movie

Movie Movie is a 1978 American double bill directed by Stanley Donen. It consists of two films, Dynamite Hands, a boxing ring morality play, and Baxter's Beauties of 1933, a musical comedy, both starring the husband-and-wife team of George C. Scott and Trish Van Devere. A fake trailer for a flying-ace movie set in World War I entitled Zero Hour (also starring Scott) is shown between the double feature.
Barry Bostwick, Red Buttons, Art Carney and Eli Wallach also appear in both segments, with Harry Hamlin, Barbara Harris and Ann Reinking featured in one each. The script was written by Larry Gelbart and Sheldon Keller.

View More On Wikipedia.org
  1. Castr

    JamiiForums Tanzania Movies in Pictures

  2. He Is Him

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu movie ya TENET

    WAKUU MPO POA Leo nilikuwa na watch movie inaitwa TENET. Kusema la ukweli hii movie sijaielewa. Ningependa kwa mkuu aliyebahatika kuiangalia just anipe hata kasummary kidogo kuhusu hii movie.
  3. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bora Matumizi ya Projector badala ya TV kuangalizia movie

    Wadau kutokana na kuwahi ibiwa Tv zangu za Samsung mara 3 nyakati tofauti tofaut sasa nmeamua kuachana na kununua TV. Sasa nawaza kununua Projector. Naomba ushauri kwa projector ya kufaa kwa ajili ya kuangalizia movie. Nahitaji Full HD, iwe 4K, 3D ,High Resolution. But katika hayo yote naomba...
  4. Red Giant

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Movie: Nobody

    Nimeipenda hii movie. Humu jamaa anaonekana kama mtu wa kawaida tu, familia na marafiki wanamchukulia poa. Kumbe alikuwa ni mbad na kaamua kutulia. Russian mafia walipoingilia familia yake waliuona mtiti.
  5. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msanii gani hauchoki kutazama movie zake

  6. ANT DRUGS

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Majina ya movie kali

    Habari za weekend wakuu. Bila kupoteza mda naomba kujulishwa majina ya movie kali hasa zinazoelezea historia ya kweli either ya mapinduzi au historia tu ya kitu fulani.Pia naomba kujulishwa movie gani kali za kivita au ngumi. ASANTENI SANA. NB: MOVIE ZA KIJASUSI NAPENDA ZAIDI.
  7. Red Giant

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii movie ya kichina naitafuta sana

    Kuna jamaa mmoja anasafiri safiri. Akikuta shule ya Kungfu anapiga wote hadi master. Akiulizwa ametoka wapi anajibu kuzimu na amekuja kuwafundisha kungfu. Alienda shule moja alipiga master na wanafunzi wake. Master akawa amepoteana anaishi pagalani na wanafunzi wake watatu wakatawanyika kwenda...
  8. Red Giant

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dune: Naisubiria hii movie kwa hamu kubwa

    Hii movie inatokana na kitabu kinachoitwa Dune kilichoandikwa na Frank Albert mwaka 1965. Kitabu kimebase kwenye sayari moja inayoitwa Arakis ambapo kiungo adimu na ghali kiitwacho melange kinapatikana. Lakini sayari hiyo ni jangwa na kuna minyoo wakubwa sana na hatari wanaoishi chini ya...
  9. Quavohucho

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tafuta jina la movie hapa

    Kama title inavojieleza ningependa hii thread iweze kutusaidia kupata majina ya movie mbali mbali ambazo tumewai kuangalia, kusikia au kusimuliwa afu ukasahau au kushindwa kujua jina movie husika na ambao watakuwa wanaijua watatupa jina la movie hisika kulingana na scene zitakavo elezewa...
  10. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Bongo Movies wengi ni vilaza, si ajabu wameilaza sanaa ya uigizaji. Wasomi ingieni huko

    BONGO MOVIE WENGI NI VILAZA, SIO AJABU WAMEILAZA SANAA YA UIGIZAJI Anaandika, Robert Heriel Hapana shaka sanaa ya Uigizaji kwa sasa imelala Usingizi wa Pono, imelala fofofo na waigizaji wake wanakoroma. Wapo kwenye ndoto za majinamizi wabaya wanaowakimbiza kwenye mitaro huko usingizini. Tangu...
  11. BRN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huu ndio Mzigo wangu wa Movie

    Wapendwa habari ya mapumziko ya Ijumaa Kuu. Napenda kuwashirikisha mzigo wa Movies za ukweli nilizo nazo ili ukipata muda hasa kipindi hiki cha mapumziko marefu uzitazame(sema ndio hivyo bando ziko juu) Hizi ziko kwenye simu yangu hivyo nazitazama popote pale.(uwezo wa simu..internal Gb 256 na...
  12. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Movie ya oldguard yaweza kuwa ni true Story

    Habar wadau !!! Jana usiku nilipata wasaha kuchek hii movie old guard aisee km ni swala la movie nasema sema wazungu wametuacha mbali sn kuanzia story ilivyotungwa camera actions na hata maongez ktk movie. Nimechek kwa mqkin hii movie iko poa na ina story moja nzur sn japo nilikasirika...
  13. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni movie ya blacksheep ya 1998

    Kama kuna mtu anaweza kunisaidia kupata movie hii ya blacksheep affairs au kwa jina lingine inaitwa another meltdown please naomba anipe au anipe muongozo nitaipataje app nyingi hii movie haipo nyingine ukakuta ipo lakini haiplay
  14. steve_shemej

    JamiiForums Tanzania Jina steven lina mahusiano gani na movie za kizungu?

    nimejaribu kuchunguza nimebaini kati ya movie kumi za kizungu tisa zinamshiriki anaitwa steven hii imekaaje wakuu
  15. CONTROLA

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuingiza movie na miziki kwenye flash na simu

    Biashara hazijawahi kuisha chini ya jua ni vile tu unavyoamua kuchukulia mambo na kujichukulia wewe upo vipi,leo nataka nimsaidie mtu mmoja mahali flani kuichambua hii biashara ili kama alikua akiwaza nini chakufanya na hapati apate pakuanzia,na kwa wanaoifanya basi waboreshe ili mwisho wa siku...
  16. Sherlock

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenyan movie scene is making huge strides

    our movie scene has made tremendous strides. Check out this action packed trailer
  17. K

    JamiiForums Tanzania TID afunguka kiasi alicholipwa kwenye movie ya girlfriend

    Msanii mkali kama anavyojiita TID mnyama ,ameweka wazi kiasi alicholipwa kwenye movie mahiri miaka ya nyuma "Girlfriend" 'Walinilipa laki 5 kwenye movie ,ni pesa nyingi kwa kweli wakati huo, lakini walinichezesha main actor bila Mimi kujua" Amefunguka Mnyama huyo hatari zaidi ya simba...
  18. HumbleBoy98

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna movie inayotisha zaidi ya 'The Conjuring'?

    Habari zenu wadau wapenda movies hasa zile za kutisha. Hivi juzi Kati hapa nilicheki movie inayoitwa 'the conjuring', nilicheki sehemu ya Kwanza na ya pili. Hii ni baada ya kupata habari zake humu JF kwamba inatisha Sana na kilichonivutia zaidi kutaka kuzicheki hizi movies Ni kwasababu they...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz apata shavu kutoka kwenye movie ya Coming 2 America

    Wimbo Hallelujah wa Diamond Platnumz wapata shavu kwenye filamu ya Coming 2 America, itakayo achiwa tarehe 5 March 2021. Source:SnS.
  20. Amaizing Mimi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada jina la hii movie

    Habarini wadau. Naomba kujua jina la hii movie.star wa ile picha anaitwa jonathan gabot(sina uhakika na spelling),ni picha flan ya kifalme ambapo jamaa wanapewa mitihani mingi halaf mshindi anamuoa mtoto wa mfalme.picha yenyewe imeigiziwa nchini nepal.
Back
Top Bottom