mungu

  1. Wakusolve

    JamiiForums Tanzania Ukiona unapitia dalili hizi katika maisha, jua kuwa Mungu anakupeleka next level ya maisha yako

    Next level nini, ni kiwango ambacho Mungu anakuinua kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyengine yenye ukubwa na mamlaka. Je ni watu gani Mungu uwainua kuwapeleka next level ya maisha? Wanaitwa choosen one au black sheep wa family, Mungu uwainua watu hao hili kuvunja generation curse au...
  2. Infropreneur

    JamiiForums Tanzania Huu ndio wakati muafaka wa MUNGU kuonyesha uwepo na uwezo wake kwa watu wake. Lakini Hayupo kusaidia lolote, Watu wanauwawa tu. Hasa watoto wadogo

    Kuna shule moja huko Iran ilipigwa na kombora na kusababisha vifo vya mamia ya wanafunzi. Watoto wadogo wasio na hatia yeyote wanauwawa kinyama na kikatili kabisa. Halafu hapohapo unaambiwa kuna Mungu mwenye upendo na huruma. Huyo Mungu mwenye upendo na huruma miaka nenda rudi, anaaminiwa na...
  3. Joseph midimu

    JamiiForums Tanzania Shuhudia Mungu

    Ulishawahi kukutana na jaribu gani mpaka ukaamini kuwa kweli MUNGU yupo!🙏📌
  4. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Wayahudi Hawakuogopa Kumuua Yesu Kristo Mtoto wa Mungu Wataogopa Kumuua Khamenei?

    https://youtu.be/II2yPs0OKOs?si=-69y8t4mAwPS6JVN
  5. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Maombi naalum kwa viongozi wafanyakazi wa JF na members Mungu akafanye kuwa mbaraka kwenye nchi yetu mkawe juu mkabarikiwe mpaka

    Prayer for YOU! Father God, Tonight I lift up my Jf family to You. Every mother, every father, every business owner, every leader, every person carrying silent battles that nobody else sees. Lord, Your Word says You give sweet sleep. So I declare sweet sleep over their homes tonight. For the...
  6. Pdidy

    JamiiForums Tanzania 7 mistakes to avoid when God starts blessing you

    7 MISTAKES TO AVOID WHEN GOD STARTS BLESSING YOU 👇👇👇👇👇👇👇 When God begins to bless a person, the real test is not poverty anymore… the real test becomes how you handle abundance. Many people prayed for elevation, but few are prepared for what comes after it. Because blessings can open doors —...
  7. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Pengo na Nkwera wote wamekufa. Mungu atatoa jibu ni nani alikuwa sawa kwenye mgogoro wa 1992-95

    Mgogoro dhidi ya Fr Nkwera ulianza mara tu Pengo alipokuwa Askofu Mkuu (1992) 1.Matatizo yalianza baada ya Polycarp Pengo kutawazwa kuwa Askofu Mkuu wa Dar es Salaam. Alimuita “padre mtoro” na kuanza mchakato wa kumdhibiti. Fr. Nkwera alitajwa kama padre asiye chini ya jimbo rasmi, jambo...
  8. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Mungu ndiye aliyetulazimisha waafrika tuachane na majina yetu ya Asili?

    Hivi mtu hawezi kuwa Muislamu safi bila ya kuitwa Hassan, Abdallah au Amour? Hivi kuwa Mkristo kuna uhusiano gani na mtu kuitwa John, Julius au stephano? Au Mungu wa wakristo na waislamu hapendi majina ya kiafrika hivyo akalazimisha kuwa ni lazima tutumie majina ya mataifa mengine? Siku hizi...
  9. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Mungu wangu ana nguvu sana, muulizeni Jiwe, mkinipa sababu za maana kwanini hamumtaki Samuya nitamsihi Mungu aamue kama alivyofanya kwa Jiwe.

    Sababu nambari 1 kwanini nimeamua kuwa upande wa Samia hata kama ana ubaya ni Watanzania kumwabudu Jiwe. Jiwe mtu mwovu sana . Yote kwa yote katika kipindi cha utawala wake wananchi waliishi maisha magumu mno ila wananchi wenyewe wapo kama kuku, dk mbili mbele wameshasahau.. Sababu ya pili...
  10. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Thibitisha kwamba HAKUNA MUNGU

    Nawaandikia Infropreneur na Kiranga makuhani wakuu wa Atheists wa JF, salaam. Kwenye mada hii nataka mtuthibitishie kuwa hakuna Mungu. Kwenye kuthibitisha kwenu, msiishie tu kusema hayupo kwa kuwa hayupo, tupeni hoja zenye mantiki ni kwa nini hayupo. Na msikwepe hoja kwa kusema hayupo kwa...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Je Mungu anaweza kuwa Mungu; Je mtu anaweza kuwa Mungu?

    A: JIBU LA KILOGIC (MANTIKI) Je, Mungu anaweza kuwa mtu? Ndiyo au Hapana hutegemea ufafanuzi wa “Mungu”. Ikiwa Mungu ni: 1. Asiyekuwa na mwanzo wala mwisho 2. Asiyepungukiwa na chochote 3. Asiyefungwa na muda, nafasi, njaa, usingizi, maumivu, au kifo Basi kwa logic safi: Mungu hawezi kuwa...
  12. A

    JamiiForums Tanzania Kuna wakati sitaki kuamini uwepo wa Mungu lakini maswali haya yananichanganya sana

    Kuna wakati nataka kuamini Mungu hayupo lakini kuna maswali ambayo najiulizaga mpaka leo sijawahi kupata majibu yake 1 Sayansi inasema ulimwengu ulianza (Big Bang) Kabla ya hapo hakukuwa na dunia, jua wala muda kama tunavyoujua. Swali ni hili kama ulimwengu ulianza, nani au nini kilianzisha...
  13. Powell Gonzalez

    JamiiForums Tanzania Je, Mungu yupo au hayupo?

    Njoo hapa unithibitishie kuwa mungu hayupo kwa hoja zako nami nitazijibu kishupavu. Ila kwanza pitia haya maelezo machacge hapa chini. Soma ikiwa tu una uelewa kidogo kuhusu quantum physics, ikiwa Huna uelewa basi pita huu uzi uache, kasome kwanza quantum physics, kisha rudi siku nyingine, maana...
  14. Nelson Jacob Kagame

    JamiiForums Tanzania Binadamu mnamjua Mungu aliyewaumba au mnakariri hadithi tu?

    Baada ya kupotea mda mrefu nimerudi tena ndugu zangu. Mniwie radhi kwa simulizi nilizoshindwa kuzimalizia.... sababu zilikua nje ya uwezo wangu. Leo ningependa niwaulize watu ambao mnajiita kua mna ubini wa Adamu. Mnamjua Mungu aliyeumba au mnakariri hadithi na mapokeo. Mungu yupo ila asilimia...
  15. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Mungu na jamaa yake Shetani wanazidi kupoteza umaarufu waliojizolea

    Wakuu, dalili za Mungu na swahiba wake Shetani kupoteza umaarufu waliokuwa nao imeanza kuonekana wazi wazi. Kitendo Cha watu kumchana live mwenyezi Mungu kinathibitisha kuwa viumbe hawa wawili dhahania sasa muda wao wa kutamba unakaribia kwisha hapa duniani. Naishia hapa Kwa sasa.
  16. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Mungu alitoa wapi wazo la kumuumba Binadamu? Haya ndo majibu

    Mm ni mkristo kidini lakini kiasi flan navutiwa sana na dini za wahindi, Nimesoma vitabu kadhaa vya dini za kihindi japo vipo vingi huezi maliza vyote, lakini hivi ndo baadhi THE VEDAS, GURU SAHIB. katika dini ya wahindi vitabu vipo vingi ukijumlisha na Miungu yao pia ipo Mingi, kwa mfano kuna...
  17. Izy_Name

    JamiiForums Tanzania Huu ni mjadala maalumu kuhusu uwepo wa Mungu na kutokuwepo kwake kwa ushahidi wa vitabu vitakatifu, history na science

    Ingawa wanasayansi wengi hawajawahi kusema wazi kuwa hakuna Mungu, tafiti na maelezo ya sayansi yanapokuja na majibu yanayotofautiana na maandiko ya dini, mara nyingi huleta tafsiri inayofanana na dhana ya kutokuwepo kwa Mungu au angalau kutohitajika kwa Mungu katika kueleza asili ya ulimwengu...
  18. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Sawa Mungu akatuchoma moto wa Milele. Je ninyi watakatifu mtakao Baki mtakuwa na furaha Gani wapendwa wenu wakiwa wanachomwa moto wa Milele??

    Mods Uzi huu uachwe ujitegemee tafadhari.🫷 Awali ya yote Mimi mpango wa kwenda mbinguni ni kama haupo maana kila nikipiga tathimini Bado najiona Sina sifa hizo Kwanza Zaka sitoi,sadaka nishakataa kuipeleka kanisani. Ukija namna ya kuishi napo Bado na pwaya maana uko zako unawaza kuchuma...
  19. 4

    JamiiForums Tanzania Mungu wangu kanionesha mtu muhimu akiwa katika umauti.

    Wakuu kwema rejea habari hapo juu, ndivyo ilivyo kuna code amenipa Mungu siwezi zitoa hapa maana nikizitoa wachungaji na manabii uchwara watazichukua na kunena watakayo. Nimeoneshwa mtu ajiitae mkubwa yupo katika mauti nikajaribu msadia zikatoka farasi kumi wamebeba watu 10 wakitaka...
  20. O

    JamiiForums Tanzania Siri inayofichwa kwenye "Yoni Detox" na miungu ya Kike

    CC: Mshana Jr TUFUNDISHE ZAIDI Wimbi la mafunzo yanayoitwa ya "asili" yakilenga wanawake, Kwa kutumia maneno kama Yoni Healing, Womb Health, au Kundalini. Ingawa yanaonekana kama ni mazoezi ya kawaida au afya, ndani yake kuna mambo mazito unayopaswa kuyajua kabla hujaingia. 1. Mtego wa Kiroho...
Back
Top Bottom