Sekula mpya ya uchangiaji huduma za Bima ya Afya ni Mwiba kwa wafanyakazi

Mindi

JF-Expert Member
Apr 5, 2008
3,523
4,991
Bila shaka kama mkakati wa kuongeza mapato ya serikali, bila kujali athari kwa wafanyakazi, hasa wastaafu, serikali ya Rais Magufuli imekuja na "uboreshaji" wauchangiaji huduma za Afya kwa njia ya Bima.

Wafanyakazi wa serikali na mashirika yake, kwa mujibu wa sheria, hukatwa michango ya kuchangia bima toka mishahara yao kila mwezi. Utaratibu uliokuwepo ni kwamba kama mfanyakazi anachangia huduma hii kwa muda usiopungua miaka 10, basi mara anapostaafu, atapewa kadi ya bima ya mstaafu, yeye na mwenza wake. Yaani kama anayechangia ni mume, mke pia atapewa kadi. Hii itatumika miaka yote ya maisha yao.

Sasa Rais Magufuli, baada ya kupandisha viwango katika huduma mbalimbali, ikiwemo kupandisha kiwango cha makato ya mshahara kwa wafaidika wa mikopo ya elimu, amekuja na utaratibu mpya wa makato kwa wastaafu.

Katika Sekula mpya ya hivi karibuni, ili mstaafu aweze kufaidika na huduma za bima kwa wastaafu, anahitajika awe amechangia kwa miaka 15. Kwa hiyo, kama mtu anastaafu akiwa amechangia kwa miaka 10, basi atalazimika kutoa fedha taslimu kufidia miaka 5. Hapo atalazimika kulipa wastani wa sh. Milioni 7 mpaka 10, kutegemea na mwenendo wa uchangiaji wake.

Maana yake, mstaafu atalazimika kupigwa panga kwenye malipo yake ya fedha za mafao ili kugharimia viwango vipya vya michango.

Huu ni mwiba mpya kwa wastaafu.

Siyo vibaya kurekebisha viwango kama hivi. Tatizo ni kiasi kilichoongezeka. Angalau ongezeko la miaka 2 lingeeleweka. Hapo ni kuongeza mapato lakini pia kuzingatia maslahi ya wahanga wa ongezeko hilo. Hapa inaonekanavni mtu asiyejali watu, bali vitu
 
Hu
Bila shaka kama mkakati wa kuongeza mapato ya serikali, bila kujali athari kwa wafanyakazi, hasa wastaafu, serikali ya Rais Magufuli imekuja na "uboreshaji" wauchangiaji huduma za Afya kwa njia ya Bima.

Wafanyakazi wa serikali na mashirika yake, kwa mujibu wa sheria, hukatwa michango ya kuchangia bima toka mishahara yao kila mwezi. Utaratibu uliokuwepo ni kwamba kama mfanyakazi anachangia huduma hii kwa muda usiopungua miaka 10, basi mara anapostaafu, atapewa kadi ya bima ya mstaafu, yeye na mwenza wake. Yaani kama anayechangia ni mume, mke pia atapewa kadi. Hii itatumika miaka yote ya maisha yao.

Sasa Rais Magufuli, baada ya kupandisha viwango katika huduma mbalimbali, ikiwemo kupandisha kiwango cha makato ya mshahara kwa wafaidika wa mikopo ya elimu, amekuja na utaratibu mpya wa makato kwa wastaafu.

Katika Sekula mpya ya hivi karibuni, ili mstaafu aweze kufaidika na huduma za bima kwa wastaafu, anahitajika awe amechangia kwa miaka 15. Kwa hiyo, kama mtu anastaafu akiwa amechangia kwa miaka 10, basi atalazimika kutoa fedha taslimu kufidia miaka 5. Hapo atalazimika kulipa wastani wa sh. Milioni 7 mpaka 10, kutegemea na mwenendovwa uchangiaji wake.

Maana yake, mstaafu atalazimika kupigwa panga kwenye malipo yake ya fedha za mafao ili kugharimia viwango vipya vya michango.
Huu ni mwiba mpya kwa wastaafu.

Siyo vibaya kurekebisha viwango kama hivi. Tatizo ni kiasi kilichoongezeka. Angalau ongezeko la miaka 2 lingeeleweka. Hapo ni kuongeza mapato lakini pia kuzingatia maslahi ya wahanga wa ongezeko hilo. Hapa inaonekanavni mtu asiyejali watu, bali vitu
Huyu Mzee anajali kuongeza mapato hata kwa kupora,yeye anataka kutekeleza miradi yake hayo mengine mtajiju.Tusipoachana na utawala huu,tutegemee maumivu yasiyomithilika.
CCM must go, otherwise we are done.
 
Eti hii ndio serikali ya wanyonge ambayo kina Mwigulu Nchemba wako busy kuitetea!!
Ndiyo maana Sisi wazalendo tunaoipenda Tanzania yetu tunatakiwa tusimame tuhesabiwe,tuwaondoe hawa watu madarakani vinginevyo tutaendelea kuumizwa.
Tutumie nguvu za kura zetu kuwaangusha hawa wadhalimu,tukiamini tunaweza kwa sababu ni wepesi.Wanatumia propaganda ya maendeleo wakati wayafanyayo ni wajibu wao wala siyo hisani huku wakitumia kodi zetu.
 
Bila shaka kama mkakati wa kuongeza mapato ya serikali, bila kujali athari kwa wafanyakazi, hasa wastaafu, serikali ya Rais Magufuli imekuja na "uboreshaji" wauchangiaji huduma za Afya kwa njia ya Bima.

Wafanyakazi wa serikali na mashirika yake, kwa mujibu wa sheria, hukatwa michango ya kuchangia bima toka mishahara yao kila mwezi. Utaratibu uliokuwepo ni kwamba kama mfanyakazi anachangia huduma hii kwa muda usiopungua miaka 10, basi mara anapostaafu, atapewa kadi ya bima ya mstaafu, yeye na mwenza wake. Yaani kama anayechangia ni mume, mke pia atapewa kadi. Hii itatumika miaka yote ya maisha yao.

Sasa Rais Magufuli, baada ya kupandisha viwango katika huduma mbalimbali, ikiwemo kupandisha kiwango cha makato ya mshahara kwa wafaidika wa mikopo ya elimu, amekuja na utaratibu mpya wa makato kwa wastaafu.

Katika Sekula mpya ya hivi karibuni, ili mstaafu aweze kufaidika na huduma za bima kwa wastaafu, anahitajika awe amechangia kwa miaka 15. Kwa hiyo, kama mtu anastaafu akiwa amechangia kwa miaka 10, basi atalazimika kutoa fedha taslimu kufidia miaka 5. Hapo atalazimika kulipa wastani wa sh. Milioni 7 mpaka 10, kutegemea na mwenendo wa uchangiaji wake.

Maana yake, mstaafu atalazimika kupigwa panga kwenye malipo yake ya fedha za mafao ili kugharimia viwango vipya vya michango.

Huu ni mwiba mpya kwa wastaafu.

Siyo vibaya kurekebisha viwango kama hivi. Tatizo ni kiasi kilichoongezeka. Angalau ongezeko la miaka 2 lingeeleweka. Hapo ni kuongeza mapato lakini pia kuzingatia maslahi ya wahanga wa ongezeko hilo. Hapa inaonekanavni mtu asiyejali watu, bali vitu
Kama mtu aliingia ikisema ni miaka kum, iweje wabadili gia angani? Inabidi watu waende mahakamani kuondoa upuuzi wa dikteta huyu.
 
Aisee wale wafanyakazi wa bima pia ni katili sana sana. Utafikiri wao siyo watanzania. Mbaya zaidi kama kuchangia say miaka 8 halafu ukahamia taasisi nyingine ambayo haiko NHIF basi watakuambia huwezi kuendelea na priviledge yako kama utachangia binafsi maana wanakuanzishia upya na hiyo 8 inafutika. Hili ni tatizo kubwa mno.
 
Bila shaka kama mkakati wa kuongeza mapato ya serikali, bila kujali athari kwa wafanyakazi, hasa wastaafu, serikali ya Rais Magufuli imekuja na "uboreshaji" wauchangiaji huduma za Afya kwa njia ya Bima.

Wafanyakazi wa serikali na mashirika yake, kwa mujibu wa sheria, hukatwa michango ya kuchangia bima toka mishahara yao kila mwezi. Utaratibu uliokuwepo ni kwamba kama mfanyakazi anachangia huduma hii kwa muda usiopungua miaka 10, basi mara anapostaafu, atapewa kadi ya bima ya mstaafu, yeye na mwenza wake. Yaani kama anayechangia ni mume, mke pia atapewa kadi. Hii itatumika miaka yote ya maisha yao.

Sasa Rais Magufuli, baada ya kupandisha viwango katika huduma mbalimbali, ikiwemo kupandisha kiwango cha makato ya mshahara kwa wafaidika wa mikopo ya elimu, amekuja na utaratibu mpya wa makato kwa wastaafu.

Katika Sekula mpya ya hivi karibuni, ili mstaafu aweze kufaidika na huduma za bima kwa wastaafu, anahitajika awe amechangia kwa miaka 15. Kwa hiyo, kama mtu anastaafu akiwa amechangia kwa miaka 10, basi atalazimika kutoa fedha taslimu kufidia miaka 5. Hapo atalazimika kulipa wastani wa sh. Milioni 7 mpaka 10, kutegemea na mwenendo wa uchangiaji wake.

Maana yake, mstaafu atalazimika kupigwa panga kwenye malipo yake ya fedha za mafao ili kugharimia viwango vipya vya michango.

Huu ni mwiba mpya kwa wastaafu.

Siyo vibaya kurekebisha viwango kama hivi. Tatizo ni kiasi kilichoongezeka. Angalau ongezeko la miaka 2 lingeeleweka. Hapo ni kuongeza mapato lakini pia kuzingatia maslahi ya wahanga wa ongezeko hilo. Hapa inaonekanavni mtu asiyejali watu, bali vitu
Mkuu sina maana ya kubishana na wew ni kweli hii sheria mpya ya mafao ya uzeeni ukiangalia ni kama inalenga zaidi kumuumiza mtumishi lakin kwa kuweka sawa hapo naomba uingia kwenye tovuti ya chuo kikuu cha Dar es salaam kitengo cha sheria utaona sheria hiyo mpya iko na "regulation" zake mbili inaonesha namna ya kupata mafao yako kwa namna yoyote iwe umestaafu, umeacha au kuachishwa kazi au umefariki ijapokuwa sio rafiki mfano mafao mengi mtu anategemea kulipwa akishastaafu kwa maana ya baada ya miaka 55 au 60 kitu ambacho kwa "life expectance" ya watanzania wengi huwa ndio umri wa kuondokea.
 
Wewe ni Mzalendo wa nini zaidi ya kulewa chakari
Ndiyo maana Sisi wazalendo tunaoipenda Tanzania yetu tunatakiwa tusimame tuhesabiwe,tuwaondoe hawa watu madarakani vinginevyo tutaendelea kuumizwa.
Tutumie nguvu za kura zetu kuwaangusha hawa wadhalimu,tukiamini tunaweza kwa sababu ni wepesi.Wanatumia propaganda ya maendeleo wakati wayafanyayo ni wajibu wao wala siyo hisani huku wakitumia kodi zetu.
 
Bila shaka kama mkakati wa kuongeza mapato ya serikali, bila kujali athari kwa wafanyakazi, hasa wastaafu, serikali ya Rais Magufuli imekuja na "uboreshaji" wauchangiaji huduma za Afya kwa njia ya Bima.

Wafanyakazi wa serikali na mashirika yake, kwa mujibu wa sheria, hukatwa michango ya kuchangia bima toka mishahara yao kila mwezi. Utaratibu uliokuwepo ni kwamba kama mfanyakazi anachangia huduma hii kwa muda usiopungua miaka 10, basi mara anapostaafu, atapewa kadi ya bima ya mstaafu, yeye na mwenza wake. Yaani kama anayechangia ni mume, mke pia atapewa kadi. Hii itatumika miaka yote ya maisha yao.

Sasa Rais Magufuli, baada ya kupandisha viwango katika huduma mbalimbali, ikiwemo kupandisha kiwango cha makato ya mshahara kwa wafaidika wa mikopo ya elimu, amekuja na utaratibu mpya wa makato kwa wastaafu.

Katika Sekula mpya ya hivi karibuni, ili mstaafu aweze kufaidika na huduma za bima kwa wastaafu, anahitajika awe amechangia kwa miaka 15. Kwa hiyo, kama mtu anastaafu akiwa amechangia kwa miaka 10, basi atalazimika kutoa fedha taslimu kufidia miaka 5. Hapo atalazimika kulipa wastani wa sh. Milioni 7 mpaka 10, kutegemea na mwenendo wa uchangiaji wake.

Maana yake, mstaafu atalazimika kupigwa panga kwenye malipo yake ya fedha za mafao ili kugharimia viwango vipya vya michango.

Huu ni mwiba mpya kwa wastaafu.

Siyo vibaya kurekebisha viwango kama hivi. Tatizo ni kiasi kilichoongezeka. Angalau ongezeko la miaka 2 lingeeleweka. Hapo ni kuongeza mapato lakini pia kuzingatia maslahi ya wahanga wa ongezeko hilo. Hapa inaonekanavni mtu asiyejali watu, bali vitu
Hata mafao unapata baada ya kuchangia kwa miaka 15 ndio maana serikalini hatuajiri mtu mwenye zaidi ya miaka 45 so hilo mbona ni kawaida hio miaka 10 nlikua siijui
 
Hata mafao unapata baada ya kuchangia kwa miaka 15 ndio maana serikalini hatuajiri mtu mwenye zaidi ya miaka 45 so hilo mbona ni kawaida hio miaka 10 nlikua siijui
Nina jamaa yangu anafanya kazi migodini. Ajira kwake ni kwa miaka miwili mitatu anahamia kungine, au anapitisha miezi kadhaa bila ajira. Lakini naona kila mara anafuatilia haki zake NSSF kuhakiki kama makato yamewasilishwa. Kwa hiyo asipokamilisha miaka 15 hana chake? Hebu tufafanulie zaidi mkuu
 
Nina jamaa yangu anafanya kazi migodini. Ajira kwake ni kwa miaka miwili mitatu anahamia kungine, au anapitisha miezi kadhaa bila ajira. Lakini naona kila mara anafuatilia haki zake NSSF kuhakiki kama makato yamewasilishwa. Kwa hiyo asipokamilisha miaka 15 hana chake? Hebu tufafanulie zaidi mkuu
Ajira za mkataba ni kwamba kila mkataba unapoisha ana hiari ya kuchukua mafao yake(michango yake na ya mwajiri) au kutafuta kazi kwingine na kuendelea kuchangia kwenye mfuko wake. Akichangia kwa miezi 180 anakua pensionable.
 
Back
Top Bottom