msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Naomba msaada kwa wenye uzoefu mikopo ya Azania bank kwa wanachama wa NSSF

    Wakuu nawasalimu. Naomba kama Kuna mtu ana uelewa na Hili anisaidie. Azania bank wanatoa mikopo kwa wanachama wa NSSF. Kama mtu aliachishwa kazi kipindi cha janga la Corona kwa sababu kampuni iliamua kupunguza wafanyakazi na hakutoa mafao yake NSSF na ameamua kutokuajiriwa tena anaweza kupata...
  2. C

    Rav4 Kilitime cc 1750 msaada

    Wakuu Kwa DHATI naomba mwenye kuijua vema hii gari, Mafuta inatumiaje,(Lt per km), Spea zake, AC (how good it is), kwa kifupi faida na hasara zake kwa hii gari. Naomba saana, Mwishowe kwa Mil 9.5 naweza pata namba D?
  3. matunduizi

    Wakuu msaada wa namna ya kusafirisha parcel kisangani congo

    Rejea kichwa hapo juu. Kuna mzigo au parcel inatakiwa ifike kisangani kutokea Dsm. Wataalam na wadau wa road naombeni msaada.
  4. teac kapex

    Msaada juu ya data network ya hii Galaxy note 9.

    Kwa kweli simu nilizoamini ni nzuri ni pamoja na Samsung lakini kwangu imekuwa tofauti, mwanzoni simu ilikuwa vizuri lakini sasa hivi natamani kurudi kwenye tecno na infinix, maana nikiwa safarini nawaona wenzangu wakivinjari kwenye mitandao ya kijamii mwanzo mwisho wa safari lakini hili la...
  5. Ubungo Mataa

    Msaada.. Biashara ya samaki

    Nimepewa wazo la biashara ya Samaki wabichi. Unachukua samaki wabichi aina kadhaa kutoka kwa wavuvi Bagamoyo kwa vipimo vya ndoo unaepeleka moja kwa moja kwenye maduka ya samaki Kariakoo. Jamaa anasema inalipa vizuri ila hana uzoefu. Naomba mwenye uzoefu au anaefanya biashara hii anipe A B C...
  6. K

    Msaada kwa Wanasaikolojia

    Huwa natatizwa sana. Unakuta mtu ana kila kitu nyumbani. Kama ni pombe aina zote zipo. Kama ni chakula kila kitu kipo, nyama za kila aina mpaka za porini. Kama ni nguo, ndio usiseme kabisa, maana kuna mashati hayajavaliwa sasa huu mwaka wa pili. Usafiri ndio usiseme kabisa. Gari tatu zote full...
  7. F

    Nipo hoi kitandani, msaada tafadhali

    1. Najisikia maumivu kwenye rectum, hasa ikiwa nabanwa na haja kubwa. 2. Maumivu husambaa mpaka kwenye misuli ya uume iloelekea sehem ya haja kubwa. 3. Maumivu huelekea pia mpaka kwenye paja. 4. Na hatimaye uume hupata itching kwenye urethra. Nini hii jamani? Nina maumivu ya korodani hasa...
  8. Inkotanyi 94

    Msaada tiba: shahawa haziruki!

    Umri: 42 Tatizo: Shahawa zinatoka rojo rojo bila presha. Nguvu za kiume: zipo Mkojo: presha ndogo na hauishi wote vzur kama vile valve mbovu. NINI TATIZO? NINI TIBA?
  9. 1 mother

    Msaada wa dawa ya kutibu ukaukaji wa matunda kwenye mti

    Naomba msaada wa kujua ni dawa gani nitumie kwa ajili ya kutibu tatizo sugu ambalo linakumba miti yangu aina ya mipera, kila ikiweka mazao, mapera yote yanakauka baada ya kufikia hatua flani. Naambatanisha picha kwa ufafanuzi zaidi
  10. R

    Msaada please kuhusu kuripoti Lugalo Medical school

    Wandugu, Kijana amechagliwa kwenda Lugalo kwenye clinical medicine. Kuna taarifa kuwa chuo kimefunguliwa tarehe 3/10/2021. Lakini joining instructions zinasema kufungua ni tarehe 11/11/2021. Nifanyeje kupata uhakika. Ukipiga simu hawapokea. Assist please to get the correct information.
  11. Zero Competition

    Msaada kwa waliochukua malipo ya NSSF hivi karibuni

    Habari zenu wakubwa kwa wadogo Naomba kuuliza, wiki iliyopita nilirudisha fomu yangu ya madai NSSF na baada ya kufanya uhakiki wao wakanambia kwamba siku flani niangalie kwenye akaunti yangu ya benki nitakuta hela imeingia. Kwakua mpaka natoka pale na akili nayo ilikua imechoka kiasi kwamba...
  12. Mwenda_Pole

    Msaada: Taa ya Battery kuwaka kwenye dashboard ya gari

    Msaada kwenye tuta, Gari Toyota Harrier, Taa ya Battery inawaka kwenye dashboard ( charging system warning light) hii kitu inasababishwa na nini? Pia namba ya kurekebisha. Gari inawaka bila shida na battery ina miezi miwili Tu bado mpya. Nimesha ichomoa kurudishia lakini wapi
  13. A

    Naombeni ushauri nifanye nini ili nisipoteze hela zangu nilizowekeza Kenya

    Naombeni ushauri wa nini cha kufanya kwa haraka ili nisipoteze hela ambazo nimezituma kwa a Company in Kenya nimefanya manunuzi ya simu. Katika makubaliano ilikuwa kwamba nilipe advance/deposit ya 50% cost ya simu ili waweze kuituma na nikishaipokea hapa Dar nitalipa balance 50% iliyobaki. Sasa...
  14. S

    Msaada pls

    Habari wakuu Kijana ambae ni fundi mzuri umeme wa magari anapatikana kibaha anatafuta kazi msaada wenu kwa mwenye kuweza kusaidia 🙏
  15. M

    Wizara ya Madini na Tume ya Madini inatumia sheria na kanuni zipi kukusanya mrabaha wa mawe na kuyapiga mnada?

    Ukisoma sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake sehem ya VI isemayo ROYALTIES FEES AND OTHER CHARGE. kifungu cha 87(1) inasisitiza royalty ya 6percentum kwenye dhahabu na madini mengine km yalivyoainishwa japo mengine kiwango chake kiko chini ya 6percentum. Kumezoeleka katika nchi...
  16. mdukuzi

    Wataalam wa sheria na kanuni za soka msaada wenu unaitajika

    Let say mchezaji X ana kadi mbili za njano alizopata kwenye mechi zilizopita katika ligi .kanuni zinasema ukifikisha kadi tatu za njano,hautacheza mchezo unaofuata.swali,ikitokea mchezaji X akapata kadi mbili za njano na red card kwa mchezo unaofiata ke zile yellow card mbili za awali zotafutika...
  17. Dit000

    Mwenye vitabu au tutorials za mapishi ya kienyeji anisaidie

    Mwenye vitabu au totorials za mapishi ya kienyejii ya kikabila makabila yote tz, anisaidie please.
  18. Dit000

    msaada please

    hivi formula ya kutumia kunywa maji kwa siku ni ipi?? kwa kuzingatia uzito,umri,urefu n.k
  19. Dit000

    Msaada wa kujua manukato mazuri

    Hivi creed aventus na olympea ipi ni nzuri na zina bei gani zile original?
  20. Namora

    Msaada wa kupata Pasi ya kusafiria

    Wakuu naombeni mwongozo wenu tafadhali, nilikua nafatilia pasi ya kusafiria (International Passport) kidogo nimekumbsna na vikwazo. Mimi niko mkoani huku (Chuganian) Nimejaribu kuulizia uhamiaji wa hapa nimeelezwa niwe na: Cheti cha kuzaliwa (Ninacho) Namba za Nida (ninazo) Cheti cha kuzaliwa...
Back
Top Bottom