GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,875
Ningewashangaa kweli kweli wale ambao walipewa Dhamana ya Kumchagua na Kumpitisha Mrithi wa Rais wa Zanzibar Dkt. Shein kama wangefanya Kosa kubwa na la Kiufundi kabisa la Kutomchagua Mtu ambaye GENTAMYCINE nadhani si tu kwamba anafaa kuwa Rais wa huko Kisiwani Zanzibar bali naona kabisa kuwa anafaa hata kuja kuwa Mrithi wa Rais Dkt. Magufuli mwaka 2025.
Nina uhakika hata akina Seif Shariff wa ACT na Dkt. Hamad Rashid wa ADC nao pia sasa wanajua kuwa Kazi Pevu tu wanayo hapo kwa Mwinyi.
Nina uhakika hata akina Seif Shariff wa ACT na Dkt. Hamad Rashid wa ADC nao pia sasa wanajua kuwa Kazi Pevu tu wanayo hapo kwa Mwinyi.