Wakuu habarini za sahizi,poleni na majukumu,waungwana naomba msaada wa hili jambo,mi ni mjasiria mali,niko istagram ila sina uzoefu sana,nilifanya malipo ya matangazo na meta mara kaza,kuna deni ilikuwa nadaiwa kama 87000,nikalipa yote plus kulipa tangazo upya,wakanitumia receipts malipo yame...