MWAMUNU
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 868
- 529
Wakuu heshima kwenu.
Naomba msaada kwa wenye uzoefu na safari ya Dar to Arusha. Kesho kuna gari naipeleka Arusha, changamoto ni kwamba sijawahi fika Arusha kwa njia ile, nimeishia pale Mkata.
Kwa wazoefu naomba mnitoe tongo tongo changamoto ya ruti hiyo. Kuhusu udereva, nna uzoefu wa miaka mingi na nshapiga ruti ndefu nyingi sana, sema sijawahi hiyo ya Arusha.
Asanteni, naomba kuwasilisha.
Naomba msaada kwa wenye uzoefu na safari ya Dar to Arusha. Kesho kuna gari naipeleka Arusha, changamoto ni kwamba sijawahi fika Arusha kwa njia ile, nimeishia pale Mkata.
Kwa wazoefu naomba mnitoe tongo tongo changamoto ya ruti hiyo. Kuhusu udereva, nna uzoefu wa miaka mingi na nshapiga ruti ndefu nyingi sana, sema sijawahi hiyo ya Arusha.
Asanteni, naomba kuwasilisha.