Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,177
- 7,699
Misoprostol tablets!!
Wanavitumia kutoa Mimba.Misoprostol tablets!!
Tatizo sio dawa tatizo ni usunukuzi wako. KwaninI upekue mkoba wa watu? Ulitaka kumwibia nini?Misoprostol tablets!!
Dogo hata ku-google tu alishindwa... Taifa la kesho lina kazi kubwa sanaMisoprostol is a synthetic prostaglandin E1 analogue that is used off-label for a variety of indications in the practice of obstetrics and gynecology, including medication abortion, medical management of miscarriage, induction of labor, cervical ripening before surgical procedures, and the treatment of postpartum hemorrhage.
Due to its wide-ranging applications in reproductive health, misoprostol is on the World Health Organization Model List of Essential Medicines.
Acha tu yaani kila kitu kipo kwenye mtandao,zamani inabidi upande daladala uende maktaba ukatafute vitabu vya masuala ya afya halafu uangalie kwenye glossary of termsDogo hata ku-google tu alishindwa... Taifa la kesho lina kazi kubwa sana
Misoprostol tablets!!
bora umemsaidia maana wengi wanajua ni kutolea mimba tu.1: Kutibu vidonda vya tumbo
2: Kupunguza damu isitoke nyingi kwenye tumbo la uzazi hasa baada ya kujifungua
3: Kuanzisha uchungu ili kusitisha ujauzito au kujifungua.
4: Kusaidia kuondoa masalia ya ujauzito/mimba kwenye mji wa mimba inapokuwa imeharibika.
mkuu haujui kama data imepanda bei?Dogo hata ku-google tu alishindwa... Taifa la kesho lina kazi kubwa sana
bora umemsaidia maana wengi wanajua ni kutolea mimba tu.
mimi sio mleta mada na hata hivyo ujana wa kusumbuka na hivyo vitu ilikuwa miaka 20 iliyopita.Kwahiyo mchuchu wako atakua na vidonda vya tumbo et eeh?!
Na kuanzisha thread hajatumia data?mkuu haujui kama data imepanda bei?
Tatizo sio dawa tatizo ni usunukuzi wako. KwaninI upekue mkoba wa watu? Ulitaka kumwibia nini?
Vifo vingine mnajitafutia wenyewe