Ndiyo ulezi huo kuna changamoto...Zanzibar inataka uhuru wake wamechoka kulishwa maneno matamu
Hapo hakuna maziwa wala uji, baba anapambana kumnyamazisha mtoto asilie njaa kwa kumziba mdomo.
Sura ya huyo babu ipo kama ancestor wa vibwengu, kwa sura hiyo mtoto lazima alie.
andika vizur mtoto wa lowasa hatujaelewa badoQnachokitqfuta masudi atakipata
Siyo maneno matamu tu, ni maneno matupu. Chupa tupu ya maziwa na bakuli tupu la uji. Dogo ananikinukisha kadiri ya uwezo wake.Zanzibar inataka uhuru wake wamechoka kulishwa maneno matamu
Subiri anayekutingisha amalize ili uandike vizuri kuku wewe. Halafu acheni kutisha watu. Msifikiri hii nchi ni ya baba zenu peke yao.Qnachokitqfuta masudi atakipata
Maendeleo ya vituUmejuaje kama Kampa uji na Maziwa?
Binafsi naitafasiri kama Baba kaweka chupa tupu na sahani tupu Mezani, then ndani hivyo Hakuna Maziwa Hakuna uji wa kumrisha mtoto, that's why mtoto analia.
Huyo mwenye bichwa kuuuuuubwa si ana phd ?Bichwa kuuuuubwa halafu akili ni zero!