Leo nimemuona yule Mtoto

Leo nimemuona yule Mtoto

nzalendo

Platinum Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,812
Reaction score
14,401
Naam ni yule mtoto wa chekechea,,ambaye mama yake alimuombea kwa mwalimu ili aweze kwenda Hospitali,
Bakhti mbaya yule mama alifariki na kwao hakujulikani.

Huyu mama alizaa na yule bwashee niliyewajuza,,, bakhti mbaya huyu bwashee hakuwahi mpeleka mkewe huko mgombani/mlimani,,,,,,

Na bakhti mbaya zaidi bwashee alipoteza maisha ile siku ilee ambayo kuitamka napata maumivu MAKUBWA sababu hakuwa mwana siasa,,,,wala hakuwahi kujihusisha na lolote linalohusu mambo hayo.

MUNGU ANAONA.
 
Naam ni yule mtoto wa chekechea,,ambaye mama yake alimuombea kwa mwalimu ili aweze kwenda Hospitali,
Bakhti mbaya yule mama alifariki na kwao hakujulikani.

Huyu mama alizaa na yule bwashee niliyewajuza,,, bakhti mbaya huyu bwashee hakuwahi mpeleka mkewe huko mgombani/mlimani,,,,,,

Na bakhti mbaya zaidi bwashee alipoteza maisha ile siku ilee ambayo kuitamka napata maumivu MAKUBWA sababu hakuwa mwana siasa,,,,wala hakuwahi kujihusisha na lolote linalohusu mambo hayo.

MUNGU ANAONA.
Tufungulie code mkuu, bado sijaelewa.
 
Back
Top Bottom