Waswahili tuna tabia ya kuwakatisha watu hoja zao kabla hawajamaliza kuziweka sawa na kujifanya tunajua walichokuwa wakimaanisha hata kabla hawajazihitisha.
uko sahihi kabisa... mimi hua nina hiyo kawaida, mtu akija kunieleza kitu hua ninasubiri amalize kabisa hatakama tayari nimeshajua anaelekea wapi na nimeshajua jibu /ushauri wa kumpa ila nasubiri kabisa amalize ndio namimi nimjibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.