mtandao

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwa TCRA kwa kudhibiti wimbi la matapeli kwa njia ya mtandao.

    Kila mmoja atakuwa shahidi wa haya ninayo yasema kuwa, matapeli wa mtandaoni....wale wazee wa " tuma kwa namba hii" wamedhibitiwa kikamilifu. na hata zile application za kitapeli zimekomeshwa. Tuwape pongezi wa wafanyakazi wote wa TCRA kwa kazi nzuri sana. Mwendo huohuo.
  2. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Salim Kikeke anapitia Spana kwenye mtandao wa X

    Baada Ya Kutia Nia Salim Kikeke Ameanza Kupitia Spana Kwenye Mtandao Wa Twitter. Kwenye Moja Kati ya Chapisho Lake Ameandika Kuwa ........................ Sometimes change has to be fought from within. Albert Einstein once said “Doing the same thing over and over again and expecting different...
  3. City Of Lies

    JamiiForums Tanzania Trump amezindua manukato hayo kupitia mtandao wake wa kijamii wa Truth Social

    Rais wa Marekani Donald Trump amezindua rasmi manukato mapya ya kifahari kwa wanaume na wanawake. Trump amezindua manukato hayo kupitia mtandao wake wa kijamii wa Truth Social na yamepewa jina la “Trump Fragrances – Victory 45-57.” Kila chupa iliyo na umbo la sanamu ya Trump akiwa amevaa suti...
  4. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Tafafakari yangu na maoni yangu kwa Watumiaji wa huu mtandao

    Kwa heshima na taadhima, naomba kuchukua nafasi hii kuwashauri ndugu zangu watumiaji wenzangu wa mtandao huu mkubwa na huru wa JamiiForums. Tukiwa sehemu ya jukwaa hili lenye mchango mkubwa katika kukuza mijadala ya kijamii, kisiasa, kiuchumi na hata kidemokrasia, hatuna budi kuwa na nidhamu ya...
  5. La Quica

    JamiiForums Tanzania Unafungia mtandao wa X, lakini wewe upo na unatuma maudhui! 😳

    Wakuu kuna jambo ambalo nimelitafakari bila kupata majibu toka serikali ilipofungia mtandao wa X almaarufu Twitter. Nimeshindwa kuelewa hii serikali inaendeshwa na wendawazimu ama vichaa kwakuwa kwa yanayoendelea ni udhihirisho tosha kuwa ni watu wasio na weledi, reasoning na hata common sense...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa haloteli wanatuibia

    Wakuu nawataarifu msinunue mabandle kwenye halotz...wanaiba hela kwa nguvu 1. Nilikuwa na dkk zaidi ya 600 za mwezi zilitakiwa ziishe 20 July lakini zimeipotea yaan ukiangalia salio ni zero na sijazitumia 2. Nilinunua GB 1 jana usiku nikaingia fb dkk moja nikalala asubuh nikakuta no data...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini kupata access ya mtandao wa X?

    Tangu mtandao wa X kufungiwa, imekuwa ni shida sana kupata habari za muhimu kutoka Duniani. Msaada kwa anayejua namna ya kupata access ya mtandao huo kwa sasa. Ahsante.
  8. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Rais Samia angekuwa anakubali kukosolewa na wale anaodhani wanamchukia na kutoukubali mtandao wa Machawa unaommiliki huenda angekuwa Rais bora Afrika

    Na kama kuna BOMU KUBWA na la HATARI ambalo Rais Samia ANALIMILIKI bila ya Yeye kujua ni la kukubali KUTAWALIWA na MACHAWA wa ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi pamoja na wale alionao SERIKALINI Kwake hasa Mawaziri wake Waandamizi Watatu (nawahifadhi) ambao kutwa WANAMHARIBIA huku Yeye...
  9. U

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya usalama Iran yapiga marufuku maafisa kutumia vifaa vilivyounganishwa kwenye mtandao

    Wadau hamjamboni nyote, Iran yapiga marufuku maafisa kutumia vifaa vilivyounganishwa kwenye mtandao Leo, saa 2:00 usiku Mamlaka ya usalama wa mtandao ya Iran imepiga marufuku maafisa kutumia vifaa vinavyounganishwa kwenye mtandao, ikionekana kuhofia kufuatiliwa au kudukuliwa na Israel. Kwa...
  10. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kupitia mtandao X iran imejibiwa na watumiaji wa naijeria

    Ndio maana kwa nchi yetu wanaogopa sana serikali.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Tufungulieni mtandao wetu pendwa wa X wengine tunafaida nao.

    Viongozi wenye mamlaka serikalini eleweni si wote tunafata maudhui ya ngono huko X,bali huko tunapata kuhabarika,kujifunza mambo mbalimbahi muhimu kama makala za afya,elimu,tarifa nk.Kwa upande wangu mi sijawahi kuona hayo mnayosema maudhui ya ngono msemayo.Sasa kuufunga ni kututendea kwa chuki...
  12. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mtandao wa MTN haupo Tanzania?

    Wakuu, Je kuna sababu gani za Msingi za MTN kutokuwepo Tanzania MTN ni mtandao mkubwa zaidi wa Mawasiliano kwa Africa na Origin yake ni South Africa yeye ndio leading kwa Africa akifatiwa na Vodafone group halafu Airtel Kwa East africa MTN yupo Rwanda na Uganda ila Kenya hayupo ila mtandao wa...
  13. I

    JamiiForums Tanzania FAHAMU KWA UNDANI IP ADDRESS NI NINI NA INA UMUHIMU GANI KATIKA MTANDAO?

    FAHAMU KWA UNDANI IP ADDRESS NI NINI NA INA UMUHIMU GANI KATIKA MTANDAO? 🔎 1. IP Address ni Nini? IP (Internet Protocol) Address ni anwani ya kipekee ya nambari inayotambulisha kifaa chako kwenye mtandao—iwe ni simu, kompyuta, TV ya kisasa, au printer. Ni sawa na anuani ya nyumba: bila hiyo...
  14. Smile Digital Stationery

    JamiiForums Tanzania Hii imekaaje; Serikali inafungia access ya mtandao nchini lakini Serikali yenyewe inaendelea kuutumia?

    Hello, wanaJF; Sote tunajua Serikali imefungia mtandao wa X (Twitter) lakini wao Serikali wanaendelea kuutumia kwa kutoa matangazo yao kwenda kwa Wananchi na watumiaji wa mtandao huo. Sababu zao wanasema ule mtandao unaruhusu Ngono, maana yake kila anayeingia mule anaenda kuangalia ngono...
  15. black-tz

    JamiiForums Tanzania Tanzania iko mbioni kutunga sheria na kuweka muongozo wa kutekeleza mfumo wa kitaifa wa mtandao wa simu, ujulikanao kama National Roaming

    Tanzania iko mbioni kutunga sheria na kuweka muongozo wa kutekeleza mfumo wa kitaifa wa mtandao wa simu, ujulikanao kama National Roaming. Kupitia mfumo huu mpya, mtumiaji wa simu ataweza kuunganishwa na mtandao wowote uliopo karibu; bila kujali kampuni ya simu ambayo amesajili laini yake. 📶...
  16. N

    JamiiForums Tanzania Kuna shida ya mtandao wa LUKU?

    Napata shida ya kununua umeme toka asbh kuna mtu anaexperience hili tatizo au ni mm tu?
  17. B

    JamiiForums Tanzania Kuzimwa kwa mtandao nchini, TCRA yapewa tahadhari kuelekea uchaguzi/ pin na TMC watoa tamko

    30 May 2025 Dar es Salaam https://m.youtube.com/watch?v=nUGKwZ44tlQ Tech & Media Covergency na PIN wazungumzia kuhusu changamoto za TEHAMA barani Africa huku mtandao wa X ukiwa umezimwa, na nchi mwenyeji wa mkutano huo wa wadau wa Barani Africa unafanyika Tanzania jijini Dar es Salaam. Wadau...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Je, kuendelea kutofanya kazi kwa mtandao wa X Nchini si sawa na kukubali matakwa ya adui?

    Napata shida kidogo hapa. Kuendelea kutopatikana kwa mtandao wa X Nchini si sawa kabisa na kukubali hila mbaya za adui? Ebu fikiri, mwizi kavunja mlango na kuiba mali zako. Badala ya kuimarisha ule mlango na ulinzi kwa ujumla na kuendelea kuishi katika nyumba yako, wewe unaamua kuivunja nyumba...
  19. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Day 1: JamiiAfrica inashiriki Mkutano wa 14 wa Afrika wa Utawala wa Mtandao (AfIGF2025) JNICC Mei 29-31, 2025

    Kuanzia leo Mei 29 hadi 31, 2025, JamiiAfrica inashiriki katika Mkutano wa 14 wa Afrika wa Utawala wa Mtandao (AfIGF2025) unaofanyika Dar es Salaam katika Ukumbi wa JNICC. Mkutano huu unawakutanisha wadau mbalimbali kutoka Serikalini, Sekta binafsi, Asasi za Kiraia na Vijana ili kujadili kwa...
  20. Fbn

    JamiiForums Tanzania Wamefunga mtandao X ila na wenyewe baada ya kufunga wanatumia VPN. Habari wanataka kumpa raia gani wakati hamtaki wageni kusoma mambo ya nchi

    Hapa ndio ukomo wa akili wa hawa chawa mama ccm. Unajionesha wewe ni imara sijui uteteleshwi ila mda si mfupi unaenda kuwa lilia mikopo ya vyoo vya mashule. Kufunga mtandao X na bado unatumia kutoa habari zenu za vyama vya ccm na serikali mnataka wasome nani.
Back
Top Bottom