataka kumuona Mungu haraka, kosa pesa kwenye huduma za hospital za serikali

    Watu wanakufa sio kwa kusingizia sijui mungu kapanga ni uwongo. Wanaopanga vifo mfe ni hizi hospital zetu za serikali asilimia kubwa. Yani mtu unaumwa na pesa umekosa au ujatoa kidogo wakuokoea ,Wanaweza kukuacha hapo unajiona. Kuna mzee mmoja alinyimwa kifaa cha kupumulia kisa pesa ya...
  20. ELI COHEN

    Ukitaka kuwachanganya watu weusi na waarabu, unganisha kitu chochote na Mungu uone, direction yote inabadilika.

    Wenzenu wanaikimbizia mars, Nyie bado mnakanyagana kisa mafuta. Wenzenu wanabunu security system za kujilinda na kujihami, Nyie bado mnakatana vichwa kwa jina la mungu. Wenzenu wanajaribu ku-share intelligence na aliens kurahisisha maisha, Nyie bado mnalalimikia ugumu wa maisha ni kutokana na...
Back
Top Bottom