Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,371
Wasaalaam,
Anubis ni mungu wa Misri Huyu alikuwa mungu wa utunzaji wa maiti na maisha ya baadaye na pia mungu wa walinzi wa roho zilizopotea na wanyonge.
Yeye ni mmoja wa miungu ya zamani zaidi ya Misri, ambaye inaelezwa ana uwezekano mkubwa alikua kutoka kwa mungu wa mbwa mwitu wa zamani zaidi na mkubwa Sana.
Sura ya Anubis inaonekana kwenye makaburi ya kifalme na vizazi vya mwanzo kabisa vya Misri (karibu 3150-2890 BC) lakini ni kuna uhakika Ibada yake ilikuwa imeanzishwaa kabla ya kipindi hiki na lengo la ibada zake ilikuwa ni kukinga kuta za makaburi alikuwa kama mlinzi.
Wamisri wanaeleza kuwa alikua akijibu mapigo kwa mbwa-mwitu ambao walikuwa wakichimba maiti zilizozikwa hivi tena kwanzia wakati wa Kipindi cha Predynastic huko Misri (karibu 6000-3150 BC) kwani Wamisri waliamini mungu hodari ni canine( mbwa) ndiye kinga bora dhidi ya
mbwa waa mwitu. .
ANUBI
Anaonyeshwa kama mbwa mweusi, mseto wa mbwa na kiumbe kingine,mbwa aliye na masikio yaliyoelekezwa juu, pia anaonyeshwa kama mtu mwenye misuli na pia ana kichwa cha mfano wa mbweha.
Rangi nyeusi ilichaguliwa kama ishara yake, sio kwa sababu mbwa au mbweha wa Misri walikuwa weusi. Rangi nyeusi iliashiria kuoza kwa mwili pamoja na mchanga wenye rutuba wa Bonde la Mto Nile ambao kwao uliwakilisha kuzaliwa upya na maisha mapya
Mbwa mweusi mwenye nguvu, basi, alikuwa mlinzi wa wafu ambaye alihakikisha wanapata haki zao stahiki katika mazishi na walisimama nao katika maisha ya baadaye kusaidia ufufuo wao. ndivyo wamisri waliamini hivyo
Anubi Alijulikana kama "Wa kwanza wa magharibi" kabla ya kuibuka kwa mungu mwingine aliyejizoelea umaarufu hata sasa katika historia ,,,Osiris katika Ufalme wa Kati ya mwaka (2040-1782 BC) ambaye pia alichukua nafasi ya mfalme wa wafu (neno "magharibi" lilikuwa neno la Wamisri kwa roho zilizokufa , na katika maisha ya baadaye ambayo roho hizo huwekwa magharibi, kwa kufatisha machweo).
Katika jukumu hili, alihusishwa na haki ya milele na kudumisha ushirikano baadaye, hata baada ya nafasi yake kuchukuliwa na Osiris ambaye alipewa jina la heshima ''Kwanza wa Wamagharibi''
Osiris
Shetani haachi vitimbi kila zama
DA'VINCI XV
Anubis ni mungu wa Misri Huyu alikuwa mungu wa utunzaji wa maiti na maisha ya baadaye na pia mungu wa walinzi wa roho zilizopotea na wanyonge.
Yeye ni mmoja wa miungu ya zamani zaidi ya Misri, ambaye inaelezwa ana uwezekano mkubwa alikua kutoka kwa mungu wa mbwa mwitu wa zamani zaidi na mkubwa Sana.
Sura ya Anubis inaonekana kwenye makaburi ya kifalme na vizazi vya mwanzo kabisa vya Misri (karibu 3150-2890 BC) lakini ni kuna uhakika Ibada yake ilikuwa imeanzishwaa kabla ya kipindi hiki na lengo la ibada zake ilikuwa ni kukinga kuta za makaburi alikuwa kama mlinzi.
Wamisri wanaeleza kuwa alikua akijibu mapigo kwa mbwa-mwitu ambao walikuwa wakichimba maiti zilizozikwa hivi tena kwanzia wakati wa Kipindi cha Predynastic huko Misri (karibu 6000-3150 BC) kwani Wamisri waliamini mungu hodari ni canine( mbwa) ndiye kinga bora dhidi ya
mbwa waa mwitu. .
ANUBI
Anaonyeshwa kama mbwa mweusi, mseto wa mbwa na kiumbe kingine,mbwa aliye na masikio yaliyoelekezwa juu, pia anaonyeshwa kama mtu mwenye misuli na pia ana kichwa cha mfano wa mbweha.
Rangi nyeusi ilichaguliwa kama ishara yake, sio kwa sababu mbwa au mbweha wa Misri walikuwa weusi. Rangi nyeusi iliashiria kuoza kwa mwili pamoja na mchanga wenye rutuba wa Bonde la Mto Nile ambao kwao uliwakilisha kuzaliwa upya na maisha mapya
Mbwa mweusi mwenye nguvu, basi, alikuwa mlinzi wa wafu ambaye alihakikisha wanapata haki zao stahiki katika mazishi na walisimama nao katika maisha ya baadaye kusaidia ufufuo wao. ndivyo wamisri waliamini hivyo
Anubi Alijulikana kama "Wa kwanza wa magharibi" kabla ya kuibuka kwa mungu mwingine aliyejizoelea umaarufu hata sasa katika historia ,,,Osiris katika Ufalme wa Kati ya mwaka (2040-1782 BC) ambaye pia alichukua nafasi ya mfalme wa wafu (neno "magharibi" lilikuwa neno la Wamisri kwa roho zilizokufa , na katika maisha ya baadaye ambayo roho hizo huwekwa magharibi, kwa kufatisha machweo).
Katika jukumu hili, alihusishwa na haki ya milele na kudumisha ushirikano baadaye, hata baada ya nafasi yake kuchukuliwa na Osiris ambaye alipewa jina la heshima ''Kwanza wa Wamagharibi''
Osiris
Shetani haachi vitimbi kila zama
DA'VINCI XV