mtu

  1. Demokrasia ya unapoishi (Local Democracy) huanzia mtaani, kijijini mjini, wilayani hadi mijini kufikia Demokrasia kamili

    Pamoja na mambo mengine yote siasa ni majadiliano, au mgogoro wa hoja baina ya watu, vyama katika kutafuta kutwa madaraka au mamlaka. Mtazamo wa mwanafilosofia aitwae Aristotle kuhusu siasa anamfananisha mwanasiasa na fundi kwamba mwanasiasa ni mtu alie na elimu wezeshi (practical knowledge) na...
  2. Hivi mtu anamiliki simu zote hizi za kazi gani?

    Mnisaidie kuhesabu wadau hivi hizi ni simu ngapi
  3. SoC01 Umuhimu wa kujali afya na mtu kuwa na afya

    Mwishoni mwa mwaka 2019 ndiyo kipindi ambacho habari za kuwepo kwa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya korona yaani UVIKO-19, kwa kiingereza COVID-19 zilianza kuripotiwa na kuenea duniani. Nilipokuwa nasikia taarifa hizo nilikuwa nachukulia kawaida tu. Kwamba ugonjwa huo utaishia Nchini China...
  4. M

    Namshangaa sana mtu anayeishabikia CCM

    Huwa najiuliza, hivi mtu kabisa na akili zako timamu unashabikia CCM? Binafsi nina amini wanaoshabikia CCM ni wale wenye maslahi binafsi otherwise uwe taahira. Chama kilichoisababishia nchi ufukara na matatizo lukuki unakishabikia kwa lipi? At least JPM alipoingia tulianza kuona matokeo kiduchu...
  5. Je, ni sawa kuoa mtu ambaye hujateseka naye?

    Unajua kipindi cha utafutaji sisi wanaume huwa tunatafta wadada fulani ambao ni wa level hiyo yaan mara nyingi wanakuwa wa kawaida sanaa. Mara nyingi unakuta wala humpendi kivile ila kwasababu anatimiza matakwa yako na hasumbui kwenye hiki wala kile, unajikuta upo nae huyo binti kwenye shida...
  6. Natafuta mtu wa ku-share eneo la kufanyia biashara

    Wakuu habar zenu natafuta mtu wa ku-share anaye eneo la kufanyia biashara mm binafsi sina uwezo wa kukod fremu ya biashara na nikalipia pekeyangu sasa naomba kama kuna mtu ana fremu ya biashara na yuko tayali ku-share basi itakuwa vizur biashara nayotaka kufanya ni ya TIGO PESA, MPESA kwa...
  7. Jinsi ya kujua kama mawasiliano yako yanaenda kwa mtu mwingine

    Hakuna anayependa mawasiliano yake yaingiliwe au kutumiwa mtu mwingine bila ridhaa. piga *#61# kisha ok , kwa mtandao wako wasimu kuhakikiki. ukiona call au text fowarding iondoe kwa kupiga ##002# ok
  8. Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

    Wajumbe sikieni hii. Mwaka 2012 nilikutana na Dav (sio jina lake halisi) akiwa mkuu wa kitengo fulani ofisi kubwaa Morogoro. Kipindi hicho mimi nilienda ofisini kwao kufanya field, kwa sababu yeye alikua mkuu wa kitengo nilichopangiwa field then nilimkubali sanaa mwana. Alikua mchapa kazi...
  9. Kabla hujamkopesha mtu pesa jiulize maswali haya ili usiingie kwenye majuto baadaye.

    Habari! Watu wa zama hizi, wa mjini na vijijini wengi hawana aibu kumkopa mtu. Uvumilivu katika matatizo yanayohitaji pesa haupo. Mtu ukimsimulia mafanikio yako au mipango yako tu umemfungulia mlango wa kukukopa. Utafiti usio rasmi unaonyesha kuwa wanaokopeshana kienyeji(kindugu na kirafiki)...
  10. Tuache Ufyatu: Mtu Hawi Gaidi kwa Kuitwa Gaidi

    Unaweza kumuita mtu chechote kile; lakini kumuita mtu tu kitu hakimfanyi mtu kuwa kitu kile. Ni kweli kwamba kuna majina mwingine ukimuita mtu unamvunjia heshima, hadhi, na utu wake mbele ya jamii. Kwa mfano, mtu ameachana na mke wake au mume wake lakini kwa sababu ya machungu ya kuachana...
  11. K

    Serikali ikae meza moja na Vyama vya upinzani

    Mimi ni mtu wa kawaida na ni Mtanzania. Kesi ya Mbowe ndiyo sasa imechukua nafasi kubwa katika mijadala baina ya wanannchi, kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari vya ndani na nje. Sisi sote ni Watanzania na tunatakiwa tupendane, tushikamane, tuwe wamoja bila kujali itikadi za vyama...
  12. Kwanini Tanzania tu mtu anakuwa hana woga wa kusema mitandaoni?

    Nimesikitishwa sana na tabia ya baadhi ya watanzania kuonyesha uwezo mkubwa wa kutabiri vifo, kuvifuatilia vitokepo na kusema sababu ni UVIKO-19 na kadhalika. Ni juzi tu tumeondokewa na aliekuwa waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Elias Kwandikwa. Haijaelezwa kinaga ubaga kuhusu kifo...
  13. V

    SoC01 Uwekezaji wa Vijiji vya kisasa katika kuchochea ukuaji wa uchumi wa nchi na mtu mmoja mmoja

    Utangulizi Tanzania kiuhalisia bado ni nchi ambayo inategemea uchumi wake kukua kupitia vijiji vyake ambavyo shughuli za watu wake wengi hutegemea kilimo. Mbali na kutegemea kilimo zaidi na shughuli zingine, lakini bado vijiji vingine viko nyuma zaidi katika nyanja za kijamii, kiuchumi na...
  14. Tuache upotoshaji kutumia dini kupinga chanjo ya COVID-19

    Soma hii kwa kumaanisha Tanzania tunachanjo 15 ikiwemo hii tunayoikimbia zote ni za mabeberu,Wameshindwa kukuua kirahisi ukiwa Mchanga leo umepata akili ndio unamkimbia nyoka uliyelalanae mpaka unataka kuvunja mguu,Acha ushamba Wahi chanjo ziko chache usisahau maisha ni yako. Corona sio...
  15. K

    Nani amefanya kozi ya Bsc Agric investment and banking Sua? Je, kwa mtu wa CBG mwenye EEC anaweza pata?

    Wakuu, naomba mtu mwenye uzoefu na kozi tajwa ili nione kama naweza kumusaidia mtoto mawazo. Anaonekana kuipenda lakini hana details. Asante
  16. K

    Rais mtoe IGP Sirro, Watanzania hawamuamini

    IGP Sirro ni ukweli Watanzania wengi hawamuamini kuanzia kwa kutekwa kwa Mo, kupigwa risasi kwa Lissu na matukio mengine ambayo Polisi mpaka leo hawana jibu. Kuongeza imani kwa Watanzania ni wakati muafaka wa kumpumzisha IGP Sirro au umpe ubalozi. Kwa sasa Sirro anacheza kwenye rope na si...
  17. Usipokuwa makini Utapapaswa sana. Kila mtu atakupapasa. Watu wanajaribu wakiona hupingi kwa dhati wanaendelea

    Ndo wanaume tulivyo. Mwanamke usipokuwa makini watu wanaku test kidogo. Anakuja mtu anakukumbatia kuwa amekumiss siku mbili tatu hajakuona. Ukikumbatiana naye anashika kiuno. Kesho anakukiss shavuni ...unasema "bwana sitakiii usifanye ivooooo shauri yako..." Anacheka anaondoka. Keshokutwa...
  18. Mafyongo Ikulu: Wakurugenzi wawili wameteuliwa sehemu mbili tofauti

    1. Lutengano George;- kateuliwa Wilaya ya Bukombe-Geita na Wilaya ya Misungwi-Mwanza (21&108) 2. Dollar Rajab Kusenge naye kateuliwa Wilaya ya Kasulu -Kigoma na Wilaya ya Njombe- Njombe-. (46&115) Ikulu hawako serious. Zaidi, soma: News Alert: - UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi wa Wakurugenzi...
  19. M

    Mtu mwenye asthma, anaweza kupata chanjo Johnson

    Mgonjwa wa asthma, anaweza kupata madhara ya Chanjo ?
  20. F

    Pamoja na kuvaa barakoa nahisi mtu anaweza kupata virus vya Corona kupitia vinywaji vya kwenye cafe au bar

    Wakuu habari za siku nyingi, Nimeshtukia hii kitu sana mtu kupata virusi vya corona kupitia vinywaji Kama soda au bia kupitia njia ya wahudumu. Umevaa barakoa vizuri kabisaaa, una nawa mikono n.k, Ukienda bar unavua barakoa una agiza bia ata ukiwa peke yako. Muhudum akija anakufungulia ile...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…