Planet FSD
JF-Expert Member
- Oct 24, 2019
- 455
- 938
Wakuu msaada, nimekuwa nahangaika kulink card yangu ya VISA Debit kutoka Equity Bank. Nilipowauliza wakasema ni BOT wamezuia online transactions kutoka/kwenda kwenye online gambling sites na forex.
Nilipewa pia jibu hilo hilo nilipowapigia BancABC.
Kwa wale wanaofanya online betting kupitia sites kama Bet365 au William Hill, ningependa kujua ni mnatumia cards za bank gani bila usumbufu.
Nilipewa pia jibu hilo hilo nilipowapigia BancABC.
Kwa wale wanaofanya online betting kupitia sites kama Bet365 au William Hill, ningependa kujua ni mnatumia cards za bank gani bila usumbufu.