nzalendo
Platinum Member
- May 26, 2009
- 12,812
- 14,401
Naam ni yule mtoto wa chekechea,,ambaye mama yake alimuombea kwa mwalimu ili aweze kwenda Hospitali,
Bakhti mbaya yule mama alifariki na kwao hakujulikani.
Huyu mama alizaa na yule bwashee niliyewajuza,,, bakhti mbaya huyu bwashee hakuwahi mpeleka mkewe huko mgombani/mlimani,,,,,,
Na bakhti mbaya zaidi bwashee alipoteza maisha ile siku ilee ambayo kuitamka napata maumivu MAKUBWA sababu hakuwa mwana siasa,,,,wala hakuwahi kujihusisha na lolote linalohusu mambo hayo.
MUNGU ANAONA.
Bakhti mbaya yule mama alifariki na kwao hakujulikani.
Huyu mama alizaa na yule bwashee niliyewajuza,,, bakhti mbaya huyu bwashee hakuwahi mpeleka mkewe huko mgombani/mlimani,,,,,,
Na bakhti mbaya zaidi bwashee alipoteza maisha ile siku ilee ambayo kuitamka napata maumivu MAKUBWA sababu hakuwa mwana siasa,,,,wala hakuwahi kujihusisha na lolote linalohusu mambo hayo.
MUNGU ANAONA.