msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. F

    Msaada

    DOGO ANA BCD KWENYE COMBINATION ANAWEZA KUFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA KAMA MTAHINIWA WA KUJITEGEMEA(PC)?
  2. Kinkajou

    Nimeibiwa till ya mpesa

    Naombeni msaada au mwongozo tafadhali , mwaka 2019 nilimwajir rafk yang wa kijjn kwenye mpesa yangu hapo kijjn kwet nikaondok kwenda nje ya nchi ila cha ajabu mwaka huu mwez wa 4 wamefanya tukio kijjn kupelekea kutaftw na polis akaondok na kila kitu changu cha mpesa na lain bdo inatumik...
  3. Brown Kwacha

    Kwa mwenye msaada wa kupata hiki cheti tafadhali

    Kwa mtu yeyote anayeweza kunisaidia kupata hiki cheti msaada wako unahitajika zaidi ya unavyofikiria. Kama ulishawi kuomba ukiwa nje ya nchi pia naomba unishauri nawezaje kukipata ingali nikiwa nje ya nje.
  4. Patandi

    MSAADA: Matibabu ya mgonjwa wa akili

    Wakuu heshima kwenu. Naomba msaada wenu kuhusu matibabu sahihi ya ugonjwa wa akili na mahali yanapopatikana. Nina ndugu yangu alianza kusumbuliwa na ugonjwa huu tangu akiwa mdogo. Baada ya kutibiwa huku kijijini bila mafanikio alipelekwa Muhimbili kwa uchunguzi zaidi. Pale Muhimbili alifanyiwa...
  5. Mpinzire

    Msaada "You need to format the disk before use" Naokoje data zangu?

    Habarini wadau! Naomba maujanja kuna data ziko disk ila hiyo disk haiwezi funguka mpaka uifomart kwanza! Nawezaje kuokoa data zangu ziwe salama salmini?
  6. bright pledge 255

    Naomba mnielekeze jinsi ya kuondoa facebook preload video

    naomba mnielekeze jinsi ya kuondoa facebook preload video, yaani inakula mb balaa kwenye setting nimeondoa play automatically ila ata ukizima data video nyingi unaweza kuzi play at least for 12 seconds je nifanye nini kuzuia hilo ,au nisione kabisa video yeyote note; Natumia pc
  7. bright pledge 255

    Nawezaje kupata transcript ili nifate leseni Dodoma?

    Nimemeliza clinical medicine mwaka jana chuo kipo kanda ya ziwa, nawezaje kupata transcript ili nifate leseni Dodoma.
  8. bright pledge 255

    AVN inanisumbua, nifanyaje?

    Habarini ndugu, mimi nimemaliza diploma ya [clinical medicine] CO mwaka jana nahitaji kwenda kusoma degree but AVN number inasumbua kuipata kwenye mtandao nifanyeje ,ama tatizo linaweza kuwa ni nini
  9. Requal

    Msaada ya kutengeneza jina la biashara

    Habari zenu, Naomba msaada wa kutengeneza jina la biashara ambalo litakuwa rahisi kutamkwa na fupi. Biashara ninayotaka nianzishe inahusu vinywaji vya aina zote. Jina nilifikiria hili: Isaba General Drinks. Kabla ya julisajili naombeni mawazo ya kuliboresha ila mwanzo kazima jina Isaba...
  10. Mganguzi

    Msaada tafadhari Nahitaji kitabu cha lejendari Mr II Jongwe, Sugu au Taita

    Mwenye navyo au mwenye nacho ani dm, tafadhari .
  11. dyuteromaikota

    Msaada jinsi ya kupunguza wivu

    Ama kweli malovee hayana mwenyewe. Yaani na uhenga wangu nimekamatika na katoto ka mwaka 2000. Muda wote tu nakahisi kama kanachepuka. Japo sijakakamata na ishu yoyote ya kutia shaka lakini nashangaa tu moyo unanienda mbio muda wote nkikafikilia. Wadau ninyi huwa mnafanyaje kupunguza wivu? Uzi...
  12. U

    Msaada wa haraka kuhusu tatizo la nyufa ukuta wa nyumba

    Wanajf ninaomba ushauri wa haraka wa nini kifanyike kwani kuta za kakibanda kangu kaliopo Katavi mahali ambapo matetemeko makubwa ya ardhi mithili ya mabomu yanapita Mara kwa Mara zimetoa nyufa nyingi!Nyufa zinaanzia chini na kuishia dirishani,zingine zimepitiliza!Nimeambatanisha na
  13. N

    Msaada: Kubadili tarehe na mwaka wa kuzaliwa NIDA

    Naombeni, msaada hili linawezekana? Mwanangu majina yote ni sawa na picha shida date birth, je itachukua muda gani na gharama kiasi gani?
  14. N

    Ganzi nyayoni inasababishwa na nini? Na nini tiba yake?

    Habarini za jioni Wana JF. Humu ni sehemu ambayo nimejifunza mengi. Watu wamepata utatuzi wa yale yanayowasibu. Kama mada inavyosema, nina tatizo la ganzi nyayoni. Hii husababishwa na nini? Nini tiba yake? Natanguliza shukrani kwa msaada wenu.
  15. The Clinical Pharmacist

    Msaada tafadhali wa chaguo la ujenzi wa nyumba

    Habari za kwako mpenzi msomaji na mwanachama wa Jamvi la hoja mchanganyiko. Mie ninahitaji kuanza kujenga kibanda changu na mimi, hebu naomba mnisaidie katika ya Nyumba hizi ipi ni nafuu katika gharama za ujenzi. Nyumba A Nyumba B
  16. TechPlatform

    Msaada: Site yangu imefungiwa Facebook

    Naombeni msaada wakuu site yangu imefungiwa facebook nawezaje ku fix tatizo hili ili facebook niwe nashare link kwenye page yangu na kwenye ma group?
  17. mtzedi

    Msaada Redio ya gari

    Habari za Muda huu Kwa wataalamu naombeni msaada Redio ya gari Ina frequency 76-90. Nitaweka kubadili frequency zisome 88-107 au njia mbadala nipate frequency za kibongo.
  18. Jr Xavi Hernandez

    Msaada: Nataka kufuta account yangu ya FB, nimesahau Password na nime-log out muda tu

    Ndugu zangu habarini za asubuhi. Jamani nahitaji msaada jinsi ya kufuta account yangu ya FB, lakini nimesahau Pasword na nime-log out muda tu. Nimejitahidi sana kuomba Pasword Lkn imekuwa changamoto, Ule msimbo hautumwi. Nimeomba kila siku ndani ya siku 25 lkn imeshindikana. Hata sijui ni...
  19. M

    Msaada wa maoni kuhusu ununuzi wa kiwanja

    Wakuu habari zenu. Kuna kiwanja Kiko sehemu nzuri sana kimetangazwa kuuzwa. Mwenye kiwanja alishafariki, alikuwa anaishi na mwanamke lakini walitengana kabla marehemu hajafa, na baada ya kufariki familia ilimpa baadhi ya maeneo mke walietangana Ili aweze kumudu kuwahudumia watoto alioacha...
  20. system hacker

    Wale wa Geography msaada wenu hapa tafadhali

Back
Top Bottom