Sifa za unique flower,
Nahofu ya Mungu.
Namiaka 30+years old .
Mkoa niliopo sijui napia kazi yangu ni umbeya.
Napenda kuogelea , navitu ambavyo ni vizuri.
Napenda kusali, kusoma biblia na kuimba nyimbo za sifa .mf za dini
Kuangalia filamu ,vichekesho na kujua vitu vipya .
Haya nimekujibu...