mtandao

  1. Griss

    JamiiForums Tanzania Napendekeza njia Bora ya kuwaangamiza Wanamtandao

    Wakuu mtandao ni mkubwa mno ni ngumu kuwadhibiti bila Mungu kuingilia Kati au wananchi wa kipato Cha chini kujitoa Muhanga na kuingia barabarani kitu ambacho Watanzania hawakiwezi. Sasa napendekeza njia Bora ya kuufuta mtandao ni kuungana na mtandao ili kujua kila hatua na kila mpango na kuja...
  2. Griss

    JamiiForums Tanzania Zitto na Mbowe nao ni Wanamtandao?

    Kuna Habari za ndani zinasema mfadhili mkuu wa ACT wazalendo na mtu aliyemshawishi Zitto kuondoka chadema ili chadema ife baada ya vikao kadhaa ni Rostam Azziz. Je inawezekana ndio sababu ya Mbowe kuwasaliti Lissu,Mnyika na Slaa na kuamleta Lowassa chadema mwaka 2015? Je Mbowe na Zitto ni...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Zamani tuliamini Albino hawazikwi wanapoteaga kumbe wanatekwa, ni nani aliendesha huo mtandao kwa usiri mkubwa kwa muda mrefu ?

    Hapo zamani kwa miaka mingi tuliaminishwa kwamba Albino hafi anapotea. Kumbe nyuma ya pazia wanatekwa wakihusoshwa zaidi na imani za kishirikina wakiwa kama sehemu za kafara. Ni kwa muda mrefu sana haya yaliendelea, ni nani au kina nani walikuwa waendeshaji wa huu mtandao ?
  4. Criss

    JamiiForums Tanzania Nini kinachofanya Rostam, Kikwete na wana mtandao wengine hadi leo wasikamatwe?

    Kwa mujibu wa taarifa za aliyekuwa Balozi wa Tanzania -inchi Cuba Mh H. Polepole zimeeleza tena kwa kuwataja majina miongoni mwa waliyohusika na kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Mh John Joseph Pombe Magufuli. Taarifa hizo amezitoa mbele ya camera tena kwa kuzirudia rudia kwa lengo la...
  5. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Jakaya Kikwete akizungumzia mtandao

    Hii nimeikuta mahali Jakaya Kikwete akizungumzia mtandao wao akimtaja Edward Lowassa, Samuel Sitta na Rostam Aziz. 👇 Jee kwa maelezo haya nani alianzisha matumizi ya neno mtandao kwenye kundi lao?
  6. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Nakubaliana nawe ulioandika hili huko katika Mtandao fulani kwani hata Mimi katika Kazi ukiwa nami Ukizingua nakupa Makavu na ukizubaa hata Kukupiga

    Sallam Sk na Majani ndio watu wanao ogopwa sana na wasanii sababu ya misimamo yao kwenye kazi, ukizingua wanakwambia bila kucheka na ukileta masihara kwenye kazi wanakupiga chini. Mwanamuziki yeyote aliyewahi kufanya kazi na Sallam atakwambia jamaa alivyo mtata na mwanamuziki yeyote aliyefanya...
  7. Gudasta

    JamiiForums Tanzania Kwa sasa sarafu mtandao ya PI ina thamani ya Dola ngapi?

    Wazee wa PI naomba kuuliza sasa hivi ina thamani Gani kwenye soko la fedha..?
  8. Msanii

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anasemaje kuhusu mapandikizi ya uongozi kwa uwezeshaji wa watu wa Mtandao?

    Tumemsikia rais Samia akionya kuhusu mapandikizi ya uongozi kwa uwezeshaji wa watu wa nje. Kauli hii ni pana na kubwa mno katika diplomasia ya kisiasa. Rais Samia anajibu gani kuhusu mapandikizi ya uongozi kwa uwezeshaji wa Wanamtandao? Tunawaona Tunawajua Hawajifichi. Atupe majibu maana...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kwa uteuzi wa Rose Migiro na Mtandao kuimarika

    Sina uhakika kama uteuzi wa Rose Migiro unakusudia nini? kuimarisha safu? kubadilisha sura na taswira ya chama kimataifa? kuvutia na ushawishi kwa akina mama? au kuboresha kikundi mtandao kinachotajwa na HPolepole. Kimkakati ni nini hasa? Tujadili. Mimi sina majibu kwa hili
  10. Tajiri wa kinyankole

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kuna taarifa kuwa mfadhili mkuu wa kigogo2014 kwasasa kigogo media katika mtabdao wa x zamani tweeter ni yule mwandamizi wa kundi lile la mtandao.

    Hao watu wamejipanga siku nyingi kuandaa media mbalimbali endapo tu wanapoguswa maslahi yao hushambulia watu kwa kuwapa kashifa mbalimbali. Kwa sasa media hii iliyopo huko x zamani tweeter kazi yake kubwa ni kusifia serikali na yeyote anayeonekana yupo kinyume na serikali hushambuliwa kwa matusi...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Kanuni za kuendesha huduma za kifedha zinasemaje kuhusu ukadiriaji wa senti unaofanywa na huduma za pesa mtandao ?

    Kuna jambo nimeona kwenye kutumia huduma za fedha mtandao (Yas, kwa case yangu) likanitatiza. Wakati nikifanya malipo ya serikali kutumia app yao, sikuwa na namna ya kuingiza senti kuendana na nilichokua nalipia. Badala yake, mfumo ukafanya ukadiriaji wa juu (rounding up) na kunilazimu kulipia...
  12. Y

    JamiiForums Tanzania KATAVI FULL PICTURE : Wapokea shilingi bilioni 921.3 za barabara sasa mtandao wafikia kilometa 4,000

    Sekta |Wakala Kipengele Urefu | Idadi Gharama (Tsh) Hali | Tarehe TANROADS Mtandao wa barabara 1,201.81 km (kuu 594.46, za mikoa 607.35) - - Barabara Kimkakati Mpanda–Tabora 352 km 273,829,309,854.29 Imekamilika Barabara Kimkakati Mpanda–Sitalike 35.9 km 38,042,000,000 Imekamilika...
  13. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa barabara nchi nzima umeanza kuporomoka!

    Mtandao wa barabara nchi uko hatarini. Kote unakoweza kupita barabara za lami zimeanza kubomoka kwa kasi ya kutisha. Shughuli zangu zinanifanya kutembea sehemu nyingi nchi, kw gari. Kahama-Mwanza barabara mbovu. Dodoma -Singida hali mbaya. DSM-Lindi narabara mbovu kabisa. Somanga pale...
  14. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Barua ya Lissu kwenda kwa Dkt. William Leo

    Barua ya Lissu kwenda kwa Dr William Leo. Dr William habari, sitaweza kuandika mengi kwenye barua hii sababu sina karatasi za kutosha, ila kama ujumbe utafika naomba uwatumie na watanzania wote mimi nikiwa bado kwenye nondo za gereza. Siku ambayo nilisema nitasimama na taifa langu la Tanzania...
  15. D

    JamiiForums Tanzania Kuna changamoto katika kupata salary slip kwenye mtandao

    Ninaomba mamlaka husika watatue changamoto hii kwani watu watumishi wengi tunapata shida kupata salary slip kwa mahitaji mbalimbali
  16. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Tuna safari ndefu ngumu na ya hatari watanganyika kujinasua toka kwenye makucha ya wana mtandao

    Nilisema kwenye mada zilizopita kwamba kundi la mtandao ni kubwa na lenye ukwasi wa kueleweka walioupata hapa hapa Tanganyika Hawa ndio wanafaidi keki ya taifa la Tanganyika.. Njia zote kuu za uchumi wamezishikilia wao! Wana sauti na maamuzi kwenye kila kitu.. Huu ni ukweli mchungu na wa...
  17. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Karamu ya mwisho na majigambo ya mtandao

    Tarehe 12.8.2025 itaingia kwenye kumbukumbu za Tanganyika kwa mambo mengi 1. Majigambo ya nguvu ya mtandao kwamba wana watu wazito na wana ukwasi wa kutosha 2. Ithibati kamili kwamba chama kimetekwa na kundi maslahi linalojumuisha wevi, mafisadi, ma tycoon wa rushwa, watakatishaji pesa na...
  18. M

    JamiiForums Tanzania CCM mtandao na CHADEMA masalia kuna muunganiko. Nadharia za HP. Tujadili

    Nimemsikiliza Polepole kwa umakini mkubwa inaonekana ameibua dhana ya CCM mtandao na Chadema Masalia yaani G 55 waliokimbilia Chaumma je kuna uhusiano wa dhana au narration hizi mbili polepole tuambie tujadili nini kilichopo.
  19. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania GE2025 Awamu ya Kikwete ndio mzizi wa kuharibu mifumo thabiti ya Taifa hili kwa Maslahi yao

    Kwa Watanzania wenye umri wa makamo kama wangu, tunakumbuka kuwa, tangu Awamu ya kwanza, ya pili na ya tatu baada ya Bunge kuvunjwa madaraka ya Wabunge na Mawaziri yalikuwa yana seize mara moja huku nchi ikiendeshwa na Makatibu Wakuu. Pia mfumo wa kukaimu madaraka ya Urais uliwatambua Spika na...
  20. 888I

    JamiiForums Tanzania Deep State: Dhana Yake, Namna Inavyofanya Kazi

    Hivi karibuni, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, amezua mjadala baada ya kudai kuwa ndani ya CCM kuna “mtandao” unaodhibiti mchakato wa uteuzi wa wagombea urais. Anasema mtandao huu umekuwa ukijitokeza mara kwa mara tangu mwaka 1995, na mara nyingine hufanikisha...
Back
Top Bottom