Mwanadada Maria, umeendelea kwa juhudi kubwa kuutahadharisha umma uchukue tahadhari juu ya ugonjwa wa Korona.
Tangu miezi kadhaa nyuma ambapo serikali ya awamu ya tano ilikuwa ikiutangazia ulimwengu kuwa nchini hakuna Korona, hukuchoka kuutahadharisha umma ujikinge maana kiukweli Korona nchini...
Na baba Askofu Stephen Munga
JE, ASKOFU MWAMAKULA NI MFIA IMANI NA SHUJAA?!
Kwa muda sasa tulikuwa tukimsikia Baba Askofu Emmaus Mwamakula akiandaa matembezi ya hiari kwa ajili ya kudai Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya. Haya ni matakwa ya watu wengi kulingana na maoni yaliyomo katika...
Baadhi ya viongozi wa dini wameanza kujitumbukiza kwenye kusikiliza makutano wanasema nini yaani watu wengi wanasema nini ili kutafuta sifa kwa makutano.Hii kitu imepelekea wao kutelekeza wito wa Mungu walioitiwa kwenye kazi zao za kichungaji na kiaskofu nk
Ponsio Pilato alikuwa msomi na...
Mwaka jana Oktoba ni mwaka ambao kumbukumbu yake inanijia sana. Leo nimekumbuka zaidi baada ya kuonana ma Dereva mmoja anaitwa Richard.
Siku hiyo nilikuwa na gari yangu kubwa ni ya Diesel Manual ina Speed 240. Tumetoka Dar na jamaa yangu tunaelekea Dom. Huku kote nlikuwa naendesha mimi mpaka...
Dkt. Muhammed Seif Khatibu ambaye alikuwa ni miongoni mwa viongozi waandamizi wa siku nyingi Serikalini na kwenye Chama cha Mapinduzi amefariki dunia. Aliwahi kuwa Mbunge wa jimbo la Uzini kisiwani Zanzibar.
Nyadhifa alizowahi kushika Dkt. Khatib
Mwenyekiti wa UVCCM kutoka 1978 hadi 1983...
BRIGEDIA JENERALI MBENA AFARIKI DUNI
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limesema Brigedia Jenerali mstaafu Francis Mbena amefariki dunia.
Taarifa ya Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa JWTZ, Kanali Juma Nkangaa Issa Sipe jana kwa vyombo vya habari ilieleza jana kuwa Mkuu wa...
Kwanza kabisa mimi ni msimbazi damu. Ukinikata damu yangu ni nyekundu kama bendera ya simba ilivyo.
Nimeangalia mechi zote za FIFA Club world cup Qatar hawa waarabu hawana masihara. Bora Ahly iliyopita ila siyo hii ya iliyoshika nafasi ya 3 kwenye mashindano hayo
Msimbazi tuanze kujipanga...
Mungu niokoe, maji yamenizidi. Yamefika mpaka nafsini mwangu.
Nimezama Baba katika matope
Yasiyowezekana kusimama.
Ewe Mungu angalia wanaokungojea, wasiaibishwe, kwa ajili yangu Ewe Bwana wa Majeshi.
Wanaokutafuta, wasiaibishwe kwa ajili yangu Ewe Bwana wa Majeshi.
Nimefika mpaka maji ya...
MSIMAMO WA RAIS DKT MAGUFULI DHIDI YA UGONJWA WA CORONA NDIO ULIKUWA MPANGO WA MUNGU KWA AFRIKA.
Na Elius Ndabila
0768239284
Leo nitazungumza mambo makubwa ambayo yatapambwa na ushahidi wa kiimani. Hivyo kwa wasomaji wangu ili uweze kunielewa juu ya makala hii utahitaji utulivu mkubwa wa...
Modes naomba miufute huu uzi wala kuunganisha kama itawapendeza
Imani zetu zinamtaja MUNGU kama wa pekee, asiyebadilika wala kufafanishwa. Mungu alivyotuumba alitupa utashi ambao ndio kitu pengine cha kipekee kinachotutofautisha na wanyama na viumbe wengine.
Ukisoma Biblia Takatifu, 2 Wafalme...
Viongozi wa makanisa ya kipentecoste hamishieni vyuo vya Biblia porini vijijini hivi vya mijini wakimaliza hawarudi vijijini kwao kufanya kazi ya Mungu wanabaki mijini
Pia wapeni masharti wanafunzi wapya kuwa hawatapewa uchungaji hadi wafungue matawi vijijini wachunge si chini ya miaka mitatu...
Mnaounga mkono huyo askofu kwanini mnamwabudu huyo mungu?
Mungu wangu mimi ni tofauti na huyo, Mungu wangu ni mwingi wa upendo, Rehema na asie na hasira mdio maana hahusiki na vifo
Wasaalaam,
Anubis ni mungu wa Misri Huyu alikuwa mungu wa utunzaji wa maiti na maisha ya baadaye na pia mungu wa walinzi wa roho zilizopotea na wanyonge.
Yeye ni mmoja wa miungu ya zamani zaidi ya Misri, ambaye inaelezwa ana uwezekano mkubwa alikua kutoka kwa mungu wa mbwa mwitu wa zamani...
Wadau,
Kama wiki mbili zilizopitwa nilipatwa na mafua makali na homa, nikadhani ni hali ya kawaida nikimeza Coldril nitakuwa poa kama ilivyo ada yangu ikizingatiwa nina allergy na suala la mafua na kupiga chafya ni hali inayotokea mara kwa mara.
Lakini la kushangaza mafua ya safari hii...
Corona Tanzania ni vita kati ya Mungu na wasiomwamini kuwa aweza shinda Corona Mungu atashinda hajawahi shindwa
Wasiomwamini wanachekelea wakisikia tetesi kuwa kuna Corona wanahoji Mungu kuwa nyie mliojitia kuomba kiko wapi ? Shetani mleta Corona kamshinda Mungu huyo Mungu wenu bure kabisa...
Nimekuwa nikijiuliza hilo swali apo juu mara kadhaa kama tusingetawaliwa kuanzia waarabu mpka mkoloni mzungu inamaanisha hizi dini zisingekuepo.Je,hayo yalitokea kama mapenzi ya Mungu?
Ukisikia utapeli kwenye dini njoo Tanzania.
Nilichojifunza kwenye Corona Tanzaia viongozi wengi wa dini kubwa za Kikristo hawamwamini Mungu wanaamini sayansi na sio Mungu wanayemsingizia kuwa aliwaita wamtumikie.
Kuamini Mungu kuwa aweza Saidia vita dhidi ya Corona kumebaki Kwa waumini wa...
Huu ndio ukweli unaofichwa, shukrani zimwendee Mwenyezi Mungu pekee, baada ya Stars kufunga goli, dk zote zilizosalia tumepumulia mashine, kuna wakati nimeshangaa wachezaji wa Namibia kukosa magoli ya namna ile mbele ya difensi yetu mdebwedo kiasi cha kushangaza na kuleta maswali ya kutaka kujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.