Hivi kama aridhi ilipimwa kwa upimwaji shirikishi, then mtu akanunua kufuatilia kiwanja ulichonunua kimeingiliana na kiwanja cha mwingine(vyote vilipimwa kwa shirikishi)
Swali: inawezekana kukisajiri upya hicho kiwanja na nikapata hati yake? na kama ndio kipi kifanyike kwanza