mtoto

Mtoto (1 April 1983 – 24 May 2011) was a British Thoroughbred racehorse. In a career which lasted from 1985 until 1988, he ran ten times and won seven races. He showed some promise as three-year-old in 1986, but emerged as a top-class horse in 1987 when he defeated The Derby winner Reference Point in the Eclipse Stakes at Sandown. In 1988, he was the dominant middle-distance horse in Britain, winning a second Eclipse Stakes and taking the King George VI and Queen Elizabeth Stakes.

View More On Wikipedia.org
  1. Malezi: Mambo 20 ambayo hutakiwi kumwambia mtoto wako

    Mara kadhaa wazazi wamekuwa wakiwaambia watoto wao maneno mbalimbali wakati wakiwa na furaha au hasira. Ipo nguvu kubwa kwenye maneno ya kutamkiwa ambayo wazazi wengi hawaifahamu. Kwa hakika maneno yanaweza kujenga au kubomoa maisha ya mtoto kwa kiasi kikubwa. Hivyo fahamu maneno 20 ambayo...
  2. Niko na mtoto wa mtu tunakula maisha hapa Nairobi Kempisk hotel Westland

    Ni Toto moja la kimasai nimelipata sehem moja maeneo ya Kimara ,kwao geti kali sana,.juzi tukapanda pipa hadi arusha kwao then tukapanda Noah za namanga, tukafika mpakani wakasema lazima turudi arusha kupata Covid 19 certificate, tukakomaa kuhonga 500 ya Kenya wakatupa za kufoji, Tukaanza...
  3. Mtoto wa marehemu Jade Goody sasa ni mwanamitindo

    Wakati wa uhai wake Jade alibahatika kupata watoto wawili na mtangazaji wa TV Jeff Brazier. Mtoto wao wa kwanza Bobby Brazier ni mwana mitindo sasa. Jade alifariki kwa cancer ya uzazi ambayo kwa sasa imepatiwa chanjo kwa wasichana kuanzia miaka 12.
  4. Unawezaje kumfanya mtoto ajiamini (awe na confidence)?

    Wakuu ambao ni walezi na mna uzoefu, hivi ni mbinu gani mtu unaweza kutumia kumjengea mtoto kujiamini mwenye umri wa miaka 5?
  5. Ni vema mtoto wa Kitanzania asome masomo yatakayomwongoza kufanya kazi aipendayo hapo baadaye

    Basi kama sirikali kweli inataka kusaidia taifa a kesho kurudisha hadhi ya Mtanzania kuw mzalendo na nchi yake basi pasipo na shaka lazima tuwe watu waku make opportunity kulingana na mazingira yetu. Basi nimekutuna na mzungu fulani nikiwa natoka kusoma, ana furaha na kazi yake ya udereva wa...
  6. Mel B anamtaka Eddie Murphy kuongeza pesa za malezi ya mtoto wao Angel

    Mel B na Eddie Murphy walibahatika kupata mtoto wa kike Angel mwenye umri wa miaka 10 sasa. Miaka tisa iliyopita walifikia makubaliano Eddie awe anampa Mel B £21,000 kwa mwezi kwa malezi ya mtoto huyo. Kutokana na kushuka kwa mapato ya Mel B, ameamua kufanya majadiliano mapya ili Mr Murphy...
  7. C

    Mtoto wa miezi sita hajaanza kusimama!

    Wakuu habarini! Naomba mnijuze, huyu mtoto ana miezi sita hajaanza kutambaa! Kinachonishangaza ni kuwa anajitahidi kutaka kusimama! Akijishikilia na kitu chochote basi anajitahidi asimame! Je hii ni jambo la kawaida!?
  8. LOOK ALIKE CHALLENGE: Sonia mtoto wa Monalissa Yvonne Cherrie na Zamaradi Mketema ni kama mama na binti yake

    Habari zenu wakuu wa humu jamiiforums Picha hapo chini ni mwana mama Zamaradi Mketema (Kushoto) pamoja na Sonia binti wa Monalissa Cherrie (Kulia). NB: Mimi Infantry Soldier sio msomaji sana wa jukwaa hili la JF celebritites wala mtazamaji wa mara kwa mara wa movies zote kwa ujumla ila...
  9. Msaada wa haraka wa kumtahiri mtoto

    Habari wa JF Nahitaji msaada wa mtu yeyote anayejua hospitali nzuri kwa kutahiri watoto anijuze
  10. AFYA: Jinsi ya kumsaidia mtoto wako aweze kutambaa

    Jinsi ya kumsaidia mtoto aweze kutambaa, haswa kwa wale watoto ambao wameshafikisha umri wa kutambaa lakini hawataki kutambaa wala kusimamia vitu. Namna ya kumsaidia unatakiwa kumpa mtoto muda mwingi wa kulalia tumbo (Tummy time), unamlaza mtoto kwa tumbo akiwa macho na chini ya usimamizi, hii...
  11. Utafiti Wangu: Watoto wengi hupenda zaidi ndugu upande wa mama kuliko upande wa baba

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Ndugu zangu watanzania kulingana na utafiti wangu; Kwanini katika familia nyingi watoto wengi hupenda zaidi ndugu wa upande wa mama kuliko wale wa upande wa baba zao? Ni mara chache sana utaona mtoto wa baba mdogo na mkubwa wanasaidiana...
  12. Shinyanga: Vijana 2 chini ya miaka 18 mbaroni kwa kumbaka mtoto wa miaka 6 kwa zamu

    Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga, linawashikilia vijana wawili, wakazi wa mkoani hapa kwa tuhuma za kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka sita kwa zamu. Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Debora Magiligimba, akitoa taarifa hiyo jana kwa vyombo vya habari, alisema tukio hilo lilitokea...
  13. U

    Je, ni sahihi kwa Mwanaume Kususa kula chakula alichoandaliwa? Je, ni sahihi kubembelezwa kama Mtoto mdogo?

    Wapendwa tumezoea kuona au kusikia Watoto wakisusia Chakula kwa sababu mbalimbali hadi wabembelezwe na Wazazi wao. Je ni sahihi kwa Mwanaume kufanya hivyo kama ilivyo kwenye picha hapo chini.
  14. Una mtoto wa kike... Kakijana/Zee la nyeti linamsumbua na unamsomesha. Adhabu gani utatoa?

    Mimi nawaza nina mtoto wa kike...itokee Kijana au Mtu Mzima flani anamsumbua binti yangu kimapenzi. Ntakapomkamata jamaa na ushahidi. Ntamfunga mikono na pingu au kamba imara sana...ye si kidume?naweka mapumbu yake kwenye jiwe naaanza yaponda ponda na nyundo mpaka zile balls mle ndani ziwe uji...
  15. Msaada kimawazo: Nimezaa na mwanamke ambaye anaishi na mwanaume. Mtoto kazaliwa copyright na mimi

    Kibaya zaidi ni kwamba Mwenzangu huyo anaamini kwamba ni mtoto wake na anahudumia kama baba. Mtoto anamiezi kumi ivi sasa, Natamani sana niweze kumpata lkn nashindwa ni vipi nitaweza kumpata. Natamani hata Mwanaume huyo angeujua ukweli, lkn naogopa madhara yatakayoweza kutokea baada ya kuujua...
  16. J

    Daktari aeleza athari za sigara, pombe kwa watoto, wajawazito

    Daktari bingwa wa watoto kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas), Fransis Furia, amesema watoto wanaokaa na watu wanaotumia bidhaa za tumbaku kama sigara wako hatarini kupata saratani. Dk. Furia pia alisema kuna madhara makubwa kwa mtoto aliyeko tumboni endapo mama...
  17. Mama achagua umasikini, Mtoto kachagua kujiua

    MAMA ACHAGUA UMASIKINI, MTOTO ACHAGUA KIFO Na, Robert Heriel Tukio la kusikitisha lililotokea Mkoani Katavi ambapo Mtoto amejiua kwa kujinyonga kisa na Mkasa ni mgogoro baina yake na Mama yake mzazi. Mtoto anashauri Mama aiache CCM na ahamie CHADEMA kwa madai kuwa CCM haijamsaidia chochote...
  18. Katavi: Kijana ajiua baada ya Mama yake kukataa kujiunga CHADEMA

    Tukio la kujinyonga la kijana wa CHADEMA kutokana na tofauti za KISIASA na mama yake mzazi ambae Ni CCM Chuki za KISIASA na UHASAMA baina ya mama na mtoto umepelekea kifo Najaribu kujiuliza huyu mama yake mzazi atatoa machozi msibani? Najaribu kujiuliza CCM TAIFA au CCM Mpanda watampelekea...
  19. Njoo utoe mbinu za kumsaidia mtoto awahi kuacha kujisaidia haja kubwa/kujikojolea

    Inasemekana mtoto kumvalisha pampasi muda mwingi ni kufanya zuzu alijitambue mapema hasa katika kitengo cha kujinyea na kujikojolea. Ushauri ufanyeje: 1: Mnunulie vijaptula vingi (wa kiume) akiwa anajikojolea au anajinyea ilekero itamfanya kisaikolojia aanze kujipanga. Ukimsafisha mvalishe...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…