aBuwash
JF-Expert Member
- Dec 26, 2023
- 310
- 558
Habarin wana JF
Naomba nieleze kidogo changamoto yangu iliyonikumbuka Wenda Kuna wajuzi wanaweza nisaidia ndani humu.
Mwezi wa tano nilisafiri kwenda mkoa kwaiyo nilikuwa na pkpk ambayo ilikuwa inafanya shughuli za bolt kwa ajiri ya kujipatia kipato
Basi Kuna kijan nikamuachia pikpk aendelee kunipa hesabu kipind ambacho sipo lakin badae dog akawa analalamika hali ngumu wateja hamna anatak nimfungulie bolt mim nisivyo na hiana nikaamua kumpa akaunt yangu aendelee kufanya biashara.
Sasa baada ya wiki akaunt ikawa inahitaj face verification yeye bila kujua akaweka sura yake kama mara tatu hivi bila kujua na badae ikapelekea akaunt yangu kufungiwa
Juzi nimeenda makao makuu bolt wameniambia kwamba hiyo ndo basii haiwez funguliwa Tena mpka wazungu wenyewe watakapoamua kuifungua
Ety wao hawana access ya kuifungua
Ombi langu kama Kuna mtu asahawah pata changamoto kama hiii na uliwezaje kuisolve. Maana maisha ya boda bila bolt ni magumu sana aiseee
NAOMBENII MSAADA wenu
Naomba nieleze kidogo changamoto yangu iliyonikumbuka Wenda Kuna wajuzi wanaweza nisaidia ndani humu.
Mwezi wa tano nilisafiri kwenda mkoa kwaiyo nilikuwa na pkpk ambayo ilikuwa inafanya shughuli za bolt kwa ajiri ya kujipatia kipato
Basi Kuna kijan nikamuachia pikpk aendelee kunipa hesabu kipind ambacho sipo lakin badae dog akawa analalamika hali ngumu wateja hamna anatak nimfungulie bolt mim nisivyo na hiana nikaamua kumpa akaunt yangu aendelee kufanya biashara.
Sasa baada ya wiki akaunt ikawa inahitaj face verification yeye bila kujua akaweka sura yake kama mara tatu hivi bila kujua na badae ikapelekea akaunt yangu kufungiwa
Juzi nimeenda makao makuu bolt wameniambia kwamba hiyo ndo basii haiwez funguliwa Tena mpka wazungu wenyewe watakapoamua kuifungua
Ety wao hawana access ya kuifungua
Ombi langu kama Kuna mtu asahawah pata changamoto kama hiii na uliwezaje kuisolve. Maana maisha ya boda bila bolt ni magumu sana aiseee
NAOMBENII MSAADA wenu