Msikilize mtu amalize hoja zake kabla ya kumjibu

uko sahihi kabisa... mimi hua nina hiyo kawaida, mtu akija kunieleza kitu hua ninasubiri amalize kabisa hatakama tayari nimeshajua anaelekea wapi na nimeshajua jibu /ushauri wa kumpa ila nasubiri kabisa amalize ndio namimi nimjibu.
 
Back
Top Bottom