Wilhelm Johnny
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,351
- 1,282
Habari za saa hizi wakuu kuna demu nimeotea bhana sasa simwelewi leo ni mara ya pili nampeleka gheto tunafanya romance fresh ikifika wakati nataka kuanza tafuna mbususu anazima anapandisha mashetani.
Mara ya kwanza nikajua masihara leo mara ya pili ni hivo hivo akiwa kwenye hiyo situation nikajaribu kumhoji huyo jini haongei ukimuliza kitu anakujibu kwa ishara nikaliuliza linaitwa nani akaniandikia kama kiarabu sikuelewa nikiliuliza limetoka wap anachora duara akimaanisha duniani nikaliuliza linataka nini likasema linampenda nikamuliza umekutana nae wap anasema njia panda sijui ni ya wapi nikaliomba nigonge kimoja likawa kali kama mbogo likaniambia ni wake hiyo ni mara ya kwanza nikaliomba litulie ili demu ajiandae aondoke demu akahema kama mtu anakata roho halafu akazima kama dakika moja akaamka na wenge nikamtuliza nikamuliza kulikoni akaniambia usiku anaotaga akiwa anafanya mapenzi na kuhusu hilo sio kwangu tu kila akienda ghetto lazima azime.
Sasa leo nikampeleka tena gheto bhana ile nataka ingiza tu ngoma ikakata moto leo akawa mkali nikasema kimoyomoyo wewe jini hunijui leo napeleka moto utakimbia mwenyewe. ile napambana akaninyooshea kidole kwa ukali akionyesha ishara nitakuua nikaanza libembeleza sasa nikawa nina liuliza unaweza mpa pesa akasema hapana nikamuliza unaweza mfanya huyo demu afaulu shule likasema ndio nikawa na libembeleza niwe mume mwenza limegoma kabisa linasema demu ni wakwake na anampenda nikalituliza kama kawa demu aka amka tukawa tunapiga story naona mbususu hiyo hapo kuila ni ngumu naishia kuipapasa tu maana ukitaka ingiza tu lazima azime.
Sasa muda ukawa umeenda nikamwacha demu aondoke akidai atakuja weekend hapo. Swali langu je ni kiforce linaweza nidhuru maana akipandisha tu mimi naanza bonga nalo kama walokole wanavyofanya.
Nisaidieni mtagi mshana
Mara ya kwanza nikajua masihara leo mara ya pili ni hivo hivo akiwa kwenye hiyo situation nikajaribu kumhoji huyo jini haongei ukimuliza kitu anakujibu kwa ishara nikaliuliza linaitwa nani akaniandikia kama kiarabu sikuelewa nikiliuliza limetoka wap anachora duara akimaanisha duniani nikaliuliza linataka nini likasema linampenda nikamuliza umekutana nae wap anasema njia panda sijui ni ya wapi nikaliomba nigonge kimoja likawa kali kama mbogo likaniambia ni wake hiyo ni mara ya kwanza nikaliomba litulie ili demu ajiandae aondoke demu akahema kama mtu anakata roho halafu akazima kama dakika moja akaamka na wenge nikamtuliza nikamuliza kulikoni akaniambia usiku anaotaga akiwa anafanya mapenzi na kuhusu hilo sio kwangu tu kila akienda ghetto lazima azime.
Sasa leo nikampeleka tena gheto bhana ile nataka ingiza tu ngoma ikakata moto leo akawa mkali nikasema kimoyomoyo wewe jini hunijui leo napeleka moto utakimbia mwenyewe. ile napambana akaninyooshea kidole kwa ukali akionyesha ishara nitakuua nikaanza libembeleza sasa nikawa nina liuliza unaweza mpa pesa akasema hapana nikamuliza unaweza mfanya huyo demu afaulu shule likasema ndio nikawa na libembeleza niwe mume mwenza limegoma kabisa linasema demu ni wakwake na anampenda nikalituliza kama kawa demu aka amka tukawa tunapiga story naona mbususu hiyo hapo kuila ni ngumu naishia kuipapasa tu maana ukitaka ingiza tu lazima azime.
Sasa muda ukawa umeenda nikamwacha demu aondoke akidai atakuja weekend hapo. Swali langu je ni kiforce linaweza nidhuru maana akipandisha tu mimi naanza bonga nalo kama walokole wanavyofanya.
Nisaidieni mtagi mshana