Kama kuna mtu amewahi tumia huduma ya Ecobank rapidtransfer

Nafaka

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
12,156
31,045
Kama kuna mtu amewahi kutumia huduma ya ecobank rapidtransfer naomba anisaidie kuniambia fee zao za kuhamisha pesa zikoje.

Kuhamisha kiasi cha kati ya laki tatu mpaka nane kwenda Kenya na Rwanda.

Asante
 
Back
Top Bottom