Nenda mpaka Geita au Chato,wenyeji ndiyo watakupa taarifa.Msaada tutani mwenye contact za lubondo au aliywahi kwenda lubondo anipe abc na ushauri kama panafaa kwenda kupumzisha akili kidogo au ni changamoto
Matumizi ya internet yamekushinda kabisa, akili uliyotumia kutuma hii msg humu ndio akili ungeitumia kugoogle ungepata kila kitu Ila umeamua kutohusisha ubongo wako na uwezo wako.Msaada tutani mwenye contact za lubondo au aliywahi kwenda lubondo anipe abc na ushauri kama panafaa kwenda kupumzisha akili kidogo au ni changamoto
Sio lubondo ni rubondoMsaada tutani mwenye contact za lubondo au aliywahi kwenda lubondo anipe abc na ushauri kama panafaa kwenda kupumzisha akili kidogo au ni changamoto
Ona huyuMkuu kama unaenda kujimpuzisha lubondo kutoa stress, wewe nenda tu ila usisahau wengine mkuu, hivi hauna ndololo kidogo hapo unitoe
Hakuna cha mauza uza mkuu, ingia tovuti ya TANAPA then chukua contact zao, ukizikosa za Rubondo basi utapata za HQ, wasiliana nao moja kwa moja watakupa muongozo.Ila ningepata contact za pale ningekuwa nimepata msaada mkubwaa maana kila ukigoogle unakuta mauzauza tu
kama lodge, hostel na bandas zimejaa, unaweza wa contact ata ukaenda kupiga hema maana sizan kama sehemu za campsite zimejaa.Shukran nimepata contact ila pamejaa full mpk tarehe 3.tanzania ya leo tamu hongera kwa mama watu wanaishi
Huyo jamaa atakuwa mshamba flani hana lolote wala nini ni mojawapo wa buku saba wa lumumbakama lodge, hostel na bandas zimejaa, unaweza wa contact ata ukaenda kupiga hema maana sizan kama sehemu za campsite zimejaa.
vacation siyo lazima ulale lodge ama hotelini, campsite huwa ni exposure moja nzuri sana.
Shukran nimepata contact ila pamejaa full mpk tarehe 3.tanzania ya leo tamu hongera kwa mama watu wanaishi