Mungu niokoe, maji yamenizidi. Yamefika mpaka nafsini mwangu.
Nimezama Baba katika matope
Yasiyowezekana kusimama.
Ewe Mungu angalia wanaokungojea, wasiaibishwe, kwa ajili yangu Ewe Bwana wa Majeshi.
Wanaokutafuta, wasiaibishwe kwa ajili yangu Ewe Bwana wa Majeshi.
Nimefika mpaka maji ya...