Sio kweli.Huyo mtu anakuwa ameset jumbe kujifuta Kila baada ya muda Fulani Ili kupunguza mrundikano WA jumbe kwenye WhatsApp yake. Hili inamaanisha kuwa baada ya masaa yale kuisha hata Kama hajasoma basi unafutika automatic na hatauona
Unabshana na ukweLi chiefSio kweli.
Maana yake ame _ reply status
Lete Maneno.....Mpokeaji amefanya setting kuwa ujumbe wowote ukitumwa atauona hata kama mtumaji akifuta, mpokeaji lazima aupate
Kuna watu wako na ubishi mwingi aki 🤣 🤣 🤣Unabshana na ukweLi chief
Ukweli ni kwamba ujumbe utafutika ndani ya masaa kadhaa, receiver ameset hivyo. Na kama mko na chats za kabla ya hiyo settings utaona znabaki ila zile zenye hiyo alama zitapotea.Jaman naomba msaada, ukimtumia mtu ujumbe WhatsApp ikaonekana hii alama inakuwa na maaana gani au inaitwaje?
View attachment 2383521
Sahihi kabisa.Hiyo Alama NI uki reply kutoka kwenye Status ya MTU au yeye kareply kutoka kwenye Status yako..
Hiyo NI Alama ya Status so ukiona hivyo jua kuna MTU amereply kupitia status yako au wewe umerey kupitia status ya MTU kwenye conversation
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Acha kuchanganya mambo hiyo siyo hiyo unayoizungumzia.Ukweli ni kwamba ujumbe utafutika ndani ya masaa kadhaa, receiver ameset hivyo. Na kama mko na chats za kabla ya hiyo settings utaona znabaki ila zile zenye hiyo alama zitapotea.
Yeah i checked and you are right, hata icons zake nmeona zko different.Acha kuchanganya mambo hiyo po sahihi.
Umereply status yakeJaman naomba msaada, ukimtumia mtu ujumbe WhatsApp ikaonekana hii alama inakuwa na maaana gani au inaitwaje?
View attachment 2383521