Nobunaga
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 1,169
- 4,985
Hii script inazidi kuwa unbelievable and untrustable zaidi ya bongo muvies zetu. Kitendo cha mwanamke ambaye ni Mamq Mchungaji kutumiwa meseji za mapenzi na Katibu wa Kanisa lao kisha ati amchukue mmama mwingine haraka haraka na kwenda kwa huyo Katibu kwenda kumuambia aache, badala ya kutoa taarifa kwa mumewe kunaashiria vingi sana lakini kikubwa ni kwamba hii ni statement ya uongo.
Ni ngumu sana katibu wa kanisa kumtumia meseji za mapenzi Mama Mchungaji, kisha Mama Mchungaji eti ajifunge kibwebwe kwenda kumkanya katibu. Polisi wanaweza kujua mahusiano yalikuwepo au kutokuwepo kwa kupitia SMS tu? Halafu mke mwenyewe ni wa mchungaji wako na wewe ni katibu wa kanisa hilo, mke wa mchungaji akufate na mwanamke mwingine kuja kukwambia usimtumie meseji za mapenzi?
Mama mchungaji aache kumwambia mumewe ili akuondoe kuwa karibu naye? Mke ameenda kwa jamaa na baadaye jamaa amekufa na tayari wame-rule out kajinyonga. What if kama walimmaliza ndio wakaamua kufunika kwa kutumia simu yake kufanya hayo mawasiliano?
Polisi wadili na mauaji tuu, hayo ya mapenzi wayaweke kando kwanza.
PUBLIC CAN NOT BUY THIS CHEAP EXPLANATIONS.
Ni ngumu sana katibu wa kanisa kumtumia meseji za mapenzi Mama Mchungaji, kisha Mama Mchungaji eti ajifunge kibwebwe kwenda kumkanya katibu. Polisi wanaweza kujua mahusiano yalikuwepo au kutokuwepo kwa kupitia SMS tu? Halafu mke mwenyewe ni wa mchungaji wako na wewe ni katibu wa kanisa hilo, mke wa mchungaji akufate na mwanamke mwingine kuja kukwambia usimtumie meseji za mapenzi?
Mama mchungaji aache kumwambia mumewe ili akuondoe kuwa karibu naye? Mke ameenda kwa jamaa na baadaye jamaa amekufa na tayari wame-rule out kajinyonga. What if kama walimmaliza ndio wakaamua kufunika kwa kutumia simu yake kufanya hayo mawasiliano?
Polisi wadili na mauaji tuu, hayo ya mapenzi wayaweke kando kwanza.
PUBLIC CAN NOT BUY THIS CHEAP EXPLANATIONS.