KITAULO
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 1,926
- 2,778
Wadau,
Kama wiki mbili zilizopitwa nilipatwa na mafua makali na homa, nikadhani ni hali ya kawaida nikimeza Coldril nitakuwa poa kama ilivyo ada yangu ikizingatiwa nina allergy na suala la mafua na kupiga chafya ni hali inayotokea mara kwa mara.
Lakini la kushangaza mafua ya safari hii hayakuwa ya kawaida kama ilivyozoeleka, yalinipiga knockout moja matata nikaliaona kaburi hili hapa.
Kama siyo kudra za Mwenyezi Mungu na mimi nisingekuwepo leo. Poleni wote mnaopitia changamoto
Kama wiki mbili zilizopitwa nilipatwa na mafua makali na homa, nikadhani ni hali ya kawaida nikimeza Coldril nitakuwa poa kama ilivyo ada yangu ikizingatiwa nina allergy na suala la mafua na kupiga chafya ni hali inayotokea mara kwa mara.
Lakini la kushangaza mafua ya safari hii hayakuwa ya kawaida kama ilivyozoeleka, yalinipiga knockout moja matata nikaliaona kaburi hili hapa.
Kama siyo kudra za Mwenyezi Mungu na mimi nisingekuwepo leo. Poleni wote mnaopitia changamoto