Nafaka JF-Expert Member Feb 17, 2015 12,156 31,045 Nov 12, 2021 #1 Kama kuna mtu amewahi kutumia huduma ya ecobank rapidtransfer naomba anisaidie kuniambia fee zao za kuhamisha pesa zikoje. Kuhamisha kiasi cha kati ya laki tatu mpaka nane kwenda Kenya na Rwanda. Asante
Kama kuna mtu amewahi kutumia huduma ya ecobank rapidtransfer naomba anisaidie kuniambia fee zao za kuhamisha pesa zikoje. Kuhamisha kiasi cha kati ya laki tatu mpaka nane kwenda Kenya na Rwanda. Asante