Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,641
- 218,091
Tulikuonya mapema sana kwamba Shetani hajawahi kuwa na rafiki, ukatuona wajinga lakini taarifa za siri kutoka kwenye kikao cha CCM Zanzibar cha kuchuja wagombea wa urais wa Zanzibar, jina lako limekatwa kinyama bila hata kujadiliwa, wewe Jecha ndio mtu wa kwanza kufyekwa bila huruma.
Mwenyekiti wa kikao hicho kilichokuchinjia baharini ni yuleyule Shein uliyembeba kwa mbeleko ya chuma bila aibu wala soni, sasa subiri kudhalilika zaidi.
Mwenyekiti wa kikao hicho kilichokuchinjia baharini ni yuleyule Shein uliyembeba kwa mbeleko ya chuma bila aibu wala soni, sasa subiri kudhalilika zaidi.