movie

Movie Movie is a 1978 American double bill directed by Stanley Donen. It consists of two films, Dynamite Hands, a boxing ring morality play, and Baxter's Beauties of 1933, a musical comedy, both starring the husband-and-wife team of George C. Scott and Trish Van Devere. A fake trailer for a flying-ace movie set in World War I entitled Zero Hour (also starring Scott) is shown between the double feature.
Barry Bostwick, Red Buttons, Art Carney and Eli Wallach also appear in both segments, with Harry Hamlin, Barbara Harris and Ann Reinking featured in one each. The script was written by Larry Gelbart and Sheldon Keller.

View More On Wikipedia.org
  1. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 'Would you Rather' na 'You're next' ya 2011

    Naombeni wadau movie hizo mbili nilizotaja hapo juu, nimejaribu kuzicheki kwenye website hizi nkiri.com, kimoitv, Toxicwap, netnaija hazipo Please kama nitazipata kwa mb ndogo nitafurahi pia
  2. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni jina la Movie Hii

    Inazungumzia muuaji anayeua wanawake wenye nywele ndefu
  3. P

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Transcend External 2 TB 100,000 & 3 TB 200,000 used,mint condition

    Habari, Zipo external za transcend, used but in mint condition. 2TB kwa 100,000 FIXED 3TB kwa 200,000 FIXED Call 0712198128 Call 0712198128 Call 0712198128
  4. Red Giant

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Movie: The harder they fall (2021)

    Kawaida western huwa zinakuwa na actors wazungu ila hii ni macowboys weusi watupu tena wenye majina makubwa. Stori ni jamaa kurevenge vifo vya wazazi wake lakini kuna plot twist moja nzuri sana. Nimekubali sana uigizaji wa Lakeith, Zazie na Idris Alba. Japo kuna baadhi ya gun fight tumepigwa...
  5. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna walionufaika kwa kukodisha nyumba zao kwa Bongo Movie Industry kwa kurekodi filamu?

    Ukodishaji wa nyumba kwa filamu una faida kubwa katika nchi ambazo sanaa ya filamu imesimama vizuri. Afrika ya Kusini, Ghana na Nigeria wenye nyumba huwa wana faidika katika biashara hii. Uzuri wa biashara hii, nyumba hutegemea na hadithi au simulizi la filamu, kuna wanaopenda nyumba za...
  6. BAK

    JamiiForums Tanzania Director of photography killed, movie director injured after Alec Baldwin discharged prop firearm on movie set

    Director of photography killed, movie director injured after Alec Baldwin discharged prop firearm on movie set By Sandra Gonzalez, CNN Updated 7:17 AM ET, Fri October 22, 2021 Alec Baldwin fired prop gun that killed 'Rust' crew member Alec Baldwin fired prop gun that killed 'Rust' crew...
  7. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Balimi xtra lager la usiku huku unaangalia movie Mnet 4, linashuka kwa baridii

    Peppermit ipo hewani ni revenge ya nguvu baada ya wqzazi wa starring kuuwawa. Lakini kikubwa ni balimi kushuka kwenye koo huku usungizi ukijitafuta taratibu. Viva Balimi Extra lager.
  8. Gabb_y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania App ya kudownload movie zilizotafsiri na sizoni bure

    *****†********
  9. Gabb_y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Download movie zilizotafsiri tafsiriwa pamoja na sizoni bure hapa

    *****†********
  10. Red Giant

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utengenezaji wa movie umerahisishwa sana na hii iphone 13

    Mimewahi cheki movie moja imetengenezwa na iphone 6 kama sijasahau. Huwezi jua ni movie ya simu kama hujaambiwa. Sasa nilikuwa naangalia uzinduzi wa products za apple uliofanyika jana. Hii iphone 13 wameiunda kwaajili ya movie hasa. Utengenezaji wa movie umekuwa rahisi kabisa. Pia niulize...
  11. Program Manager

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada app inayoweza ku convert movie za format hii

    Hizi ni movie hazifunguki kwa VLC so nataka kuziconvert ili zifunguke kwa VLC Winx Hd na Any video converter zimeshindwa ku convert
  12. Candela

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Movie ya soz ujinga mtupu

    Habari wanajamvi, nimewaletea mada hii kuhusu baadhi ya movie za ulaya na asia. Kuna hii movie inaitwa soz, nijikite wakati wale wapelelezi wawili wanamfatilia profesa. Walibain kuna mtu anamwinda professa pia wakaamua wamkamate ila cha ajabu wakati mpelelezi mmoja anapigana na huyu jamaa...
  13. Gordian Anduru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania THE CALL: bONGE LA MOVIE

    "THE CALL" bonge moja la muvi 2013, ni kitengo cha huduma za dharura 911 Los Angeles, wanapokea simu za matukio ya hatari jijini, halafu kuna huyu jamaa ana matatizo ya akili anateka wasichana wenye nwele ndefu zenye rangi flani anawapasua vichwa kwa uangalifu apate wigi la nywele hizo...
  14. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Jerry Silaa hajahudhuria shauri lake, Kamati yaomba kumkamata

    Dodoma. Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Haki Maadili na Madaraka ya Bunge, Emmanuel Mwakasaka amesema ameomba kibali kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai cha kukamatwa kwa mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa baada ya kutofika katika shauri lake. Silaa alihojiwa mara ya kwanza na kamati hiyo Agosti...
  15. Saint Ivuga

    JamiiForums Tanzania Anayedaiwa kuwa 'Mzee Mathias Gwajima' amtaka Dkt. Dorothy kutotumia jina la Gwajima

    Amewataka: : Waziri wa afya na naibu wake wajiuzulu : Dorothy ni mke wao : Amemsifu Ndungulile kwa sababu alitumbuliwa kwa kusimamia ukweli wake kipindi cha meko : Akipata mtu wa kumuelewesha ataelewa ila hawa easily hawafai ni vigeu gemu. : D oroth anasema nilikamatwa na...
  16. Richmoto Kushmoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Movie ya Snake Eye: Rate 7/10

    Movie inaaction za kutosha wale wapenzi wa action Muje Huku kuna watalaam wakina Iko uwaisi Andre Koji Yule Alicheza character ya bruce lee kwenye series ya warrior Ah sahm na wengineo Story Wanamwita snake Jamaa Kakua kwenye mitaa maisha ni ya kuungaunga anacheza ngumi za mtaani ili asogeze...
  17. L

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kutafsiri movie za Hollywood kwa sound dubbing kama wafanyavyo Azam two

    Habari wanajamii. Mwaka jana mwezi wa Desemba nilikuwa naangalia filamu iliyotafsiriwa na Ahmada Abdulrahman maarufu kama Dj Mark nikajiuliza inashindikana nini kuingiza sauti za Kiswahili kama wanavyofanya Azam tv kwenye tamthilia zao kama Sultan, Jamai raja na Kufli. Jibu ni kwamba gharama ya...
  18. Ferruccio Lamborghini

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Movie of the weekend: JOLT

    intermittent explosive disorder ilimtafuna vilivyo, udogo wake hakuufaidi sababu ya maradhi hayo, hakuna aliependa kumkalia karibu bila sababu, Watoto wenzie walimtenga, wazazi wake wakamshindwa pia, Lindy Lewis akapelekwa hospitali ya watu waliothirika na ugonjwa kama wake, huko pia alishindwa...
  19. Red Giant

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Performance gani ya mtoto kwenye movie ulikubali sana?

    Kuna watoto wako talented sana. Naikubali sana performance ya Enola kwenye movie waterworld 1995.
  20. EvilSpirit

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Inawezekana kucheki movie kwenye tv kwa kutumia Card Reader yenye memory card badala ya kutumia flask disk?

    Ninahitaji kujua iwapo ninaweza kuweka memory card kwenye card reader kisha nikaichomeka kwenye tv kama tunavyofanya na flash kwa ajili ya kuangalia movie. Nimebaini flash nyingi ni za ovyo tunauziwa flash mbovu. Unanunua flash dukani unaweka movie unakuta ina scratch na kustak stak.
Back
Top Bottom