Paul Makonda kwenye suala la kutatua changamoto za wananchi alikuwa the best kuliko wakuu wa mikoa wote Tanzania

Dezoizo52

JF-Expert Member
Jan 30, 2017
524
1,052
Nimetoka sebuleni na kuja kwa kitanda kujipumzisha, sasa nikawaza hivi inakuaje mji kama Dar es salaam usikalike eti kwa ajili ya panya rodi?

Ndipo mke wangu akamkumbuka Paul Makonda na kunikumbusha laiti angekuwepo madarakani hawa mapanya road ingekuwa historia.

Viongozi wengi wa sasa hawawajibiki ipasavyo na kwa mtizamo wangu nahisi uwenda kuna kamgomo baridi kwa mamlaka za juu ili either kufikisha ujumbe au kutokubaluana na mamlaka za juu.

Makonda mmoja alikuwa anauwezo mkubwa wa kiuongozi hasa katika jiji kubwa la dare salaam lakini ndani ya utawala huu wa awamu ya sita umemteua Makala ambaye kwa mtizamo wangu ni kiongozi dhaifu ambaye kama tungekuwa tunauwajibijaji Makala angekuwa nje aidha kwa kufukuzwa au kujiuzuru.

Kiongozi wa pili kuwajibika kutokana na ishu ya panya road bila kupepesa maneno ni waziri Masauni.Ni heri Paul Makonda arudishwe kwenye kazi kwa maana mazuri yake ni mengi kuliko madhaifu yake.Kwa maoni yangu haya wazuri mambo ya ndani hafai hata kwa dakika moja na ninadhani wizara hii ya mambo ya ndani haiwezi mpole mnooo.

Viongozi wanaohusika na uteuzi kwa mamlaka mlizokuwa nazo please liangalieni hili katika awamu hii wateule wenu hawawajibiki wengi maneno matupu huku wananchi wakiendelea kuuawa na kupata vilema na majeraha makubwa.

Nadhani ile tumbuatumbua inasaidia kuliko huu ukimya kwa hawa viongozi wabovu,lakini kwa Igp nashauri RPC na ocd wa eneo uhalifu umekithiri mwondoe atakutia DOA kwa maana sina shaka na utendaji kazi wa afande Wambura na imani yangu akipangiwa Paul Makonda either awe Rc au waziri wa mambo ya ndani atatufaa sana.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Mama tunajua na kutambua madhaifu ya Makonda ambayo hatuitaji kuelezea hapa.

Ila Mama kwa hali ya sasa ya hapa DSM mazuri yake yamezidi mara elfu ya madhaifu yake, hivyo tunamhitaji tena katika hali ya dharura Mama yetu mpendwa sana.

Makonda ni kiongozi jasiri, mchukua maamuzi tena ya haraka hata kama atakosea na mwenye kauli isiyoyumbayumba kwa wakati sahihi.

Mama huyu Mzee haliwezi Jiji hili la Dar, ona hawa Panya Road walivyomprove wrong leo huko Mbagala.. ingekuwa ni Makonda ametoa lile tamko nakuhakikishia Mama yetu wasingejaribu tena kufanya uvamizi huo.

Mama ni mwenye huruma kwa wanae na husikiliza kilio Chao. Basi tunakuomba turudishie Makonda huyu Mzee mtafutie kazi nyingine au Mkoa wa size yake Mama yetu the super Mamy!

Nawasilisha
 
Mama tunajua na kutambua madhaifu ya Makonda ambayo hatuitaji kuelezea hapa.

Ila Mama kwa hali ya sasa ya hapa DSM mazuri yake yamezidi mara elfu ya madhaifu yake, hivyo tunamhitaji tena katika hali ya dharura Mama yetu mpendwa sana.

Makonda ni kiongozi jasiri, mchukua maamuzi tena ya haraka hata kama atakosea na mwenye kauli isiyoyumbayumba kwa wakati sahihi.

Mama huyu Mzee haliwezi Jiji hili la Dar, ona hawa Panya Road walivyomprove wrong leo huko Mbagala.. ingekuwa ni Makonda ametoa lile tamko nakuhakikishia Mama yetu wasingejaribu tena kufanya uvamizi huo.

Mama ni mwenye huruma kwa wanae na husikiliza kilio Chao. Basi tunakuomba turudishie Makonda huyu Mzee mtafutie kazi nyingine au Mkoa wa size yake Mama yetu the super Mamy!

Nawasilisha
Kwa hiyo ndiye mfadhili wa panya road?
Ndio mpango ili arudishwe?
 
Mama tunajua na kutambua madhaifu ya Makonda ambayo hatuitaji kuelezea hapa.

Ila Mama kwa hali ya sasa ya hapa DSM mazuri yake yamezidi mara elfu ya madhaifu yake, hivyo tunamhitaji tena katika hali ya dharura Mama yetu mpendwa sana.

Makonda ni kiongozi jasiri, mchukua maamuzi tena ya haraka hata kama atakosea na mwenye kauli isiyoyumbayumba kwa wakati sahihi.

Mama huyu Mzee haliwezi Jiji hili la Dar, ona hawa Panya Road walivyomprove wrong leo huko Mbagala.. ingekuwa ni Makonda ametoa lile tamko nakuhakikishia Mama yetu wasingejaribu tena kufanya uvamizi huo.

Mama ni mwenye huruma kwa wanae na husikiliza kilio Chao. Basi tunakuomba turudishie Makonda huyu Mzee mtafutie kazi nyingine au Mkoa wa size yake Mama yetu the super Mamy!

Nawasilisha
Bashite Albart Daud au umepata!?
Aliyewakalisha kina mama pale mlimani Nini ilikuwa matokeo yake??
Amekutuma hapa JF.
 
Mama tunajua na kutambua madhaifu ya Makonda ambayo hatuitaji kuelezea hapa.

Ila Mama kwa hali ya sasa ya hapa DSM mazuri yake yamezidi mara elfu ya madhaifu yake, hivyo tunamhitaji tena katika hali ya dharura Mama yetu mpendwa sana.

Makonda ni kiongozi jasiri, mchukua maamuzi tena ya haraka hata kama atakosea na mwenye kauli isiyoyumbayumba kwa wakati sahihi.

Mama huyu Mzee haliwezi Jiji hili la Dar, ona hawa Panya Road walivyomprove wrong leo huko Mbagala.. ingekuwa ni Makonda ametoa lile tamko nakuhakikishia Mama yetu wasingejaribu tena kufanya uvamizi huo.

Mama ni mwenye huruma kwa wanae na husikiliza kilio Chao. Basi tunakuomba turudishie Makonda huyu Mzee mtafutie kazi nyingine au Mkoa wa size yake Mama yetu the super Mamy!

Nawasilisha
Kwajicho la tatu makonda yupo kazini pande zote
 
Mama tunajua na kutambua madhaifu ya Makonda ambayo hatuitaji kuelezea hapa.

Ila Mama kwa hali ya sasa ya hapa DSM mazuri yake yamezidi mara elfu ya madhaifu yake, hivyo tunamhitaji tena katika hali ya dharura Mama yetu mpendwa sana.

Makonda ni kiongozi jasiri, mchukua maamuzi tena ya haraka hata kama atakosea na mwenye kauli isiyoyumbayumba kwa wakati sahihi.

Mama huyu Mzee haliwezi Jiji hili la Dar, ona hawa Panya Road walivyomprove wrong leo huko Mbagala.. ingekuwa ni Makonda ametoa lile tamko nakuhakikishia Mama yetu wasingejaribu tena kufanya uvamizi huo.

Mama ni mwenye huruma kwa wanae na husikiliza kilio Chao. Basi tunakuomba turudishie Makonda huyu Mzee mtafutie kazi nyingine au Mkoa wa size yake Mama yetu the super Mamy!

Nawasilisha
kwahiyo akifa Makonda hakuna wakuwa RC wa Dar tena na Tena?? Kweli bangi iendelee kupigwa marufuku
 
Mama tunajua na kutambua madhaifu ya Makonda ambayo hatuitaji kuelezea hapa.

Ila Mama kwa hali ya sasa ya hapa DSM mazuri yake yamezidi mara elfu ya madhaifu yake, hivyo tunamhitaji tena katika hali ya dharura Mama yetu mpendwa sana.

Makonda ni kiongozi jasiri, mchukua maamuzi tena ya haraka hata kama atakosea na mwenye kauli isiyoyumbayumba kwa wakati sahihi.

Mama huyu Mzee haliwezi Jiji hili la Dar, ona hawa Panya Road walivyomprove wrong leo huko Mbagala.. ingekuwa ni Makonda ametoa lile tamko nakuhakikishia Mama yetu wasingejaribu tena kufanya uvamizi huo.

Mama ni mwenye huruma kwa wanae na husikiliza kilio Chao. Basi tunakuomba turudishie Makonda huyu Mzee mtafutie kazi nyingine au Mkoa wa size yake Mama yetu the super Mamy!

Nawasilisha
Akili za kibongobongo 🚮🚮🚮, yaan eti ameoneka mtu mmoja mwenye uwezo wa jambo flan 😂😂😂😂
 
Mama tunajua na kutambua madhaifu ya Makonda ambayo hatuitaji kuelezea hapa.

Ila Mama kwa hali ya sasa ya hapa DSM mazuri yake yamezidi mara elfu ya madhaifu yake, hivyo tunamhitaji tena katika hali ya dharura Mama yetu mpendwa sana.

Makonda ni kiongozi jasiri, mchukua maamuzi tena ya haraka hata kama atakosea na mwenye kauli isiyoyumbayumba kwa wakati sahihi.

Mama huyu Mzee haliwezi Jiji hili la Dar, ona hawa Panya Road walivyomprove wrong leo huko Mbagala.. ingekuwa ni Makonda ametoa lile tamko nakuhakikishia Mama yetu wasingejaribu tena kufanya uvamizi huo.

Mama ni mwenye huruma kwa wanae na husikiliza kilio Chao. Basi tunakuomba turudishie Makonda huyu Mzee mtafutie kazi nyingine au Mkoa wa size yake Mama yetu the super Mamy!

Nawasilisha
Sema unamhitaji syo tunamhitaji fala wewe
 
Mama tunajua na kutambua madhaifu ya Makonda ambayo hatuitaji kuelezea hapa.

Ila Mama kwa hali ya sasa ya hapa DSM mazuri yake yamezidi mara elfu ya madhaifu yake, hivyo tunamhitaji tena katika hali ya dharura Mama yetu mpendwa sana.

Makonda ni kiongozi jasiri, mchukua maamuzi tena ya haraka hata kama atakosea na mwenye kauli isiyoyumbayumba kwa wakati sahihi.

Mama huyu Mzee haliwezi Jiji hili la Dar, ona hawa Panya Road walivyomprove wrong leo huko Mbagala.. ingekuwa ni Makonda ametoa lile tamko nakuhakikishia Mama yetu wasingejaribu tena kufanya uvamizi huo.

Mama ni mwenye huruma kwa wanae na husikiliza kilio Chao. Basi tunakuomba turudishie Makonda huyu Mzee mtafutie kazi nyingine au Mkoa wa size yake Mama yetu the super Mamy!

Nawasilisha
Mmeshindwa kuua hao panya road
 
Back
Top Bottom