msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Datum check

    Nina ujuzi wa Land Surveying, msaada kazi na connection

    Mimi ni Me, umri miaka 21. Nina ujuzi wa land surveying topographic Surveying engineering surveying cadastral surveying ..na. Uwezo wa kutumia software kama civil 3d na Qgis. Na vifaa kama level ,total station na gps. Pia nna experience ya kufanya kazi katika ujenzi wa barabara na upimaji wa...
  2. Mtu_imara

    Msaada dawa ya kichocho sugu usaha unatoka ameambiwa kibovu kina mayai ya kichocho

    Shusha dawa apo pharmacist au alieshauguaga io kichocho sugu
  3. makutupora

    Shida haina hodi, mwenzenu nimefika mwisho, naombeni msaada

    Nina mazingira magumu sana mbele naona giza tu mpaka sioni thamani ya haya maisha. Miaka miwili natafuta kazi, naishi kwa ndugu kwenye mazingira magumu, mama yangu ni mgonjwa na namuangalia anavyoteseka kila siku nikiwa sina namna ya kumsaidia. Yoyote ambaye ana ofisi, biashara, taasisi au...
  4. B

    PreGE2025 Steve Nyerere kupitia taasisi ya Mama ongea na mwanao wametoa msaada wa 'Kiti cha mama'

    Hii kila kitu kuwa cha mama, kuitwa cha mama na kukihusianisha na mama imekuwa kero sasa, ukipita barabarani magari yameandikwa SSH 2025 kuta zimechorwa chata hiyo hiyo nk. Sasa hatimaye wamekuja na 'kiti cha mama' kwa ajili ya kuwasaidia walemavu na wameviweka na picha ya Rais Samia, hii ni...
  5. Bei Rahisi Electronics

    Msaada Wakuu!

    Mdogo wangu wa kike kuniuliza ilo swali sitaki nionekane kilaza. "A former East African and current east African community is like a new wine in old bottle, discuss"
  6. Mr Mjs

    Msaada juu ya Swahili Voice Over AI

    Wadau nimejaribu kutafua AI nzuri kwaajili ya Voice Over ya Kiswahili nimekwama. Msaada kwa mwenye kujua ambayo ni nzuri anisaidie.
  7. C

    KKKT mnapoteza sana muda wenu kuendelea kumng'ang'ani MALASUSA huyo si msaada tena kwa ustawi wa kanisa.

    Ni hayo tu. Kichwa kinajitosheleza. Maana kanisa limekuwa la kinafiki.
  8. B'REAL

    Msaada unaitajika

    Wakuu habarini za sahizi,poleni na majukumu,waungwana naomba msaada wa hili jambo,mi ni mjasiria mali,niko istagram ila sina uzoefu sana,nilifanya malipo ya matangazo na meta mara kaza,kuna deni ilikuwa nadaiwa kama 87000,nikalipa yote plus kulipa tangazo upya,wakanitumia receipts malipo yame...
  9. Muimba SINGELI

    MSAADA: Kamera nzuri ya bei ya chini kwa kwa ajili ya video

    Kwa bajeti ya 200,000 hadi 300,000 naweza kupata kamera gani nzuri kwa ajili ya short films na clips. Nipo mtwara. Kwa sasa natumia simu kufanya hivyo vyote.
  10. S

    Naomba msaada

    Naomba msaada wa soft copy ya vitabu hivi. 1:- Adili na Nduguze 2:- Utengano 3:- Dunia uwanja wa fujo 4:- Mirathi ya Hatari 5:- Kichwa maji 6:- Kuli 7:- Njama 8:- Watoto wa mama nitulie 9:- Vuta N'kuvute
  11. L

    Msaada wa Kituo Cha Usaili Cha (Ajira portal)Kwa Dsm

    Wakuu naomba mnijuze Hawa PSRS kituo Chao Cha Usaili Kwa Daresalaam ni kipi ? Kipo wapi ?
  12. 1Africa54

    NAOMBA MSAADA MWENYE KUJUA JINSI KILIMO CHA KOROSHO, SOKO LAKE LIPOJE PIA

    Wakuu naombeni anae jua kilimo Cha korosho kinaendeshwaje, bei ya korosho, jinsi ya kuongeza thamani nk
  13. immortanity

    Mwanamke mwenye uvimbe anaweza kushika mimba?

    Msaada tafadhali wakuu Hivi mwanamke mwenye uvimbe tumboni namaanisha kwenye mfuko wa uzazi uterus anaweza shika mimba na kuzaa?
  14. R

    Msaada namna ya ku quote several sentences na kuzijibu

    Imenitoka kidogo naomba mwongozo
  15. KJ07

    Msaada wa MEXT SCHOLARSHIP APPLICATION ya JAPAN

    Habari za wakati huu wana jukwaa. Niko mbele yenu hapa kuomba kama kuna yoyote aliyewahi kuomba na kupata Scholarship za MEXT za nchini JAPAN aweze kunipa guidance ya mambo kadhaa maana dirisha ndo limegunguliwa. Natanguliza shukrani na naomba kuwasilisha. Asante.
  16. Kyenju

    Msaada! Tools za Kudownload videos

    Wataalam Wakuu. Natumia browser ya Google chrome, ila napata ugumu Kudownload video za YouTube. Nipetumia extension kadhaa ila hazifanyi kazi. Je, kwa sasa ni hipi browser mzuri mbadala wa Torch iliyopigwa pin? Wasalaam.
  17. Mejasoko

    Msaada wa maswali ya written Utumishi nafasi ya Planning Officer II mwenye madini share please

    Wadau nakwenda kupambania bahati yangu tarehe 25 mwezi huu, mwenye madini juu ya maswali ya written kada ya planning officer Fanya kushare
  18. COLTAN

    Msaada Katika Samsung A15

    Habarini. Natumia Samsung A15 Nikimpigia MTU Mimi Nina Msikia Ila yeye hanisikii nifanyeje? Ili aweze kinisikia nitakae mpigia?
  19. Scared

    Nyumba ya chumba, sebule, jiko, choo inaingia bati mita ngapi?

    Naombeni Kwa mlliojenga au mafundi mnaojua chumba sebule jiko choo inaingia bati mita ngapi maana nimeuliza bati naona kichwa kinawaka moto aisee mwenye kujua anisaidie nimeuliza alafu mita 1 Bei 27000 kwahiyo bati Moja Lina mita 3 sawa na 81000 jumla hii ni hatari aisee
  20. jaap

    Msaada jino maumivu ya jino

    Nasumbuliwa na jino linauma sana wakati wa kunywa Chai au juice nimetumia dawa za kutuliza maumivu na Mouth wash lakini tatizo limekua likiendekea, Nikinywa Chai au juice na Tikiti maji jino linauma .
Back
Top Bottom