Shimamiyaa Mohd
New Member
- Sep 13, 2022
- 4
- 0
Tafadhali msaada kwa wenye kujua...halafu ni ipi kwa hapo ipo marketing
Dunia ya leo hakuna kozi yenye market, madakitari wako mitaani, maengeneer wako mitaani, Computer scince wapo mitaani. Kila sekta ina watu wana hang. Ushauri wangu hii kitu inaitwa tourism management kama hauna mjomba au baba ana kampuni achana nayo. Bora ufanye specialization huko kwenye tourism nenda NCT Fanya kozi ya food production ambapo unaweza kuchukuwa Ordinary Diploma in Culinary Arts, AU nenda Mweka soma wildlife management ya hapo.Tafadhali msaada kwa wenye kujua...halafu ni ipi kwa hapo ipo marketing