Wataalamu wa mosaic Tiles naomba msaada wenu.

Wataalamu wa mosaic Tiles naomba msaada wenu.

prida

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2026
Posts
821
Reaction score
1,567
Habari ya majukumu ndugu zangu mafundi tiles.

Eti njia sahihi ya kubandika hizo tiles hapo pichani zinate vizuri hata watoto wakizichezea zisitoke ni ipi kati ya kutumia gundi yake au kuzibandika kwa kutumia cement.?

Fundi wangu kasema ninunue cement na dukani nilikonunua hizo ndude wanasema zina gundi yake maalum.Fundi anadai cement ndo uhakika na kwamba dukani lazima waseme gundi ili wauze.

Sijui nimuamini yupi na ninaogopa fundi asijeniharibia ukizingatia hivi vidude bei yake imechangamka kidogo.

Natanguliza shukrani.🙏
20260623_104847.jpg
 
Kwa hapo sio mtaalam sana nikuitie vipanga kina ,aise na Fundi mahiri wa Ujenzi
Haya mambo ya ufundi mkuu Kila mtu atakuja na maelezo yake, na kila mmoja anaweza kuwa sahihi kwa kiasi Fulani!

Hizi gundi za Tiles zimetengenezwa na kemikali maalumu ambazo zinaikamata tiles, hasa hizi Tiles za kisasa ambazo hazinyonyi maji.

Simenti inategemea Tiles inyonye maji ndipo iikamate tiles, kitu ambacho tiles nyingi za Sasa hazifanyi.

Sasa hapo mleta Uzi anauliza amuamini nani kati ya muuza duka au fundi wake mimi Sina maoni hapo
 
Haya mambo ya ufundi mkuu Kila mtu atakuja na maelezo yake, na kila mmoja anaweza kuwa sahihi kwa kiasi Fulani!

Hizi gundi za Tiles zimetengenezwa na kemikali maalumu ambazo zinaikamata tiles, hasa hizi Tiles za kisasa ambazo hazinyonyi maji.

Simenti inategemea Tiles inyonye maji ndipo iikamate tiles, kitu ambacho tiles nyingi za Sasa hazifanyi.

Sasa hapo mleta Uzi anauliza amuamini nani kati ya muuza duka au fundi wake mimi Sina maoni hapo
Jibu kitaalamu bila kumlinda yeyote
 
Haya mambo ya ufundi mkuu Kila mtu atakuja na maelezo yake, na kila mmoja anaweza kuwa sahihi kwa kiasi Fulani!

Hizi gundi za Tiles zimetengenezwa na kemikali maalumu ambazo zinaikamata tiles, hasa hizi Tiles za kisasa ambazo hazinyonyi maji.

Simenti inategemea Tiles inyonye maji ndipo iikamate tiles, kitu ambacho tiles nyingi za Sasa hazifanyi.

Sasa hapo mleta Uzi anauliza amuamini nani kati ya muuza duka au fundi wake mimi Sina maoni hapo
Arudi dukani wakampe fundi wao aje kuweka tiles hizo
 
Haya mambo ya ufundi mkuu Kila mtu atakuja na maelezo yake, na kila mmoja anaweza kuwa sahihi kwa kiasi Fulani!

Hizi gundi za Tiles zimetengenezwa na kemikali maalumu ambazo zinaikamata tiles, hasa hizi Tiles za kisasa ambazo hazinyonyi maji.

Simenti inategemea Tiles inyonye maji ndipo iikamate tiles, kitu ambacho tiles nyingi za Sasa hazifanyi.

Sasa hapo mleta Uzi anauliza amuamini nani kati ya muuza duka au fundi wake mimi Sina maoni hapo
 
Back
Top Bottom