Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,340
- 2,296
Mnaounga mkono huyo askofu kwanini mnamwabudu huyo mungu?
Mungu wangu mimi ni tofauti na huyo, Mungu wangu ni mwingi wa upendo, Rehema na asie na hasira mdio maana hahusiki na vifo
Kifo siyo kibaya mara zote. Imagine watu kama kina Hitler, Idd Amin, Magufuli, Mobutu wangekuwa wanaishi milele.View attachment 1695994
Mnaounga mkono huyo askofu kwanini mnamwabudu huyo mungu?
Mungu wangu mimi ni tofauti na huyo, Mungu wangu ni mwingi wa upendo, Rehema na asie na hasira mdio maana hausiki na vifo
Kwahiyo wewe ufiView attachment 1695994
Mnaounga mkono huyo askofu kwanini mnamwabudu huyo mungu?
Mungu wangu mimi ni tofauti na huyo, Mungu wangu ni mwingi wa upendo, Rehema na asie na hasira mdio maana hausiki na vifo
Laiti Mungu wako angekuwa hivyo basi usingezaliwa.View attachment 1695994
Mnaounga mkono huyo askofu kwanini mnamwabudu huyo mungu?
Mungu wangu mimi ni tofauti na huyo, Mungu wangu ni mwingi wa upendo, Rehema na asie na hasira mdio maana hausiki na vifo
Laiti Mungu wako angekuwa hivyo basi usingezaliwa.View attachment 1695994
Mnaounga mkono huyo askofu kwanini mnamwabudu huyo mungu?
Mungu wangu mimi ni tofauti na huyo, Mungu wangu ni mwingi wa upendo, Rehema na asie na hasira mdio maana hausiki na vifo
Biblia inakiita kifo ni adui,je adui ni mzuri kwako?Kifo siyo kibaya mara zote. Imagine watu kama kina Hitler, Idd Amin, Magufuli, Mobutu wangekuwa wanaishi milele.
Duniani pangegeuka Jehannum
Biblia inakiita kifo ni adui,je adui ni mzuri kwako?Kifo siyo kibaya mara zote. Imagine watu kama kina Hitler, Idd Amin, Magufuli, Mobutu wangekuwa wanaishi milele.
Duniani pangegeuka Jehannum
Biblia inakiita kifo ni adui,je adui ni mzuri kwako?Kifo siyo kibaya mara zote. Imagine watu kama kina Hitler, Idd Amin, Magufuli, Mobutu wangekuwa wanaishi milele.
Duniani pangegeuka Jehannum
Nakufa kama wengineKwahiyo wewe ufi
Mbona Mungu wako anakuua pia hoja yako mbona butu.Biblia inakiita kifo ni adui,je adui ni mzuri kwako?
Nakufa kama wengine
Maandiko gani yanasema hivyoLaiti Mungu wako angekuwa hivyo basi usingezaliwa.
Kuzaliwa maana yake haukuwepo kabisa.
Sasa huyo mungu wako kwa nini akakuacha uje duniani wakati ulikuwa mfu tayari ?
Jitambulishe kwanza.....we ndo wale 'extremities' ?View attachment 1695994
Mnaounga mkono huyo askofu kwanini mnamwabudu huyo mungu?
Mungu wangu mimi ni tofauti na huyo, Mungu wangu ni mwingi wa upendo, Rehema na asie na hasira mdio maana hausiki na vifo
Mtu akifa mungu kamuua? Afu bado unaendelea kumuombaKama watu wasingekufa bhas wasingezaliwa wengine kwan ili waishi kuna viumbe lazima wafe na binadam pia akifa kuna faida kwa viumbe wengine
Kifo ni matokeo ya dhambiKama siyo mpango wa Mungu ni mpango wa nani? tuanzie hapo kwanza...
Ndio, ndio maana watu wanaliaKwani kifo ni Ukatali
View attachment 1695994
Mnaounga mkono huyo askofu kwanini mnamwabudu huyo mungu?
Mungu wangu mimi ni tofauti na huyo, Mungu wangu ni mwingi wa upendo, Rehema na asie na hasira mdio maana hausiki na vifo
Jadili hoja kwanza usijadili maandiko.Maandiko gani yanasema hivyo